Simba SC kuutumia Meja Isahmuyo kwa mechi za nyumbani

SIMBA SC huenda wakautumia Uwanja wa Meja General Isahmuyo kwa mechi za nyumbani katika Ligi Kuu Tanzania Bara ya NBC ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika. Hii inatokana na Uwanja wa Mkapa ambao Simba SC ilikuwa inautumia kwa mechi za nyumbani kufungiwa kwa muda kutokana na  maboresho ambayo yanaendelea. Kwa sasa Uwanja wa Mkapa…

Read More

Mchezaji bora Septemba ni Diarra wa Yanga SC

Djigui Diarra kipa namba moja wa Yanga SC amekaa langoni katika mechi mbili ambazo ni dakika 180 amechaguliwa kuwa mchezaji bora ndani ya mwezi Septemba. Katika mechi mbili ambazo ni dakika 180 Diarra ameokoa hatari moja pekee ilikuwa katika mchezo dhidi ya Mbeya City Uwanja wa Sokoine dakika ya 89 pigo la Vitalis Mayanga. Katika…

Read More

Hizi hapa mechi 6 za Romain Folz, Kocha Mkuu Yanga SC

WAKATI tetesi zikieleza kuwa huenda Romain Folz akafutwa kazi ndani ya kikosi cha Yanga SC rekodi zinaonyesha kuwa amekiongoza kikosi kwenye mechi 6. Katika mechi hizo ushini ni mechi tano na aliambua sare mchezo mmoja wa ligi ugenini dhidi ya Mbeya City uliochezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Sababu kubwa inayotajwa kumuondoa Folz kwenye benchi la…

Read More

Kiwanja Kinauzwa – Bagamoyo, Kaole Magambani

Kiwanja kipo Bagamoyo, Kaole Magambani (Nyuma ya Bagamoyo Secondary School) katika eneo tulivu na salama. Umbali wa mita 500 kutoka barabara ya lami Umbali wa mita 500 pekee kutoka ufukweni mwa bahari 📏 Ukubwa na Sifa Eneo lina ukubwa wa 848 sqm (limepimwa rasmi) Tambarare, linafaa kwa ujenzi wa makazi au biashara Ardhi ya kichanga,…

Read More

Meneja Mkuu Simba SC awasili Dar tayari kwa kazi

Meneja Mkuu Dimitar Pentev amewasili Tanzania akitokea Botswana kwa ajili ya kuanza kazi kukifundisha kikosi cha Simba SC. Pentev ameongozana na msaidizi wake, Boyko Kamenov ambaye watafanya naye kazi kwa ushirikiano mkubwa na Seleman Matola katika benchi la ufundi. Kwa mujibu wa Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC, Ahmed Ally ameweka wazi…

Read More

Kocha mpya Simba SC kutua leo Bongo

BAADA ya kutambulishwa ndani ya kikosi cha Simba SC kuwa mrithi wa mikoba ya Fadlu Davids, kocha mpya anatarajiwa kuwasili Bongo mapema Oktoba 4 2025. Anaitwa Dimitar Pantev mwenye miaka 49 yeye ni raia wa Bulgaria ambaye alitambulishwa rasmi Oktoba 3 2025 kuwa ni kocha ndani ya kikosi hicho. Kabla ya kutmbulishwa Simba SC alikuwa…

Read More