![KARIAKOO DABI HII HAPA, RATIBA NGAO YA JAMII](https://salehjembe.co.tz/wp-content/uploads/2023/04/Mashabiki-wa-Yanga-dhidi-ya-Simba.jpg)
KARIAKOO DABI HII HAPA, RATIBA NGAO YA JAMII
BURUDANI ya Ligi Kuu Bara ipo njinai kurejea baada ya ratiba ya mechi za ufunguzi kutolewa hivyo ni muda wa kila mmoja kutambua kipi ambacho atavuna kwa msimu mpya wa 2024/25. Ni Agosti 8 2024 ambapo wababe wawili Simba na Yanga watakutana hatua ya nusu fainali ya Ngao ya Jamii, Uwanja wa Mkapa. Ikumbukwe kwamba…