KARIAKOO DABI HII HAPA, RATIBA NGAO YA JAMII

BURUDANI ya Ligi Kuu Bara ipo njinai kurejea baada ya ratiba ya mechi za ufunguzi kutolewa hivyo ni muda wa kila mmoja kutambua kipi ambacho atavuna kwa msimu mpya wa 2024/25. Ni Agosti 8 2024 ambapo wababe wawili  Simba na Yanga watakutana hatua ya nusu fainali ya Ngao ya Jamii, Uwanja wa Mkapa. Ikumbukwe kwamba…

Read More

SIMBA KAZI IPO HUKO, KOCHA KUANZA NA HILI

FADLU Davids Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kazi kubwa iliyopo kwa sasa ni kuwaandaa wachezaji kuwa tayari kwa ushindi kwenye mechi zao za ushindani zijazo. Kuelekea msimu wa 2024/25 Simba imeweka kambi Misri ikiwa na wachezaji kama Mzamiru Yassin, Zimbwe, Ally Salim na ligi inatarajiwa kuanza Agosti 16 2024 huku mabingwa wakiwa ni Yanga…

Read More

YANGA HAO AFRIKA KUSINI

UONGOZI wa Yanga umebainisha kwamba utakwenda Afrika Kusini kwa ajili ya mwendelezo wa maandalizi ya msimu wa 2024/25 wakiwa wamealikwa kutokana na thamani ya timu hiyo kupanda. Chini ya Kocha Mkuu Miguel Gamondi, Yanga msimu wa 2023/24 iliweka kambi Bongo na ikafanikiwa kutwaa taji la ligi ikimaliza msimu ikiwa na pointi 80 baada ya kucheza…

Read More

𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗬𝗔𝗢𝗡𝗚𝗢𝗭𝗔 𝗠𝗔𝗨𝗭𝗢 𝗬𝗔 𝗧𝗜𝗞𝗘𝗧𝗜 𝗠𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗪𝗔 𝟮𝟯/𝟮𝟰

Mauzo ya tiketi za kuingia viwanjani kwenye michezo ya nyumbani ya klabu zote za ligi kuu ya NBC kwenye msimu wa 2023/24. Klabu ya Simba Sc imeongoza kwenye mauzo hayo huku ikitajwa kuingia zaidi ya kiasi cha shilingi Milioni ( 835, 805, 000 Tsh) huku Wananchi Yanga wapo nafasi ya pili wakiingiza jumla ya kiasi…

Read More

VIDEO: LIVE ISHU YA YANGA NA SAKATA LA UONGOZI WA MADARAKANI

UONGOZI wa Yanga umefungukia ishu ya sakata la kesi yao mahakamani pamoja na mpango kazi kuhusu mzee Magoma huku wakibainisha kwamba kila kitu kipo sawa kwa sasa na uongozi bado una mamlaka ya kuendelea na kazi kupitia kwa Mwanasheria Patric Saimon huku wakibainisha kuwa kuna masuala ambayo hayazuiliwi kusikilizwa kwenye Mahakama yanayouhusu mpira ikiwa ni…

Read More

SHINDA MAMILIONI YA EXPANSE KASINO

Expanse Tournament bado inaendelea, huenda leo ukaibuka mshindi wa Zaidi ya 2,500,000/= cheza kasino ya mtandaoni huku ukivuna mabonasi ya kasino kibao. Jisajili hapa kisha anza safari ya ushindi. Mwisho wa promosheni ya Shindano la Expanse Kasino washindi 40, watagawiwa bonasi za kasino na pesa taslimu kwenye kaunti zao za Meridianbet. ZAWADI ZIKOJE? Expanse Tournament…

Read More

YANGA KUMALIZANA NA MSHAMBULIAJI HUYU

UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa kuna wachezaji ambao watatambulishwa ndani ya kikosi hicho wakiwa na uwezo mkubwa jambo litakaloongeza nguvu kuelekea msimu wa 2024/25. Yanga inanolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi msimu wa 2023/24 safu ya ushambuliaji ilifunga jumla ya mabao 71 na kinara alikuwa ni Aziz Ki aliyefunga mabao 21. Kwa upande wa maingizo…

Read More

INONGA ANATUA AS FAR RABAT

BEKI wa zamani wa Simba ya Tanzania, Henock Inonga anatajwa kuwa kwenye changamoto mpya ndani ya AS FAR Rabat kwa ajili ya kutimiza majukumu yake hapo. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2023/24 Inonga ndani ya ligi alicheza mechi 10 pekee za ligi muda mwingi alikuwa akitumia kwenye matibabu kwa kuwa hakuwa fiti. Inonga anatua AS FAR…

Read More

AZAM WAMSAJILI ‘MBAPPE’ KUTOKA REAL BAMAKO

KLABU ya Azam FC imethibitisha kuinasa saini ya kiungo mshambuliaji wa Kimataifa wa Mali, Cheickna Diakite, waliyemnunua kutoka miamba ya huko kwao, Real Bamako kwa mkataba wa miaka mitatu. Azam FC inakwenda kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2024/25 ambapo itaanzia hatua ya awali baada ya kugotea nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi…

Read More

BARAZA LA WADHAMINI YANGA MATATANI

YANGA imepokea hukumu ya kutotambulika kwa Baraza la Wadhamini la klabu hiyo kufuatia hukumu iliyotolewa Agosti 2, 2023 na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Hukumu hiyo inatokana na kesi ya msingi iliyofunguliwa Agosti 4,2022 na walalamikaji Juma Ally na Geoffrey Mwaipopo, wakitaka kutotambulika kwa Baraza la wadhamini la Yanga lililowekwa madarakani kwa katiba ya mwaka…

Read More

UNAWEZA UKAOKOTA MAOKOTO NA MECHI ZA KIRAFIKI LEO

Jumanne ya leo hii timu mbalimbali zinaendelea kujifua vyema na kujiweka sawa kwaajili ya msimu mpya wa 2024/25 ambao unatarajiwa mwezi ujao katikati. Hivyo na wewe unaweza ukaanza kutafuta pesa kwaajili ya kukusaidia kila siku. Kule Afrika Kusini Mamelod Sundowns atakuwa ugenini kupepetana dhidi ya SV Sandhausen ya kule Ujerumani. Ikumbukwe kuwa Masandawana wameachana na…

Read More

KOCHA WA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND ATANGAZA KUJIUZULU

Mkufunzi Gareth Southgate ametangaza kujiuzulu nafasi yake kama kocha wa timu ya taifa ya England ikiwa ni siku mbili baada ya kushindwa kuiongoza England kutwaa ubingwa wa EURO 2024 dhidi ya Uhispania kwenye fainali. Southgate (53) raia wa England ameiongoza England kwenye mechi 102 kwa miaka 8 ya uhudumu wake kwenye nafasi hiyo lakini hakufanikiwa…

Read More

SIMBA YATANGAZA KUVUNJA MKATABA WA JOBE

KLABU ya Simba imethibitisha kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba na mshambuliaji Pa Omar Jobe baada ya kuhudumu klabuni hapo wa kipindi kifupi cha miezi sita tu. Jobe aliibuka ndani ya Simba kwenye dirisha dogo kwa lengo la kuongeza nguvu katika kikosi hicho ambapo ni Moses Phiri aliondoka ili asajiliwe. Wakati Phiri anaondoka Simba alikuwa amefunga…

Read More