Azam FC vs Simba SC NMB Mapinduzi Cup

Azam FC vs Simba SC NMB Mapinduzi Cup mchezo mkali unatarajiwa kuchezwa kesho Januari 8,2026 Uwanja wa New Amaan Complex. Wababe hawa kutoka bara kila mmoja anaingia uwanjani akitoka kupata ushindi kwa bao la jioni mbele ya mpinzani hatua ya makundi. Simba SC ilipambana mbele ya Fufuni FC dakika ya 90 bao la ushindi lilifungwa…

Read More

Shirikisho la soka la Nigeria Lakanusha taarifa za Osimhen na Adams kuondoka kambini

Shirikisho la soka la Nigeria limekanusha ripoti zinazodai kuwa Wachezaji wawili Victor Osimhen na Akor Adams kuwa wameondoka kwenye kambi ya Super Eagles nchini Morocco katika Mashindano ya AFCON. Shirikisho pia limetupilia mbali madai ya kuwepo kwa mpasuko kati ya Osimhen na Ademola Lookman. Limeeleza kuwa masuala yaliyotokana na mabishano ya Uwanjani wakati wa mechi…

Read More

Chelsea yamtangaza Liam Rosenior kuwa kocha mkuu mpya

Klabu ya Chelsea imethibitisha kumteua mkufunzi Liam James Rosenior kuwa kocha mkuu mpya klabuni hapo akichukua mikoba ya Enzo Maresca aliyetupiwa virago wiki iliyopita. Rosenior (41) raia wa England ambaye alikuwa kocha wa klabu ya Strasbourg inayomilikiwa na Kampuni ya BlueCo, ambayo pia inaimiliki Chelsea amesaini mkataba wa miaka sita na nusu utakaombakisha klabuni hapo…

Read More

Kitawaka AFCON leo Tandika Jamvi Lako la Ushindi Hapa, Algeria vs DR Congo, Ivory Coast Yakutana na Burkina Faso

Michuano ya AFCON barani Afrika inaendelea lakini pia kuna mechi nyingine nyingi zinaendelea. Ingia kwenye akaunti yako na uanze kusaka nafasi ya ushindi na Meridianbet sasa. Kule Italia, SERIE A pia kuna mechi za pesa ambapo Pisa atakipiga dhidi ya Como 1907 ambao wamekuwa na mwenendo mzuri kabisa msimu huu. Mwenyeji yeye mpaka sasa anashika…

Read More

Meridianbet Yaipandisha Thamani Aviator Kwa Kutoa Samsung A26

Meridianbet inaendelea kuimarisha nafasi yake kama chapa inayoelewa mahitaji ya wateja wake kwa kuanzisha kampeni bunifu zinazounganisha burudani na zawadi zenye thamani. Katika mwanzo wa mwaka 2026, kampuni hiyo imechagua kuwekeza zaidi kwenye uzoefu wa mtumiaji kwa kuleta kampeni maalum inayolenga kuongeza msisimko ndani ya jukwaa lake. Mchezo wa Aviator, ambao tayari una umaarufu mkubwa…

Read More

Misri 3-1 Benini, AFCON 2025

Timu ya taifa ya Misri imetinga hatua ya robo fainali kwa ushindi dhidi ya Benin kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora uliochezwa leo Januari 5 2026. Mchezo huo umekwenda mpaka dakika ya 120 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja Adrar,Agadir kusoma Misri 1-1 Benin. Katika dakika 30 Misri ilifunga magoli mawili. Misri walianza…

Read More

Waziri Mkuu Mwigulu – “Taifa Stars Hawakutolewa Wameondolewa – Sisi Ni People Morocco Tutakutana”…

Waziri Mkuu wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa agizo kwa wizara za michezo na mashirikisho ya soka nchini (TFF na ZFA) kuangalia upya kanuni za mashindano ili kuwapa nafasi zaidi wachezaji wazawa, ikiwa ni mkakati wa kuandaa kikosi imara kuelekea mashindano ya AFCON 2027 ambapo Tanzania itakuwa mwenyeji. Akizungumza leo Januari 5, 2026, visiwani Unguja,…

Read More