SIMBA NA MATUMAINI KIBAO KWA WACHEZAJI WAO
LICHA ya wachezaji wa Simba kutokuwa kwenye mwendo mzuri katika mechi za Ngao ya Jamii ungozi wa Simba umebainisha kwamba watakuwa bora katika mechi za ushindani kwa kuwa kuna vitu vidogo wamekosa vitafanyiwa kazi. Timu hiyo iliweka kambi Misri imepishana na taji la Ngao ya Jamii ikigotea nafasi ya tatu huku nafasi ya nne ikiwa…