MSUVA: TAIFA STARS NI YA KILA MMOJA

NYOTA wa timu ya taifa ya Tanzania, Simon Msuva ameweka wazi kuwa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ni ya kila mmoja hivyo anayepewa nafasi ya kuitwa ana nafasi ya kupeperusha vema bendera ya Tanzania. Msuva hayupo kwenye orodha ya wachezaji waliochaguliwa kuunda kikosi cha Stars kwa ajili ya kuwania kufuzu AFCON 2025 Morocco…

Read More

UEFA NATIONS LEAGUE INAENDELEA TENA LEO

Ligi mbalimbali barani ulaya ni kweli zimesimama lakini hiyo sio sababu ya wewe kushindwa kushinda mkwanja, Kwnai michuano ya Uefa Nations League inaendelea na michezo mikali inapigwa karibu kila siku.   Michuano hii inaweza kukupa mkwanja na wikiendi ikachangamka kwasababu palwe kwenye tovuti ya Meridianbet michezo yake imepewa Odds bomba sana, Hivo ni fursa kwako…

Read More

CHUKUA MAOKOTO YA KUTOSHA KUPITIA MERIDIANBET LEO

Ukisikia ile siku ya wewe kujinyakulia maokoto ya kutosha basi ni leo Jumamosi ambapo itapigwa michezo mbalimbali mikali barani ulaya, Huku fursa ikibaki kwako wewe kuweka jamvi lako na kusubiria kitita.   Uefa Nations League imekuja na hatari yake kwani Meridianbet wamemwaga Odds za kutosha isivyo kawaida katika michezo ambayo inakwenda kupigwa leo, Hivo ni…

Read More

KARIAKOO DABI INAFUKUTA HUKO NA MZIZIMA DABI

MSIMU wa 2024/25 ushindani wake unatarajiwa kuwa mkubwa kutokana na kila timu kujipanga kupata matokeo chanya kwenye mechi za ushindani ambapo kwa sasa ligi imesimama kwa muda kutokana na ratiba ya FIFA. Wakati yote yakiendelea kuna fukuto ambalo lipo ikiwa ni kuelekea mechi kubwa Kariakoo Dabi na Mzizima Dabi ambazo zinatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa…

Read More

MKONGWE ASIYE NA SHAKA JIDE AHESHIMISHWA

SUGU amesema kuwa kuelekea kwenye Bongo Flava Honors ni zamu ya Jide kupanda jukwaani akiwa ni mkongwe wa kwanza wa kike kuheshimishwa kwenye jukwaa hilo Oktoba 25 2024 Ukumbi wa Warehouse, Masaki, Dar ambapo amesema kuwa ni msanii mkubwa sana sio Tanzania bali Afrika na Dunia kutokana na heshima aliyonayo anaamini watapiga nyimbo nyingi na…

Read More

KOCHA SIMBA: TUNA KAZI KUBWA KUFANYA KUWA IMARA

FADLU Davids, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kuna kazi kubwa ya kufanya ili kuwa imara kwenye mechi za ushindani ambazo watacheza ndani ya uwanja. Fadlu mkononi ana tuzo ya kocha bora Agosti 2024 baada ya kuingoza Simba kwenye mechi mbili za ligi ndani ya dakika 180, wakikomba ushindi kwenye mechi zote huku safu ya…

Read More

SIMON MSUVA KUCHEZA ULAYA

NYOTA Simon Msuva anakwenda kuanza maisha mapya Ulaya katika timu iliyopo Jamhuri ya Iraq huko Asia wa msimu wa 2024/25. Msuva ni miongoni mwa wachezaji wenye uwezo mkubwa uwanjani huku siri kubwa ikiwa ni mazoezi amekuwa akipenda kuona timu ya taifa ya Tanzania inapata matokeo mazuri kwenye mechi zote ambazo inacheza. Katika mchezo uliopita wa…

Read More

NYOTA YANGA NJE MIEZI MITATU

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi watakosa huduma ya kiungo wao wa kazi Farid Mussa. Ikumbukwe kwamba Yanga ilitwaa taji hilo la ligi msimu wa 2023/24 na ilimaliza ligi ikiwa namba moja na pointi 80 kibindoni baada ya kucheza mechi 30 za ligi. Ni Farid Mussa atalazimika kuwa…

Read More

MOROCCO: TUMECHEZA NA TIMU NGUMU, HAIKUWA RAHISI

BAADA ya timu ya taifa ya Tanzania , Taifa Stars kutoshana nguvu na timu ya taifa ya Ethiopia katika mchezo wa kuwania kufuzu AFCON 2025 Hemed Morocco, Kaimu Kocha Mkuu wa Stars amesema kuwa wamecheza na tim ngumu hivyo haikuwa rahisi kupata matokeo mazuri. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa Septemba 4…

Read More

TUZO YA SIMBA YATOLEWA UFAFANUZI

BAADA ya Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids kuchaguliwa kuwa kocha bora ndani ya Agosti 2024 na Jean Ahoua kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa Agosti, uongozi wa Simba umetoa ufafanuzi kuwa kwa namna yoyote ile ilikuwa ni lazima watwae tuzo hiyo kutokana na rekodi zilizoandikwa. Ipo wazi kuwa baada ya mechi mbili msimu wa 2024/25…

Read More

FUNGAFUNGA: CHAMA NI MCHEZAJI MZURI

MICHAEL Fred, fungafunga mshambuliaji wa zamani wa Simba amesema kuwa mchezaji Clatous Chama ni miongoni mwa wachezaji wazuri aliopata nafasi ya kucheza nao kwenye ligi. Kwa sasa Chama yupo ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi alipata nafasi ya kucheza mchezo dhidi ya Kagera Sugar, Uwanja wa Kaiataba baada ya dakika…

Read More

MICHAEL FRED AMTAJA MFUNGAJI BORA

MICHAEL Fred mshambuliaji wa zamani wa Simba amesema kuwa ikiwa atakuwa ndani ya Ligi Kuu Bara ana amini kwamba ikiwa atakuwa ndani ya Ligi Kuu Bara atakuwa mfungaji bora kwani kutokana na uwezo wakufanya hivyo ndani ya uwanja. Msimu wa 2024/25 Fred akiwa na uzi wa Simba alifunga jumla ya mabao sita na miongoni mwa…

Read More

AZAM FC YAVUNJA BENCHI ZIMA LA UFUNDI

RASMI ungozi wa Azam FC umefikia makubaliano ya kuvunja benchi la ufundi lililokuwa chini ya Kocha Mkuu, Yusuph Dabo raia wa Senegal. Taarifa iliyotolewa na Azam FC mapema Septemba 3 2024 imeeleza kuwa Bodi ya Wakurugenzi ya Azam FC na kocha Youssouph Dabo wamefikia makubaliano ya pande mbili ya kutoendelea kufanya kazi pamoja kuanzia Septemba…

Read More

TAIFA STARS KAMILI GADO KUIVAA ETHIOPIA

BENCHI la ufundi la timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars limeweka wazi kuwa maandalizi kuelekea mchezo dhidi ya timu ya taifa ya Ethiopia yapo vizuri kwa kila mchezaji kuwa tayari kuipambania jezi ya Tanzania. Ni Septemba 4 2024 Taifa Stars inatarajiwa kushuka Uwanja wa Mkapa kwa ajili ya mchezo huo wa kuwania kufuzu AFCON…

Read More

TATU ZAIPA BAO SIMBA NA TATU ZAIPONZA

MWENDO wa pasi tatu ilikuwa Uwanja wa KMC, Complex kwa Simba na Al Hilal kufunga bao mojamoja katika mchezo huo wa kimataifa wa kirafiki ambapo ni pasi tatu ziliipa bao la kuongoza na pasi tatu zikaiponza Simba kwenye eneo la ulinzi ndani ya dakika 90. Ni Simba walianza kupachika bao la kuongoza dakika ya 25…

Read More

ATEBA AMEANZA KAZI NA ZALI, MANULA MOTO

MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Leonal Ateba ameanza kazi na zali la kufunga bao moja kwenye mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Al Hilal ya Sudan. Ateba alikosekana kwenye mechi zilizopita kwa kuwa alikuwa hajapata vibali vya kazi kwa mujibu wa Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally rasmi Agosti 31 alipata…

Read More