
SERIKALI YATOA NDEGE MAALUM KUIPELEKA SIMBA MOROCCO KWA FAINALI
SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imetangaza kuipatia klabu ya Simba ndege itakayoipeleka timu hiyo Morocco kwenye mchezo wa kwanza wa fainali ya kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane ya Morocco itakayopigwa Mei 17, 2025. Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba…