SIMBA YATAMBIA MASHINE MPYA ZA KAZI

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa wachezaji wapya ambao wametambulishwa watafanya kazi kubwa kwa kushirikiana na wengine katika mechi za ushindani kitaifa na kimataifa. Simba imeweka kambi nchini Misri ikiwa ni maandalizi ya kuelekea msimu wa 2024/25 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kutokana na kila timu kujipanga kufanya vizuri. Ipo wazi kwamba katika anga la kimataifa…

Read More

Leo Ni Siku ya Kupiga Maokoto na Meridianbet

Jumamosi ya kibabe imefika na wewe unaweza kuwa mbabe kwa kutusua na Meridianbet endapo utatengeneza jamvi lako la maana kwani kua mechi kibao leo za kukufanya tajiri. Ingia na ubeti sasa Klabu ya Manchester United baada ya kupoteza mchezo wake wa kirafiki uliopita, leo atakuwa ugenini dhidi ya Glagow Rangers ya Scotland ambao walimaliza nafasi…

Read More

AZAM YASAJILI WA KIUNGO AKITOKEA CR BELOUIZDAD YA ALGERIA

Klabu ya Azam imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo mkabaji Mamadou Samake kwa mkataba wa miaka miwili akitokea kwa miamba ya Algeria, CR Belouizdad. Samake (24) raia wa Mali anafunga rasmi usajili wa Wanalambalamba hao kwenye dirisha hili kwa ajili ya msimu mpya wa 2024/25 na anatarajia kujiunga na kambi ya timu hiyo nchini Morocco muda…

Read More

MAZOEZI YA YANGA AFRIKA KUSINI NI BALAA, KUKINUKISHA KESHO

Julai 28, 2024 Mabingwa wa Ligi Kuu Bara, Yanga wanaopeperusha bendera ya Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, wanatarajia kumenyana na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini kwenye mchezo maalumu wa kirafiki wa kimataifa ambapo mshindi atasepa na Kombe la Toyota. Mechi hiyo inatajwa kuwa kipimo sahihi kwa Yanga kwa kuangalia uimara wa kikosi hicho ambacho…

Read More

MAKAMBO KUTUA DODOMA JIJI

Dodoma Jiji imeingilia dili la mshambuliaji wa zamani Yanga, Heritier Makambo kutoka Al Murooj SC ya Libya. Awali Mkongomani huyo aliyewahi kuzichezea DC Motema Pembe, FC Lupopo zote za DR Congo na Horoya AC ya Guinea, ilielezwa angejiunga na Tabora United japo kwa sasa mambo yamebadilika baada ya Dodoma kumtaka.

Read More

CHEZA LUCKY 6 NA KENO, UPATE BONASI YA KASINO 10%

  Kipindi Cristiano Ronaldo anatiua Man Utd alichagua kuvaa jezi namba 7, alivyoenda Madrid alikuta jezi namba 7 inaliwa na mchezaji mwingine, lakini aliisubiri hadi muda wake ulipofika akapewa. Ilikuwa ni jezi yene bahati na historia kubwa sana kwa Mwanasoka huyo, amefanya makubwa akiwa na Jezi namba 7 mgongoni. Jisajili Meridianbet kupata bonasi za kasino…

Read More

TUSUA MAPENE NA MECHI ZA KIRAFIKI LEO

Leo hii kuna Lazio, Fenerbahce, Braga na wengine kibao ambao watakuwa uwanjani hapo baadae kukupa utajiri. Suka jamvi lako sasa na ubashiri na Meridianbet mechi zote za kirafiki. Darubini yangu imeanza kumulika mechi hii ya SC Braga ambaye ataumana na Rayo Vallecano ya kule Hispania huku mechi hii ikiwa imepewa ODDS za kibabe kwelikweli. Mwenyeji…

Read More

DUBE: NAFURAHI KUCHEZA YANGA, KUNA WACHEZAJI WAKUBWA

Mshambuliaji mpya wa Yanga, Prince Dube amesema kuwa “Nafurahi kucheza Yanga, kuna wachezaji wakubwa hapa na kila mchezaji anatamani kucheza ndani ya Yanga ni timu kubwa na nipo hapa kwa ajili ya kufanya kazi nimepitia kipindi kigumu na sasa natamani kufurahi na kuitumika klabu kwa sasa, Mambo yanakwenda vizuri,nimekaribishwa vizuri kuanzia kwa mashabiki,viongozi,na benchi la…

Read More