Fountain Gate Washindwa Kutamba Nyumbani, Azam FC Washinda 2-0
Azam FC imeendelea kuonyesha ubora wake katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Fountain Gate FC kwenye mchezo uliopigwa katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha. Kikosi hicho cha Azam kilianza kutengeneza mazingira ya ushindi katika dakika ya 36 kupitia kwa Ngita aliyefunga bao…