Namungo FC vs Simba SC NBC Premier League

Namungo FC vs Simba SC NBC Premier League ni mchezo unaofuata kwenye ratiba msimu wa 2025/26 unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Majaliwa, Aprili 19, 2026. Tayari kikosi cha Simba SC kimewasili Dar kikitokea Arusha ambapo huko kimetoka kuvuna pointi 3 mbele ya Fountain Gate kwa ushindi wa magoli 3-0. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari…

Read More

Meridianbet Yawasha Tena Taa Ya Matumaini Kijitonyama Kisiwani

Meridianbet imeendeleza dhamira yake ya kurejesha kwa jamii kupitia ziara maalum katika eneo la Kijitonyama Kisiwani, ikiwa ni sehemu ya juhudi zake za kusaidia makundi yenye uhitaji mkubwa. Safari hii ililenga zaidi kuwafikia wajane na familia zinazokabiliwa na changamoto za maisha ya kila siku. Katika tukio hilo, kampuni ilitoa msaada wa mahitaji muhimu ikiwemo chakula…

Read More

Makonda Amteua Tenga Kuongoza Maandalizi ya AFCON 2027

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Tanzania, Paul Makonda, amemteua aliyekuwa nahodha wa zamani wa timu ya taifa, Leodegar Tenga, kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Ndani ya Maandalizi ya Fainali za AFCON 2027. Mashindano hayo makubwa ya soka barani Afrika yanatarajiwa kufanyika kwa ushirikiano wa nchi tatu za Afrika Mashariki ambazo ni Tanzania,…

Read More

Raphinha Aomba Radhi Baada ya Ishara Dhidi ya Mashabiki wa Atlético Madrid

Nyota wa FC Barcelona, Raphinha, ameomba radhi kufuatia ishara aliyofanya kuelekea mashabiki wa Atlético Madrid baada ya timu yake kutolewa katika hatua ya robo fainali ya UEFA Champions League. Raphinha, ambaye hakushiriki kwenye mchezo wa marudiano kutokana na majeraha ya paja, alionekana akijibu mashabiki wa Atlético akiwa uwanjani baada ya mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa…

Read More

FT: Fountain Gate 0-3 Simba SC

Fountain Gate 0-3 Simba SC ni matokeo rasmi kwenye mchezo wa leo Aprili 15, 2026 NBC Premier League Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Mchezo wa leo ulianza kwa kasi katika dakika 44 za mwanzo ambapo Fountain Gate walikuwa wakijilinda zaidi na Simba SC ikitafuta goli la kuongoza. Ni kiungo Clatous Chama alifunga goli la…

Read More

Nusu Fainali ya UEFA Kitawaka leo; Bayern vs Real Madrid na Arsenal vs Sporting Pesa Ziko Hapa

Nusu Fainali hiyo inanukia leo kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Timu mbili zenye majina makubwa Duniani zinatarajia kuvaana haswa kutafuta nafasi ya kwenda hatua nyingine. Je nani unampa nafasi ya ushindi leo? Kwenye mechi ya mkondo wa kwanza kule Santiago Bernabeu Bayern walishinda 2-1 wakiwa wamecheza mchezo mzuri kabisa ambapo kama wangekuwa wametumia…

Read More

Fountain Gate vs Simba SC kupigwa leo

Fountain Gate vs Simba SC kupigwa leo Aprili 15, 2025 Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kwa wababe hawa kusaka pointi tatu muhimu. Aboubakar Ally kocha wa Fountain Gate amesema kuwa wametoka kucheza mchezo wa CRDB Federation Cup dhidi ya Azam FC hivyo wamejiandaa kuwakabili wapinzani wao. “Tumejiandaa kwa ajili ya mchezo wetu dhidi ya Simba…

Read More