Ibrahim Bacca Afungiwa Mechi 5 Baada ya Rafu Mbaya

 Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi Kuu Tanzania, (TPLB) limemchukulia hatua mchezaji wa Young Africans, Ibrahim Abdullah, baada ya kumchezea rafu mbaya mchezaji wa Mbeya City, Ibrahim Ame, kitendo kilichotajwa kuwa cha kuhatarisha usalama wa wachezaji. Kwa mujibu wa Kanuni ya 41:21 ya Ligi Kuu, Abdullah amefungiwa mechi tano (5) mfululizo, adhabu ambayo ni…

Read More

Huyu hapa atajwa kurithi mikoba ya Fadlu Davids Simba SC

INAELEZWA kuwa Bulgaria Dimitar Pantev mwenye miaka 49 huenda akapewa mikoba ya kukinoa kikosi cha Simba SC ambacho kwa sasa hakina kocha mkuu. Taarifa zinaeleza kuwa muafaka mzuri umefikiwa kwa pande zote mbili ambapo mpango kazi ukikamilika atakuja Tanzania kuchukua nafasi ya Fadlu Davids aliyepata dili Raja Casablanca na tayari ameanza kazi. Inaelezwa kuwa Simba…

Read More

FIFA Yazindua Mpira Mpya “Trionda” kwa Kombe la Dunia 2026

  Shirikisho la soka Duniani, FIFA, limezindua mpira utakaotumika katika Michuano ya Kombe la Dunia 2026 uliopewa jina la Trionda ambapo una teknolojia maalumu. Mpira huo unaitwa ‘Trionda’ -neno la Kihispania linalomaanisha mawimbi matatu ikiwa ni ishara kwamba Kombe la Dunia litaandaliwa na nchi tatu. Mpira huo una rangi tatu, nyekundu, Kijani na Bluu, zikiwakilisha…

Read More

Yahya Zayd Aongeza Mkataba Mpya Azam FC Mpaka 2027

Klabu ya Azam FC imeweka wazi kuwa imefanikiwa kumsainisha kiungo wake mahiri, Yahya Zayd, mkataba mpya wa miaka miwili. Kwa mujibu wa taarifa ya klabu, nyongeza hiyo itamfanya Zayd kuendelea kuwatumikia Wanalambalamba hadi mwaka 2027, hatua ambayo inaonyesha dhamira ya klabu hiyo kuendelea kuimarisha kikosi chake kwa wachezaji waliodumu na wenye mchango mkubwa. Mkataba huo…

Read More

Nasreddine Nabi kuifundisha Simba SC?

JINA la Nasreddine Nabi aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wa Yanga SC na kuipa mataji mawili ya Ligi Kuu Tanzania Bara linatajwa kuwa katika orodha ya wale wanaoipigiwa hesabu kupewa mikoba ya Fadlu Davids ndani ya Simba SC. Kwa sasa Simba SC ipo kwenye mchakato wa kumtafuta kocha mpya baada ya Fadlu Davids kupata changamoto nyingine…

Read More

Simba SC 3-0 Namungo FC, Uwanja wa Mkapa

Simba SC imepata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara ya NBC uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Oktoba Mosi 2025. Mabao ya Simba SC yamefungwa na Chamou Karabou dakika ya 43 akitumia pasi ya Joshua Mutale ambaye aligipa kona, dakika ya 60 kupitia kwa Rushine De Reuck ambaye alimalizia…

Read More

Kocha Yanga SC bado yupoyupo

WAKATI tetesi zikieleza kuwa kuna uwezekano wa Roman Folz, Kocha Mkuu wa Yanga SC akakutana na Thank You taarifa zinaeleza kuwa bado yupoyupo ndani ya kikosi hicho. Yanga SC ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara ya NBC msimu wa 2025/26 wamecheza mechi mbili pekee ambazo ni dakika 180. Mechi ya ufunguzi walipata ushindi wa…

Read More

WAWILI UNYAMANI KUIKOSA NAMUNGO KWA MKAPA

WAKIWA kwenye hesabu za kumtafuta kocha mpya, Msimbazi wataendelea kukosa huduma ya wachezaji wawili kwenye mchezo wa leo Oktoba Mosi 2025 Uwanja wa Mkapa dhidi ya Namungo. Simba SC kwa sasa ipo chini ya kocha msaidizi Suleman Matola ambaye atakiongoza kikosi hicho kwenye mchezo dhidi ya Namungo FC. Katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika…

Read More

Simba SC yamtaka kocha Yanga SC

INAELEZWA kuwa mabosi wa Simba SC wapo na hesabu za kumpa kazi Miguel Gamondi ambaye kwa sasa ni Kocha Mkuu wa Singida Black Stars. Inaelezwa kuwa Simba SC mara baada ya Fadlu Davids kubwaga manyanga walianza kufikiria kupata huduma ya Gamondi ambaye aliwahi kuinoa Yanga SC na kuipa ubingwa. Uzoefu wake kwenye soka la Afrika…

Read More