Arsenal Wanazidi Kuandika Historia Mpya ya Mafanikio

Kule Uingereza hasa mitaa ya London, Arsenal wanazidi kung’ara siku hadi siku baada ya kuendelea kufanya vizuri kwenye mashindano yote ambayo wanashiriki ikiwemo EPL mpaka yale ya UEFA huku ikiwa ni timu mojawapo inayopewa nafasi ya kushinda mataji msimu huu. Arsenal wanaendelea kuthibitisha kuwa mafanikio ya sasa si bahati, bali ni matokeo ya mpango madhubuti,…

Read More

Sundowns Wapeleka Salamu Nzito kwa Wapinzani, Yatinga Robo

Matokeo ya Leo: πŸ‡ΈπŸ‡© Al Hilal SC 1️⃣ – 0️⃣ FC Saint Eloi Lupopo πŸ‡¨πŸ‡© πŸ‡ΏπŸ‡¦ Mamelodi Sundowns 2️⃣ – 0️⃣ MC Alger πŸ‡©πŸ‡Ώ πŸ“Š Msimamo wa Kundi πŸ‡ΈπŸ‡© Al Hilal SC – 11 pts βœ… πŸ‡ΏπŸ‡¦ Mamelodi Sundowns – 9 pts βœ… πŸ‡©πŸ‡Ώ MC Alger – 7 pts πŸ‡¨πŸ‡© St Eloi Lupopo – 5…

Read More