
MASHUJAA WAENDELEZA USHUJAA, COASTAL WAKIWASHA
MSAKO wa pointi tatu umezidi kuwa mkali kwa wababe wanaoshuka uwanjani ndani ya uwanja katika Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika, huku Mashujaa wakiwa ni Mashujaa mbele ya Tabora United na Coastal Union wakianza kwa kasi uwanja wa nyumbani, ngoma ilikuwa ni Aprili 10 2025. Wakiwa Uwanja wa Mkwakwani baada…