


NDANI YA WIKI MBILI UWANJA WA MKAPA UTAKUWA TAYARI KUCHEZEWA FAINALI
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma amemuagiza mkandarasi anayesimamia ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa kuhakikisha maeneo muhimu ya uwanja huo yanakamilika ifikapo Mei 10, 2025. Ametoa maelekezo ya ukarabati wa miundombinu mingine muhimu ndani ya uwanja huo, ikiwemo kukamilisha sehemu ya benchi la ufundi la waamuzi kwa kuweka mataili, kuweka…

YANGA KUSAKA TIKETI KUTINGA FAINALI
KUTOKA ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC inakibarua cha kusaka tiketi kutinga fainali Muungano Cup 2025 kwa kusaka ushindi dhidi ya Zimamoto FC saa 1:15 Uwanja wa Gombani, Pemba. Β Kwenye robo fainali ya Zimamoto ilikuwa ni Aprili 25 2025 ilipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Coastal Union inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara….

SIMBA HESABU FAINALI, KUANZIA UGENINI
MOHAMED Hussen Zimbwe Jr nahodha wa Simba amewaomba Watanzania waendelee kuwaombe kuelekea kwenye mchezo wa hatua ya fainali Kombe la Shirikisho Afrika. Ni Mei 17 2025 wanatarajiwa kuwa ugenini nchini Morocco kumenyana na RS Berkane na Mei 25 2025 watakuwa Dar kwenye fainali ya pili itakayoamua mshindi wa jumla atakayetwaa taji hilo. Simba SC inayonolewa…

AZAM FC YAMALIZA MWENDO MUUNGANO CUP
JKU SC imewaondoa vigogo wawili katika Muungano Cup 2025 ambao wapo ndani ya nne bora Ligi Kuu Tanzania Bara. Walianza na Singida Black Stars katika hatua ya robo fainali Aprili 24 ilikuwa JKU SC 2-2 Singida Black Stars katika penalti ilikuwa JKU SC 6-5 Singida Black Stars. Aprili 28 2025, Azam FC waliumaliza mwendo kwa…

HIZI HAPA REKODI ZA STELLENBOSCH 0-0 SIMBA SC
NUSU fainali ya pili ya maamuzi Kombe la Shirikisho Afrika iligota mwisho Aprili 27 2025 ilipokuwa Stellenbosch FC 0-0 Simba SC, Simba SC imetinga hatua ya fainali kwa jumla ya bao 1-0 ambalo walipata kwenye mchezo wa nusu fainali ya kwanza Uwanja wa Amaan likifungwa na Jean Ahoua dakika ya 44. Hizi hapa dakika 90…

AZAM FC KWENYE DAKIKA 90 ZA KAZI GOMBANI
MATAJIRI wa Dar, Azam FC leo Aprili 28 2025 wanatarajiwa kuwa kazini kwenye mchezo wa nusu fainali Muungano Cup, visiwani Zanzibar katika dakika 90 za kazi kusaka tiketi yakutinga hatua ya fainali. Azam FC itakuwa Uwanja wa Gombani, Pemba, leo Jumatatu saa 1.15 usiku kuvaana na JKU ambayo iliwafungashia virago Singida Black Stars hatua ya…

NAHODHA SIMBA SHUJAA ATUMA UJUMBE MKUBWA
SIMBA SC inayonolewa na Kocha Mkuu Fadlu Davids imetinga hatua ya fainali Kombe la Shirikisho Afrika kwa ushindi wa jumla ya bao 1-0 lililofungwa na Jean Ahoua, Uwanja wa Amaan dakika ya 44 kwa pigo la faulo, Aprili 20 2025. Aprili 27 2025 nchini Afrika Kusini baada ya dakika 90 ubao umesoma Stellenbosch FC 0-0…

HUYU HAPA ALIMJAZA NKANE KUHUSU KUCHEZA MUUNGANO CUP
KIUNGO wa Yanga, Dennis Nkane ameweka wazi kuwa aliambiwa na kiungo mshambuliaji Maxi Nzengeli kwamba atapata nafasi kwenye mechi za Muungano Cup, Zanzibar. Nkane ndani ya Yanga kwenye mechi za ushindani hajawa na nafasi ya kwanza kikosi cha kwanza ambapo Yanga ni vinara wa ligi wakiwa na pointi 70 baada yakucheza mechi 26. Alipata nafasi…

LIVA MABINGWA WAPYA EPL
Liverpool ni Mabingwa wapya wa Ligi Kuu England msimu wa 2024/25 kufuatia ushindi mnono wa 5-1 dhidi ya Tottenham Hotspur katika dimba la Anfield. Majogoo wametwaa ubingwa huo wa 20 kihistoria kwenye Ligi Kuu England zikiwa zimesalia mechi nne Ligi hiyo kufikia ukomo wakifikisha pointi 82 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote. FT: Liverpool 5-1…

SIMBA SC KUKUTANA NA RS BERKANE KATIKA FAINALI YA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA 2025
Klabu ya RS Berkane ya Morocco imeifuata Simba Sc kwenye fainali ya kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) kufuatia ushindi wa jumla wa 4-1 dhidi CS Constantine ya Algeria kwenye nusu fainali licha ya kupoteza 1-0 kwenye mchezo wa mkondo wa pili. FT: CS Constantine π©πΏ 1-0 π²π¦ RS Berkane (Agg. 1-4) β½ 47β Belhocini RS…

MTONI QUEENS NA SABASABA QUEENS ZAFURAHIA UJIO WA MERIDIANBET
Kampuni kubwa ya ubashiri Tanzania, Meridianbet leo hii tarehe 28 imeendelea na juhudi zake za kuisaidia jamii ambapo safari hii iliamua kuwagusa wanawake hasa katika sekta ya michezo. Timu za Mtoni Queens na Sabasaba Queens wamepokea vifaa vya michezo siku ya leo yaani mipira na jezi ambazo hizi zinapatikana katika kata ya Mtoni, jijini Dar…

WIKIENDI YA MOTO NA MERIDIANBET TIMIZA NDOTO YAKO
Leo hii maliza wikendi yako ukiwa na jamvi la uhakika ndani ya wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet. Timu za ushindi zipo tayari kukupatia matokeo. Weka dau lako na ujihakikishie ushindi sasa. Kule Italia, SERIE A itaendelea kuvurumishwa vilivyo ambapo Inter Milan vinara wa ligi watamkaribisha AS Roma ambao wamechwa pointi 14 hadi sasa. Inzaghi anahitaji…

AL AHLY YATANGAZA KUACHANA NA KOCHA KOLLER BAADA YA KUDONDOSHA NUSU FAINALI
Klabu ya Al Ahly ya Misri imetangaza kuachana na kocha Marcel Koller baada ya kutolewa katika nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa. Kocha huyo mwenye umri wa miaka 64 alipata lawama kubwa baada ya mabingwa watetezi kutolewa na Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini kwa kanuni ya bao la ugenini, baada ya kutoka sare ya 1-1…

SHINDA SIMU MPYA ZA KISASA NA MERIDIANBET!
Meridianbet inazidi kuwapa wateja wake burudani ya kipekee! Sasa unayo nafasi ya kipekee ya kuondoka na moja kati ya Samsung A25 mpya kabisa (5x) kupitia promosheni ya kusisimua: Jisajili, Weka Amana, Cheza na Ushinde! Ni rahisi kushiriki: π Jisajili kwenye Meridianbet. π Weka amana kwenye akaunti yako. π Cheza Kasino au kubashiri Michezo yoyote. Kila…

AHOUA ALIYEKOSA NAFASI YA DHAHABU KIMATAIFA YUPO KAMILI
KIUNGO mshambuliaji wa Simba Ahoua kwenye mchezo dhidi ya Stellenbosch FC alipata maumivu ya nyama za misuli dakika ya 86 alirejea uwanjani kukamilisha dakika nne zilizobaki. Kwenye mchezo huo akiwa ndani ya 18 na mpira alikosa nafasi ya wazi dakika ya 90 kwa shuti lake kwenda nje ya lango baada yakupewa pasi kutoka kwa nyota…

CHEZA MCHEZO WA 420 BLAZE IT DROO 10 ZA USHINDI
Je, umewahi kucheza mchezo wa droo wenye droo 10? Ikiwa hujawahi, sasa unapata nafasi kamili ya kufanya hivyo. Kupitia Meridianbet Kasino ya Mtandaoni kuna furaha inakusubiri kupitia droo moja tu ya ushindi. Taarifa za Msingi 420 Blaze It ni mchezo wa kasino ya mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma 1×2 Gaming na una droo 10. Kila…