Meridianbet Yaendelea na Ubunifu – Lucky Loser Yaleta Furaha Mpya kwa Wabashiri

Meridianbet inaleta habari njema kwa wapenda kubashiri: hata unapokosa namba zote, unaweza kuibuka mshindi kupitia promosheni ya Lucky Loser kwenye mchezo wa Win&Go! Ikiwa umeweka tiketi yenye namba 6 kwa pesa taslimu na bahati haijakaa upande wako, usiwe na wasiwasi, tiketi yako inakuwa mshindi mara moja kwa dau lako kuzidishwa x30. NB; Meridianbet haikuachi nyuma,…

Read More

Simba SC kuwafuata wapinzani wao kimataifa Eswatini

WAWAKILISHI wa Tanzania katika anga la kimataifa Simba SC wanatarajiwa kukwea pipa kesho Oktoba 16 kuelekea Eswatini kwa maandalizi ya mwisho ya mchezo wao ujao wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba SC ina kibarua cha kusaka ushindi raundi ya kwanza ya CAF Champions League dhidi ya Nsingizini Hotspurs kikiwa ugenini. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Oktoba…

Read More

Yanga SC kuwafuata wapinzani wao CAF

WAWAKILISHI wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga SC chini ya Kocha Mkuu Romain Folz wapo tayari kuelekea mchezo wao ujao ugenini. Kikosi cha Yanga SC kinatarajiwa kuwafuata wapinzani wao nchini Malawi Oktoba 16 kwa maandalizi ya mwisho ya mchezo wao ujao. Mchezo wa hatua ya pili katika Ligi ya Mabingwa Afrika 2025 yenye…

Read More

Teachers from Henan Polytechnic Institute (HPI) Travel to Tanzania’s “Zhangheng School”

Though thousands of miles apart from Henan Province, China to Dar es Salaam, Tanzania, the cooperation in vocational education has advanced smoothly. On July 31, two teachers majoring in Mechatronics from Henan Polytechnic Institute (HPI), Du Yichen and Liu Yachuang, set off on a mission to the Kipawa Information and Communication Technology (ICT) Center under…

Read More

Uwanja wa Sokoine Wafungwa Kutumika Kwa Mechi za Ligi

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungia Uwanja wa Sokoine uliopo jijini Mbeya kutumika kwa michezo ya Ligi, kutokana na kushindwa kukidhi vigezo vya kikanuni na masharti ya sheria za mpira wa miguu. TFF imesema miundombinu ya uwanja huo haikidhi matakwa ya Kanuni za Leseni za Klabu, kama ilivyoainishwa kwenye masharti ya kanuni hizo….

Read More

Slotopia Imeingia na Balaa Lake, Usikose Kuokota Kupitia Meridianbet

Katika harakati za kuendelea kuimarisha burudani kwa wateja wake, Meridianbet kwa mara nyingine imeibuka na habari njema kwa wapenda michezo ya kasino mtandaoni. Kupitia jukwaa lake la kisasa, Meridianbet sasa imeanzisha ushirikiano mpya na mtoa huduma wa michezo anayefahamika kama Slotopia, jina jipya lakini lenye maudhui mazito ya ubunifu na ushindi mkubwa. Slotopia si mtoa…

Read More

Simba SC yakataa uhuni kwenye mpira wa miguu

UONGOZI wa Simba SC umeweka wazi kuwa haukubaliani na vitendo vya kihuni kwenye mpira wa miguu kwa kuwa unarudisha nyuma maendeleo ya wachezaji na timu kiujumla. Simba SC inapeperusha bendera katika Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa hatua ya pili inatarajiwa kucheza mchezo wake wa kimataifa dhidi ya Nsiginzini Hotspurs Oktoba 19 2025 pia inaongoza ligi…

Read More

YANGA SC hesabu zao kimataifa

ALI Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga SC ameweka wazi kuwa mpango mkubwa ni kuona wanapata matokeo mazuri kwenye mechi zao mbili za kimataifa Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Romain Folz kwa sasa ipo kwenye maandalizi kuelekea kwenye mchezo ujao wa hatua ya pili Ligi ya Mabingwa Afrika. Itakuwa dhidi ya…

Read More