JOB AJIPAKULIA MINYAMA YANGA KWA HILI
BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga, Dickson Job amesema kuwa ameandika rekodi yake nyingine mpya msimu wa 2024/25 kwa kutoa pasi ya kwanza katika Ligi Kuu Bara kwa kusema hivyo ni kama anajipakulia minyama hivi kwa kuwa rekod zinaonyesha aliyefanya hivyo ni Pacome. Ipo wazi kuwa Agosti 29 2024 mabingwa mara 30 Yanga…