Kuwait vs Tanzania, Novemba 15,2025

TIMU ya Taifa ya Tanzania inayofundishwa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi Novemba 15,2025 itakuwa kazini kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Kuwait. Tayari kikosi cha Tanzania kipo nchini Misri kwa maandalizi ya mwisho ya mchezo huo miongoni mwa hao ni Mohamed Hussen Zimbwe Jr, Kelvin John, Shomari Kapombe, Bakari Nondo. Kelvin John amesema:…

Read More

JKT QUEENS MGUU SAWA ANGA LA KIMATAIFA

Baada ya timu ya JKT Queens FC kutoa sare ya pili mfululizo katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Wanawake Afrika, yanayoendelea hatua ya makundi, Ismailia nchini Misri, kocha wa timu hiyo Kessy Abdallah, amewaomba mashabiki wa timu hiyo wawe na amani, kwani, kuelekea mchezo wa mwisho wanaandaa mpango mkakati kuhakikisha timu inakwenda hatua ya nusu…

Read More

Meridianbet Yaendelea na Moyo wa Ukarimu: Yatoa Msaada Kwa Kituo cha Urekebishaji MRC

Meridianbet wameonyesha tena moyo wa huruma kwa kutoa msaada wa mahitaji muhimu kwa kituo cha MRC Rehabilitation Centre kilichopo Dar es Salaam. Hatua hii imeonyesha jinsi kampuni hiyo inavyoweka mbele ustawi wa jamii kama sehemu muhimu ya utendaji wake wa kila siku. Msaada huo ulihusisha bidhaa mbalimbali kama vyakula, sabuni, mafuta ya kupikia na bidhaa…

Read More

Yanga SC kufanya usajili wa mshambuliaji wa kazi

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves inatajwa kwamba wapo sokoni kutafuta mshambuliaji mwingine wa kazi. Katika eneo la ushambuliaji ni Andy Boyel, Prince Dube hawa wamekuwa wakipata nafasi ya kuanza huku Clement Mzize akiwa nje ya uwanja kutokana na maumivu ya goti. Licha ya timu hiyo…

Read More

Meridianbet Yazindua Slotopia — Ulimwengu Mpya wa Burudani na Ushindi wa Kasino Mtandaoni!

Meridianbet wanazidi kuwapendelea wapenzi wa kasino mtandaoni. Sasa wamekuja na mtoa huduma mpya wa michezo ya kasino, Slotopia, anayebeba msisimko na burudani isiyo na kifani. Sasa kila mzunguko unaocheza kwenye Meridianbet inaweza kuwa fursa ya kushinda, kufurahia, na kuingia kwenye ulimwengu wa burudani ya kisasa ya kasino. Slotopia inakuletea mkusanyiko wa michezo ya kisasa yenye…

Read More

Steven Mukwala mambo bado Simba SC

Steven Mukwala msimu wa 2025/26 mambo bado magumu kwenye mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara kutokana na kukwama kufungua akaunti ya mabao. Ipo wazi kwamba Mukwala hajawa katika ubora ambao unahitajika kutokana na kukosa nafasi za kufunga anapopata nafasi kwenye mechi za ushindani. Rekodi zinaonyesha kuwa kwenye mchezo dhidi ya JKT Tanzania uliochezwa Novemba 8,2025…

Read More