FIFA Yamtangaza Mwamuzi wa Fainali ya Kombe la Dunia 2026 Argentina vs Hispania Kesho
hirikisho la Soka Duniani (FIFA) limemtangaza mwamuzi kutoka Slovenia, Slavko Vinčić, kuwa ndiye atakayechezesha fainali ya Kombe la Dunia 2026 kati ya mabingwa watetezi Argentina na Hispania, itakayopigwa kesho Jumapili Julai 18, 2026. Vinčić mwenye umri wa miaka 46 anapewa jukumu hilo miaka miwili baada ya kuchezesha fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions…