Azam FC vs Simba SC NMB Mapinduzi Cup
Azam FC vs Simba SC NMB Mapinduzi Cup mchezo mkali unatarajiwa kuchezwa kesho Januari 8,2026 Uwanja wa New Amaan Complex. Wababe hawa kutoka bara kila mmoja anaingia uwanjani akitoka kupata ushindi kwa bao la jioni mbele ya mpinzani hatua ya makundi. Simba SC ilipambana mbele ya Fufuni FC dakika ya 90 bao la ushindi lilifungwa…