VINARA WA LIGI KUU BARA WAIWAHI PAMBA JIJI MWANZA
VINARA wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2024/25 Singida Black Stars mapema wamewawahi wapinzani wao Pamba Jiji kwa lengo la kuzoea mazingira na kuanza mazoezi kuelekea mchezo wao wao ujao ambao utakuwa ni wannne. Ipo wazi kuwa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Patrick Aussems baada ya kucheza mechi tatu ambazo ni dakika 270 ilishinda…