
TANZIA: BABA WA CEO AZAM FC ATANGULIA MBELE ZA HAKI
MTENDAJI Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Amin, maarufu kwa jina la Popat baba yake mzazi ametangulia mbele za haki Mei 23 2025. Taarifa iliyotolewa na Azam FC imeeleza namna hii: Asalaam Aleykum wa Rahmatullahi wa Barakatuhu! “Kwa masikitiko makubwa, Azam FC inatangaza kifo baba mzazi wa Mtendaji wetu Mkuu (CEO), Abdulkarim Amin ‘Popat’, Mzee MohamedAmin…