SIMBA KUSHUSHA MSHAMBULIAJI WA KAZI

UONGOZI wa Simba umebainisha kwamba upo kwenye mpango wa kukamilisha usajili wa mshambuliaji ili kuongeza nguvu katika kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Ipo wazi kwamba Simba ni namba tatu kwenye Ngao ya Jamii 2024/25 imeshuhudia safu ya ushambuliaji ikifunga bao moja pekee na mtupiaji ni kiungo Saleh Karabaki ilikuwa dakika ya 10…

Read More

Cheza Expanse Ushinde Mamilioni

Meridianbet wanakwambia ukicheza Expanse Kasino unajiweka sehemu nzuri ya kujishindia maokoto ya kutosha. Jisajili hapa kuwa sehemu nzuri Zaidi ya ushindi.   Kupitia shindano la michezo ya kasino ya mtandaoni kutoka Expanse, unaweza kujishindia hadi Tsh 4,750,000/= ikiwemo bonasi za kasino kibao. Kuna michezo mingi ya kasino na Sloti ambayo inaweza kukufanya kuwa Milionea.  …

Read More

SINGIDA BLACK STARS KULETA USHINDANI KITAIFA

UONGOZI wa Singida Black Stars umeweka wazi kuwa malengo makubwa ni kuleta ushindani kitaifa kutokana na usajili makini waliofanya pamoja na uzi mzuri kuliko timu zote Bongo kuwa mali yao kwa msimu wa 2024/25. Timu hiyo inanolewa na Kocha Mkuu, Patrick Aussems wengi hupenda kumuita Uchebe aliwahi kuifundisha Simba inayoshiriki Ligi Kuu Bara na mafanikio…

Read More

AZAM FC YATUMA UJUMBE MZITO

UONGOZI wa Azam FC umetuma ujumbe mzito kwa wapinzani wao kitaifa na kimataifa kwa kubainisha kuwa watawashangaza wengi kwenye mechi za ushindani. Ikumbukwe kwamba Azam FC imegotea nafasi ya pili kwenye Ngao ya Jamii 2024/25 baada ya kupoteza mchezo wa fainali dhidi ya Yanga, Uwanja wa Mkapa kwa kushuhudia ubao ukisoma Yanga 4-1 AzamFC. Kwenye…

Read More

SIMBA NA MATUMAINI KIBAO KWA WACHEZAJI WAO

LICHA ya wachezaji wa Simba kutokuwa kwenye mwendo mzuri katika mechi za Ngao ya Jamii ungozi wa Simba umebainisha kwamba watakuwa bora katika mechi za ushindani kwa kuwa kuna vitu vidogo wamekosa vitafanyiwa kazi. Timu hiyo iliweka kambi Misri imepishana na taji la Ngao ya Jamii ikigotea nafasi ya tatu huku nafasi ya nne ikiwa…

Read More

AZAM FC: TULIKUWA BORA LICHA YAKUPOTEZA FAINALI

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kwamba licha yakupoteza mchezo wao wa fainali mbele ya Yanga bado walikuwa kwenye ubora katika mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Agosti 11 2024. Ipo wazi kuwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu,Miguel Gamondi ilitwaa ubingwa huo kwa ushindi wa mabao 4-1 katika fainali iliyokuwa na ushindani mkubwa. Hasheem Ibwe,…

Read More

YANGA WAMEANZA BALAA LAO HUKO

YANGA wameanza 2024/25 kwa kutwaa taji la Ngao ya Jamii baada ya ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa fainali uliochezwa Uwanja wa Mkapa Agosti 11 2024 ikiwa ni balaa lao kwenye kutwaa mataji yanayokuwa mbele yao. Katika fainali ambayo ilianza kwa kasi kubwa ni mabao matano yamefungwa kwenye fainali huku…

Read More

TENGENEZA MKWANJA NA KASINO YA MTANDAONI LEO

Maisha yako yapo mkononi mwako, ushindi wa kasino upo kiganjani mwako, cheza sloti ya Book of Eskimo inakupa urahisi wa kuishi kitajiri kwa dau dogo kabisa. Jisajili Meridiabet kuanzisha safari yako ya mafanikio. Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakurejesha kwenye simulizi za mabingwa kuhusu juhudi zao za kushinda kirahisi, moja ya kitu kizuri kutoka Sloti…

Read More