AUCHO OUT YANGA,KUWAKOSA AZAM FC

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Khalid Aucho atakosekana kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex. Mchezo huo ni Aprili 10 unatarajiwa kuchezwa ikiwa ni mzunguko wa pili kwenye msako wa pointi tatu muhimu ndani ya uwanja. Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza baada ya dakika 90 ubao…

Read More

NI SIKU YA CHAMPIONS LEAGUE YA MOTO MOTO LEO!

Ikiwa leo ni siku nzuri kabisa ya Jumanne, Ligi ya mabingwa barani Ulaya inaendelea huku wewe ukiwa na nafasi ya kuchukua mpunga wa maana mbele ya Mabingwa wa odds kubwa Tanzania Meridianbet. Tandika jamvi na ushinde hapa. Pale Allianz Arena kati ya Bayern Munich vs Inter Milan huku timu hizi zote zikiwa ndiyo vinara kwenye…

Read More

AZAM FC KUWAKABILI YANGA WAKITOKA KUFUNGWA

BAADA ya mchezo wao uliopita wakiwa ugeneni kupoteza kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa Liti ukisoma Singida Black Stars 1-0 Azam FC, kituo kinachofuata ni dhidi ya Yanga. Matajiri wa Dar kwenye mechi mbili ugenini walipata ushindi mchezo mmoja na kuambulia kichapo mchezo mmoja ambapo ushindi ilikuwa Uwanja wa Sokoine, baada ya dakika 90 ubao…

Read More

YANGA WASEPA NA TUZO ZAO MAZIMA

WASHINDI wa tuzo ndani ya Ligi Kuu Bara Tanzania ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika kwa Machi wamesepa na tuzo zao mazima baada ya kukabidhiwa Aprili 7 2025 Uwanja wa KMC Complex. Tuzo hizo walikabidhiwa na wadhamini wakuu wa Ligi Kuu ya NBC benki ya NBC ilikuwa ni kwa Prince Dube ambaye ni mshambuliaji…

Read More

ZUNGUSHA, SHINDA NA JISHINDIE ZAWADI KUBWA KUPITIA MASHINDANO YA SMARTSOFT KWENYE MERIDIANBET!

Kampuni maarufu ya michezo ya kubashiri na burudani ya mtandaoni, Meridianbet, imezindua rasmi kampeni ya kusisimua ya mwezi huu: “Mashindano ya SmartSoft: Zungusha na Ushinde!” Ikiwa ni sehemu ya dhamira ya Meridianbet kutoa burudani ya kipekee, mashindano haya yanafungua fursa ya kipekee kwa wateja wote kujishindia zawadi kubwa kwa kucheza michezo ya SmartSoft. Jinsi Mashindano…

Read More

YANGA YAKOMBA SITA ZA COASTAL UNION JUMLAJUMLA

KIUNGO wa Yanga, Pacome amepachika bao pekee la ushindi kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Coastal Union uliochezwa Uwanja wa KMC Complex dakika ya 34 kipindi cha kwanza akitumia pasi ya Maxi Nzengeli. Pacome amekuwa kwenye ubora wake na katika mchezo dhidi ya Tabora United, Aprili 2 2025 alitoa pasi mbili za mabao alimpa Prince…

Read More

VIDEO: SIMBA YATANGAZA SILAHA NYINGINE KUWAMALIZA WAARABU

KUELEKEA kwenye mchezo wa kimataifa hatua ya robo fainali ya pili kati ya Simba v Al Masry, uongozi wa Simba umebainisha kuwa mashabiki wote wa Dar wanapaswa kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Mkapa kumaliza kazi kupata ushindi dhidi ya Al Masry. Simba wamebainisha kwamba wamedhamiria ubaya ubwela na kukusanya kila siala kusaka ushindi na kutangaza…

Read More

MAJESHI YA YANGA V COASTAL UNION

KIKOSI cha Yanga ambacho kimepangwa kuanza kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal Union ya Tanga kipo namna hii:- Djigui Diarra, Israel Mwenda, Nickson Kibabage, Dockson Job, Bakari Nondo, Khalid Aucho, Maxi Nzengeli. Duke Abuya, Prince Dube, Pacome, Mzize Clement. Wachezaji wa akiba ni : Aweso, Kibwana Shomari, Farid, Nkane, SureBoy, Shekhan, Mudathir,…

Read More

AZAM FC YABANWA MBAVU NA WAKULIMA

WAKULIMA wa alizeti, Singida Black Stars wamewabana mbavu mataji wa Dar kwenye mchezo wa ligi mzunguko wa pili kwa kukomba pointi tatu mazima dhidi ya Azam FC katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Liti, Aprili 6 2025 ambapo matajiri Azam FC walisepa wakiwa wameyeyusha pointi tatu mazima. Katika mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa dakika 45…

Read More

ZIDANE: NINAAMBIWA MUDA WANGU BADO

ZIDANE Sereri nyota wa Azam FC ameweka wazi kuwa kuna dhana ya kukatishana tamaa kwenye masuala ya upambanaji jambo ambalo linasababisha wengi kukwama kufikia malengo yao. Nyota huyo atakumbukwa na kipa Moussa Camara wa Simba kwenye Mzizima Dabi alimtungua bao la jioni akiwa ndani ya 18 mwisho ubao ukasoma Simba 2-2 Azam FC na alichaguliwa…

Read More

SIMBA YAGOMEA KUGOTEA ROBO FAINALI

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa haupo tayari kugotea kwa mara nyingine tena kwenye hatua ya robo fainali kwenye mashindano ya kimataifa Afrika malengo ni kuona wanavuka hatua hiyo na kutinga hatua ya nusu fainali Kombe la Shirikisho Afrika. Katika mchezo wa kwanza wa robo fainali wakiwa ugenini nchini Misri, Aprili 2 2025 baada ya dakika…

Read More

YANGA KUIKABILI COASTAL UNION KWA TAHADHARI

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi amebainisha kuwa mchezo wao dhidi ya Coastal Union hautakuwa mwepesi lakini wamefanya maandalizi mazuri ili kupata pointi tatu muhimu baada ya dakika 90 za mchezo. Ni Aprili 7 2025 Yanga wanatarajiwa kumenyana na Coastal Union ya Tanga, saa 10:00 Uwanja wa KMC, Complex ikiwa ni mzunguko wa pili baada…

Read More

RATIBA YA MECHI ZA LEO IPO HAPA TIMIZA NDOTO ZAKO HAPA

Mechi kali za kukupa maokoto zipo hapa na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000 kwenye mechi za leo. BUNDESLIGA kuendelea leo RB Leipzig watakuwa nyumbani dhidi ya TSG Hoffenheim huku mara ya mwisho kuonana RB laipigika. Je leo hii kwa ODDS…

Read More