Ushindi wa Man Utd dhidi ya Man City Watoa Mabadiliko ya Msimamo EPL
Man Utd wameingia Top 6 📈 Aston Villa wana nafasi ya kwenda nafasi ya 2 kesho baada ya Man City kupoteza dhidi ya Man Utd 👀 Klabu ya Manchester Utd imeibuka na ushindi mnono wa bao 2-0 dhidi ya Manchester City katika mchezo wa derby ya jiji la Manchester katika mchezo uliyochezwa katika uwanja wa…