Pitso Mosimane ndani ya ardhi ya Tanzania kwa mradi wa Yanga Soccer School
PITSO Mosimane kocha wa zamani wa Mamelodi Sundowns na Al Ahly amesema kuwa kuwafundisha watoto mpira ni jambo la lazima kwa kuwa huko ndiko wanatokea kuelekea katika timu za wakubwa. Usiku wa kuamkia Novemba 15,2025 Pitso aliwasili Bongo akitokea Afrika Kusini ikiwa ni mualiko rasmi kutoka Klabu ya Yanga SC ambayo inatarajia kuzindua mradi wa…