SIMBA HAWANA HOFU NA AZAM FC

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa hawana hofu na wapinzani wao kwenye mchezo wao wa Mzizima Dabi ambao unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Simba imecheza mechi mbili ndani ya Ligi Kuu Bara ambazo ni dakika 180 na kupata ushindi kwenye mechi zote hizo huku Azam FC ikicheza mechi nne ambazo ni dakika…

Read More

YANGA YAZITAKA POINTI TATU ZA KEN GOLD

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ken Gold unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya na kikubwa ni pointi tatu muhimu wanahitaji. Mchezo huo ni wa pili kwa Yanga ambao ni mabingwa watetezi ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza ilikuwa dhidi ya Kagera Sugar ulichezwa…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA HII HAPA

LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea ikiwa ni mzunguko wa kwanza msimu wa 2024/25 ambapo kila timu zipo tayari kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Vinara ni Singida Black Stars baada ya kucheza mechi nne wamekomba pointi zote 12 huku nafasi ya pili ikiwa ni Fountain Gate yenye pointi 10, Ken Gold ambayo itakuwa kazini leo…

Read More

MPANZU NI MALI YA SIMBA

WINGA raia wa DR Congo Ellie Mpanzu rasmi amemalizana na Simba kwa kusaini dili la miaka miwili kuitumikia timu hiyo ambayo inanolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Ikumbukwe kwamba Septemba 22 Mpanzu alikuwa Uwanja wa Mkapa kushuhudia timu hiyo ikicheza mchezo wa raundi ya pili Kombe la Shirikisho kusaka mshindi wa kutinga hatua ya makundi…

Read More

ALIYEWAZIMA WAARABU KWA MKAPA JIONI AFICHUA SIRI

NYOTA wa Simba kiungo Edwin Balua aliyewazima wapinzani wao kwenye anga la kimataifa jioni amefichua alichoambiwa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids kabla ya kuingia kwenye mchezo huo. Septemba 22 2024 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 3-1 Al Ahli Tripoli huku mabao ya Simba yakifungwa na Kibu Denns dakika ya…

Read More

BEKI WA WAARABU HUYU VITENDO VYAKE NI OVYO

LEGEND kwenye ulimwengu wa Habari za Michezo Bongo, Saleh Ally Jembe ameweka wazi kuwa beki chipukizi kutoka Rwanda ambaye anacheza ndani ya kikosi cha Al Ahli Tripoli ni mchezaji wa Hovyo kutokana na vitendo vyake kutokuwa vya kiungwana. Ikumbukwe kwamba Al Ahli Tripoli imefungashiwa virago na Simba ya Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Kombe…

Read More

NADO MZEE WA REKODI NDANI YA AZAM FC

MWAMBA Idd Suleiman Nado ni mzee wa rekodi ndani ya Azam FC kwenye msimu mpya wa 2024/25 ambao umeanza kwa ushindani mkubwa na timu hiyo ilipata ushindi kwenye mchezo wake wa tatu baada ya kucheza dakika 180 bila kupata pointi tatu. Ikumbukwe kwamba Nado ni mchezaji wa kwanza kupiga kona katika kikosi hicho ilikuwa Agosti…

Read More

YANGA WAPIGA HESABU ZA KIMATAIFA

NAHODHA wa Yanga, Bakari Nondo amesema kuwa makosa ambayo yalitokea kwenye mchezo uliopita ugenini licha ya kupata ushindi yamefanyiwa kazi na benchi la ufundi hivyo wataingia uwanjani wakiwa na hesabu za kupata ushindi kwenye mchezo wao wa kimataifa. Septemba 21 Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi itakuwa Uwanja wa New Amaan Complex kusaka ushindi…

Read More

KMC YAKIRI KUFANYA MAKOSA MENGI UWANJANI

BENCHI la ufundi la KMC limebainisha kuwa kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC, Mwenge baada ya dakika 90 wakapoteza pointi tatu. Ilikuwa KMC 0-4 Azam FC ambao walipata ushindi wa kwanza ndani ya ligi baada ya kucheza mechi mbili mfululizo bila kupata ushindi. Mechi…

Read More

AZAM FC YAIPIGIA HESABU KMC

UONGOZI wa Azam FC umebainisha kuwa upo tayari kwa mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC kutokana na maandalizi waliyofanya na wanahitaji pointi tatu muhimu. Ikumbukwe kwamba kwenye mechi mbili za Ligi Kuu Bara msimu wa 2024/25 Azam FC haijafungwa wala kufungwa ndani ya dakika 180 walizocheza mechi za ushindani uwanjani. Hasheem Ibwe,…

Read More