SIMBA KAZI INAENDELEA, MAELEKEZO KUFUATWA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa Simba kazi inaendelea kwa kuendelea na mazoezi kambini kuelekea msimu wa 2024/25. Msimu wa 2023/24 Simba iligotea nafasi ya tatu ikiwa na pointi 69 baada ya kucheza mechi 30 ina kibarua cha kupeperusha bendera ya Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika. Beki wa kati Che Malone amesema kuwa…

Read More

CLATOUS CHAMA AFUNGUA SHAURI TFF

INAELEZWA kuwa kiungo mpya wa Yanga, Clatous Chama amefungua shauri kwenye mamlaka ya soka nchini akidai kuwa waajiri wake wa zamani hawajampa release letter ambayo itampa uhalali wa kuichezea Klabu ya Yanga.  Klabu ya Simba inaelezwa kuwa imekataa kumpa release letter ikidai aliondoka kinyume cha utaratibu kwenda Yanga. Shauri hilo litasikilizwa leo 16 Julai 2024…

Read More

VILLARREAL YAKAMILISHA USAJILI WA BEKI WA MAN UTD

Klabu ya Villarreal ya Ligi Kuu Uhispania imekamilisha usajili wa beki Willy Kambwala kwa ada ya uhamisho ya Euro milioni 10 kutoka Manchester United. Kambwala (19) mzaliwa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ambaye ameiwakilisha timu ya taifa ya vijana ya Ufaransa amesaini mkataba wa kuwatumikia Nyambizi hao wa Manjano mpaka Juni 2029.

Read More

MASHINE ZAZIDI KUTUA YANGA

MASHINE za kazi zimezidi kutua ndani ya Yanga ikiwa ni maandalizi kuelekea msimu mpya wa 2024/25 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa mwanzo mwisho. Ikumbukwe kwamba Yanga ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara msimu ujao baada ya kutwaa taji la ligi kwa msimu wa 2023/24 na walimaliza wakiwa namba moja kwenye msimamo na pointi 80….

Read More

MIFUGO FC MABINGWA LIGI 2024

TIMU ya Mifugo FC imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi ya Ngende Cup 2024, kwa ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Mungurumo FC katika mchezo uliochezwa Uwanja wa michezo wa Halmashauri ya Wilaya Liwale mkoani Lindi. Mchezo huo ambao ulikuwa na mashabiki wengi kutoka viunga vya Liwale uliochezwa Wikiendi hii ulianza kwa kasi kwa kila timu…

Read More

KARIA: IDADI YA WACHEZAJI WAKIGENI HAWATAPUNGUZWA

RAIS wa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania, (TFF) Wallace Karia amebainisha kuwa wachezaji wa kigeni wameongeza ushindani kwenye ligi na kuchangia kukua kwa viwango vya wachezaji wa ndani hivyo hakuna idadi ya kupunguza wachezaji hao. Aidha amezungunzia kuhusu matumizi ya VAR kwa kusema :”Sisi kama TFF tumeandika barua kuomba kibali cha kutumia VAR kwenye…

Read More