Meridianbet Yaiunga Mkono Chanika Veteran Bonanza 2025
Kama ilivyo jadi yake, kampuni namba moja ya michezo ya ubashiri nchini, Meridianbet, imeendelea kuthibitisha nafasi yake kama mdau mkubwa wa michezo na maendeleo ya jamii kwa kudhamini mashindano ya “Chanika Veteran Bonanza 2025”, tukio linalokusanya timu kutoka maeneo mbalimbali ya wilaya ya Temeke kwa lengo la kukuza vipaji, kuimarisha umoja, na kuleta burudani ya…