Hii hapa ratiba ya NBC Premier League Novemba 29,2025
MARA baada ya mwisho wa reli Kigoma Novemba 28 kutopatikana mbabe ndani ya dakika 90 kazi inatarajiwa kuendelea leo kwa wababe wengine uwanjani. Kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Lake Tanganyika Kigoma ubao ulisoma Mashujaa FC 0-0 Dodoma Jiji wababe hawa wakigawana pointi mojamoja. Pamba Jiji leo Novemba 29,2025 watashuka Uwanja wa Kirumba kusaka pointi tatu…