Yanga Yakamilisha Uhamisho wa Mshambuliaji Depu Kutoka Poland

Klabu ya Yanga inadaiwa kufikia makubaliano na klabu ya Radomiak Radom ya Poland katika uhamisho wa mshambuliaji Laurindo Dilson Maria Aurélio “Depu”, raia wa Angola, ambaye anatarajiwa kutua rasmi mitaa ya Jangwani. Depu anasajiliwa kuchukua nafasi ya Andy Boyeli, ambaye amerejea katika klabu yake, huku Yanga ikilenga kuimarisha eneo la ushambuliaji kuelekea michezo ijayo ya…

Read More

Beki wa kazi amerejea Yanga SC

BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Pedro Goncalves amerejea uwanjani baada ya kuwa nje akipambania kurejea kwenye ubora. Ni Yao Attohoula ambaye alikuwa nje kwa muda wa miezi 8 bila kucheza mchezo wa ushindani licha ya kuanza mazoezi bado hakuwa kamili kucheza mechi uwanjani. Alirejea rasmi uwanjani Januri…

Read More

Azam FC vs Simba SC NMB Mapinduzi Cup

Azam FC vs Simba SC NMB Mapinduzi Cup mchezo mkali unatarajiwa kuchezwa kesho Januari 8,2026 Uwanja wa New Amaan Complex. Wababe hawa kutoka bara kila mmoja anaingia uwanjani akitoka kupata ushindi kwa bao la jioni mbele ya mpinzani hatua ya makundi. Simba SC ilipambana mbele ya Fufuni FC dakika ya 90 bao la ushindi lilifungwa…

Read More

Shirikisho la soka la Nigeria Lakanusha taarifa za Osimhen na Adams kuondoka kambini

Shirikisho la soka la Nigeria limekanusha ripoti zinazodai kuwa Wachezaji wawili Victor Osimhen na Akor Adams kuwa wameondoka kwenye kambi ya Super Eagles nchini Morocco katika Mashindano ya AFCON. Shirikisho pia limetupilia mbali madai ya kuwepo kwa mpasuko kati ya Osimhen na Ademola Lookman. Limeeleza kuwa masuala yaliyotokana na mabishano ya Uwanjani wakati wa mechi…

Read More

Chelsea yamtangaza Liam Rosenior kuwa kocha mkuu mpya

Klabu ya Chelsea imethibitisha kumteua mkufunzi Liam James Rosenior kuwa kocha mkuu mpya klabuni hapo akichukua mikoba ya Enzo Maresca aliyetupiwa virago wiki iliyopita. Rosenior (41) raia wa England ambaye alikuwa kocha wa klabu ya Strasbourg inayomilikiwa na Kampuni ya BlueCo, ambayo pia inaimiliki Chelsea amesaini mkataba wa miaka sita na nusu utakaombakisha klabuni hapo…

Read More