
LAMINE YAMAL AONGEZA MKATABA BARCELONA HADI 2031
Lamine Yamal amesaini mkataba utakaomuwezesha kuendelea kubakia na FC Barcelona hadi mwaka 2030, klabu hiyo ilitangaza Jumanne , Maelezo ya mkataba huo – ambao ulitiwa saini katika ofisi za klabu mbele ya rais Joan Laporta na mkurugenzi wa michezo Deco – hayakutolewa na Barca, lakini ripoti nyingi kutoka kwa vyombo vya habari vya Uhispania zinasema…