MZEE WA WAA BADO ANA KIBARUA KIZITO SIMBA

STARAIKA refu kuliko goli ndani ya Simba, Steven Mukwala ana kibarua kizito ndani ya Simba kufunga mabao mengi ili kuongeza hali ya kujiamini kutokana na mwendo ambao ameanza nao kuwa wakusuasua katika kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Ikumbukwe kwamba nyota huyo haufunga kwenye mechi tatu mfululizo za ushindani ilikuwa Ngao ya Jamii…

Read More

SIMBA QUEENS YAPOTEZA KIMATAIFA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimatafa Simba Queens wamepoteza mchezo wa nusu fainali kwa kufungwa mabao 3-2 dhidi ya Kenya Police Bullets uliochezwa Uwanja wa Abebe Bikila, Ethiopia. Simba Queens ilikuwa inachuana kuwania tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao kupitia kwa kwa Nchi za Afrika Mashariki na Kati (Cecafa). Kupoteza kwenye…

Read More

CHAMA KALIAMSHA BALAA UPYA HUKO

INGIZO jipya ndani ya kikosi cha Yanga, Clatous Chama ameliamsha balaa upya kutokana na mwendelezo wake wa ubora kwenye anga la kimataifa ndani ya Ligi ya Mabingwa Afrika katika kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Chama amekuwa gumzo kwa kuwa kwenye mchezo dhidi ya Vital’O uliochezwa Uwanja wa Azam Complex waliposhinda mabao…

Read More

MRITHI MIKOBA YA MICHAEL FRED MAMBO SAFI SIMBA

RASMI Simba haitakuwa na nyota wao Michael Fred ambaye alikuwa kwenye kikosi hicho msimu wa 2023/24 kwenye mechi za ushindani kitaifa na kimataifa. Ikumbukwe kwamba Michael ambaye alipewa jina la fungafunga anaingia kwenye orodha ya nyota wapya ambao walipata nafasi ya kufunga kwenye Kariakoo Dabi kwenye mchezo wake wa kwanza ndani ya ardhi ya Tanzania….

Read More

MUTALE MAMBO BADO NDANI YA SIMBA

INGIZO jipya ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids, kuna uwezekano akakosekana kwenye mchezo ujao wa ligi. Ni nyota Joshua Mutale yeye kwa upande wake mambo bado kutokana na kutokuwa fiti kwa sasa wakati timu hiyo ikiwa kwenye maandalizi ya mchezo dhidi ya Fountain Gate. Nyota huyo alipata maumivu kwenye mchezo…

Read More

KUMBE! SIMBA WANASHINDA LAKINI HAWANA FURAHA

AHMED Ally, meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa wanashinda lakini hawana furaha kwa kuwa bado wanatengeneza timu hiyo. Mchezo wa kwanza wa Simba katika Ligi Kuu Bara ilikuwa dhidi ya Tabora United uliochezwa Uwanja wa KMC, baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 3-0 Tabora United kwa msimu wa 2024/25…

Read More

ISHU YA YANGA KUTOA MILIONI 216 KISA OKRA YAMUIBUA JEMBE

ANAANDIKA Jembe kuhusu ishu ya Yanga na Okra Magic. BAADA ya taarifa kueleza kuwa Yanga wanapaswa kumlipa mchezaji wao wa zamani Okra Magic kiasi cha milioni 216, mwandishi wa Habari za Michezo Tanzania Saleh Jembe ameweka wazi kuwa haifurahishi Yanga kuingia kwenye madeni yasiyo ya lazima kisa usajili wa furahisha genge. Jembe ameanza namna hii:…

Read More

SINGIDA BLACK STARS KUKIPIGA NA MTIBWA SUGAR

HUSSEN Massanza, Ofisa Habari wa Singida Black Stars ameweka wazi kuwa watakuwa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Mtibwa Sugar unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC, Mwenge. Timu hiyo imeweka kambi Dar na mchezo ujao wa ligi dhidi ya Kagera Sugar unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Kaitaba, Bukoba. Massanza amesema kuwa wanatambua umuhimu uliopo kwenye ligi hivyo…

Read More

SIMBA YAKIRI UGUMU KUTENGENEZA NAFASI ZA KUFUNGA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kuna ugumu kwenye kutengeneza nafasi za wazi katika mechi za ushindani jambo linalowafanya kutumia mbinu nyingine kusaka ushindi. Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Bara ubao wa Uwanja wa KMC, Mwenge ulisoma Simba 3-0 Tabora United mabao yakifungwa na Che Malone dakika ya 14, Valentino Mashaka dakika…

Read More

YANGA KUTUMA UJUMBE CAF KWA MTINDO HUU

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika wanahitaji ushindi mkubwa dhidi ya Vital’O ili kutuma salamu kwa wapinzani wao Afrika. Agosti 24 Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa marudio. Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amebainisha kwamba wanatambua umuhimu…

Read More