![SIMBA YATAMBIA MASHINE MPYA ZA KAZI](https://salehjembe.co.tz/wp-content/uploads/2023/03/Ahmed-Vipers.jpg)
SIMBA YATAMBIA MASHINE MPYA ZA KAZI
UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa wachezaji wapya ambao wametambulishwa watafanya kazi kubwa kwa kushirikiana na wengine katika mechi za ushindani kitaifa na kimataifa. Simba imeweka kambi nchini Misri ikiwa ni maandalizi ya kuelekea msimu wa 2024/25 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kutokana na kila timu kujipanga kufanya vizuri. Ipo wazi kwamba katika anga la kimataifa…