
AUCHO OUT YANGA,KUWAKOSA AZAM FC
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Khalid Aucho atakosekana kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex. Mchezo huo ni Aprili 10 unatarajiwa kuchezwa ikiwa ni mzunguko wa pili kwenye msako wa pointi tatu muhimu ndani ya uwanja. Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza baada ya dakika 90 ubao…