Meridianbet Yazindua Clash 4 Ca$h Tournament – Zawadi Zaidi ya TZS 1.5 Bilioni Kusubiri Washindi!

Wapenzi wa michezo ya kasino, habari njema imewasili kwenu. Meridianbet, kinara wa michezo ya kasino mtandaoni, imezindua Clash 4 Ca$h Tournament, mashindano makubwa zaidi kuwahi kutokea, yakibeba zawadi ya jumla ya zaidi ya TZS 1.5 Bilioni. Hii ni nafasi ya kipekee kwa wachezaji wote nchini kuonyesha uwezo wao kwenye michezo ya sloti na kuwania nafasi…

Read More

Yanga SC vs Silver Strikers hesabu zimeanza mapema

UONGOZI wa Yanga SC umeweka wazi kuwa unaamini utafanikiwa kuandika historia kwa kutinga hatua ya makundi kwa kupata ushindi kwenye mchezo ujao dhidi ya Silver Strikers. Ikumbukwe kwamba Oktoba 18, 2025 matokeo yalikuwa Yanga SC 0-1 Silver Strikers CAF Champions League mchezo uliochezwa Uwanja wa Bingu.  Goli la ushindi lilifungwa dakika ya 76 na Andulu Yosefe…

Read More

Live: Nsingizini Hotspurs 0-3 Simba SC

FT: Ligi ya Mabingwa Afrika:  Nsingizini Hotspurs 0-3 Simba SC Uwanja wa Somholo kuwania kufuzu hatua ya makundi. Magoli yamefungwa na Wilson Nangu dakika ya 45, Kibu Denis magoli mawili dakika ya 83 na 89. Zinaongezwa dakika 6 Gooooal Simba SC wanapata goli la tatu dakika ya 89 kupitia kwa Kibu Dennis akitumia pasi ya…

Read More

eal Madrid na Liverpool Moto Uleule! Bashiri Mechi Kali za Wikiendi

Wakali wa ubashiri Tanzania wanakwambia kuwa Wikendi bila kubashiri na Meridianbet hainogi kabisa. Unajua ni kwanini?. Kwasasa mechi kibao zinatarajiwa kuendelea hivyo nafasi kubwa ya wewe kuondoka na mshindo ni kubwa pia. Jisajili na ubashiri sasa. BUNDESLIGA nayo itaendelea kwa michezo miwili, Freiburg atamleta kwake Eintracht Frankfurt ambao wametoka kupoteza mechi yao iliyopita, huku wenyeji…

Read More

Real Madrid na Liverpool Moto Uleule! Bashiri Mechi Kali za Wikiendi

Wakali wa ubashiri Tanzania wanakwambia kuwa Wikendi bila kubashiri na Meridianbet hainogi kabisa. Unajua ni kwanini?. Kwasasa mechi kibao zinatarajiwa kuendelea hivyo nafasi kubwa ya wewe kuondoka na mshindo ni kubwa pia. Jisajili na ubashiri sasa. BUNDESLIGA nayo itaendelea kwa michezo miwili, Freiburg atamleta kwake Eintracht Frankfurt ambao wametoka kupoteza mechi yao iliyopita, huku wenyeji…

Read More

Breaking: Romain Folz afukuzwa Yanga SC

Romain Folz aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga SC kwenye mechi saba rasmi amefukuzwa Oktoba 18,2025 kwenye nafasi hiyo. Mara baada ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Silver Strikers, Yanga SC wametoa taarifa kuhusu kuvunja mkataba na Folz. Mchezo wa leo akiwa benchi baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Bingu-Malawi umesoma…

Read More