SIMBA YAPIGA HESABU KULIPA KISASI KWA MKAPA
UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa mpango mkubwa kwenye anga la kimataifa ni kulipa kisasi kwa wapinzani wao Al Ahli Tripoli kwa mashabiki kujitokea kwa wingi kwenye mchezo wa marudio ili kuwaongezea nguvu wachezaji wa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Septemba 22 2024 mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa wakiwa na kumbukumbu…