YANGA YAKOMBA SITA ZA COASTAL UNION JUMLAJUMLA

KIUNGO wa Yanga, Pacome amepachika bao pekee la ushindi kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Coastal Union uliochezwa Uwanja wa KMC Complex dakika ya 34 kipindi cha kwanza akitumia pasi ya Maxi Nzengeli. Pacome amekuwa kwenye ubora wake na katika mchezo dhidi ya Tabora United, Aprili 2 2025 alitoa pasi mbili za mabao alimpa Prince…

Read More

VIDEO: SIMBA YATANGAZA SILAHA NYINGINE KUWAMALIZA WAARABU

KUELEKEA kwenye mchezo wa kimataifa hatua ya robo fainali ya pili kati ya Simba v Al Masry, uongozi wa Simba umebainisha kuwa mashabiki wote wa Dar wanapaswa kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Mkapa kumaliza kazi kupata ushindi dhidi ya Al Masry. Simba wamebainisha kwamba wamedhamiria ubaya ubwela na kukusanya kila siala kusaka ushindi na kutangaza…

Read More

MAJESHI YA YANGA V COASTAL UNION

KIKOSI cha Yanga ambacho kimepangwa kuanza kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal Union ya Tanga kipo namna hii:- Djigui Diarra, Israel Mwenda, Nickson Kibabage, Dockson Job, Bakari Nondo, Khalid Aucho, Maxi Nzengeli. Duke Abuya, Prince Dube, Pacome, Mzize Clement. Wachezaji wa akiba ni : Aweso, Kibwana Shomari, Farid, Nkane, SureBoy, Shekhan, Mudathir,…

Read More

AZAM FC YABANWA MBAVU NA WAKULIMA

WAKULIMA wa alizeti, Singida Black Stars wamewabana mbavu mataji wa Dar kwenye mchezo wa ligi mzunguko wa pili kwa kukomba pointi tatu mazima dhidi ya Azam FC katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Liti, Aprili 6 2025 ambapo matajiri Azam FC walisepa wakiwa wameyeyusha pointi tatu mazima. Katika mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa dakika 45…

Read More

ZIDANE: NINAAMBIWA MUDA WANGU BADO

ZIDANE Sereri nyota wa Azam FC ameweka wazi kuwa kuna dhana ya kukatishana tamaa kwenye masuala ya upambanaji jambo ambalo linasababisha wengi kukwama kufikia malengo yao. Nyota huyo atakumbukwa na kipa Moussa Camara wa Simba kwenye Mzizima Dabi alimtungua bao la jioni akiwa ndani ya 18 mwisho ubao ukasoma Simba 2-2 Azam FC na alichaguliwa…

Read More

SIMBA YAGOMEA KUGOTEA ROBO FAINALI

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa haupo tayari kugotea kwa mara nyingine tena kwenye hatua ya robo fainali kwenye mashindano ya kimataifa Afrika malengo ni kuona wanavuka hatua hiyo na kutinga hatua ya nusu fainali Kombe la Shirikisho Afrika. Katika mchezo wa kwanza wa robo fainali wakiwa ugenini nchini Misri, Aprili 2 2025 baada ya dakika…

Read More

YANGA KUIKABILI COASTAL UNION KWA TAHADHARI

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi amebainisha kuwa mchezo wao dhidi ya Coastal Union hautakuwa mwepesi lakini wamefanya maandalizi mazuri ili kupata pointi tatu muhimu baada ya dakika 90 za mchezo. Ni Aprili 7 2025 Yanga wanatarajiwa kumenyana na Coastal Union ya Tanga, saa 10:00 Uwanja wa KMC, Complex ikiwa ni mzunguko wa pili baada…

Read More

RATIBA YA MECHI ZA LEO IPO HAPA TIMIZA NDOTO ZAKO HAPA

Mechi kali za kukupa maokoto zipo hapa na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000 kwenye mechi za leo. BUNDESLIGA kuendelea leo RB Leipzig watakuwa nyumbani dhidi ya TSG Hoffenheim huku mara ya mwisho kuonana RB laipigika. Je leo hii kwa ODDS…

Read More

YANGA YAIVUTIA KASI COASTAL UNION

BAADA ya kumalizana na Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi kituo kinachofuata kwa Yanga ni Coastal Union. Aprili 2 2025 ubao ulisoma Tabora United 0-3 Yanga, mabao ya Israel Mwenda kwa pigo la faulo, Clement Mzize na Prince Dube yaligota mpaka mwisho wa dakika 90. Yanga ni…

Read More

MZIZE APEWE ULINZI, KASI YAKE INAFURAHISHA

KASI ya mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize ambaye ni mzawa kwenye eneo la ushambuliaji inafurahisha kutokana na kuzidi kuwa bora kila anapokuwa ndani ya uwanja hivyo inabidi aongezewe ulinzi na waamuzi akiwa ndani ya uwanja asiumizwe kwa makusudi. Ikumbukwe kwamba kwenye mchezo dhidi ya Tabora United uliochezwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi alikuwa ni miongoni…

Read More