Taifa Stars Wapokelewa kwa Shangwe: Kocha na Nahodha Wapokea Zawadi Kutoka kwa Mashabiki
Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Miguel Gamondi, pamoja na Nahodha wa timu, Bakari Mwamnyeto, walipokea zawadi mbalimbali kutoka kwa mashabiki, ikiwemo jogoo, kama ishara ya pongezi baada ya kufanikisha mafanikio ya kihistoria ya Taifa Stars kufuzu kwa mara ya kwanza hatua ya 16 bora katika Michuano ya Kombe la…