Simba SC imemsajili beki Ismail Toure, raia wa Ivory Coast akiwa mchezaji huru.
Toure alikuwa na kocha wa Simba SC, Steve Barker, kwenye kikosi cha Stellenbosch kilichocheza na Simba kwenye hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika mwaka 2025.