Milioni 450 za Golden Goal Rewards Zinawaita Wapenzi wa Kasino

Katika ulimwengu wa burudani za kisasa, watu wanatafuta zaidi ya mchezo wa kawaida, wanatafuta uzoefu unaobeba msisimko na nafasi ya kushinda. Meridianbet imejibu hitaji hilo kupitia Golden Goal Rewards, promosheni inayotoa jumla ya TZS milioni 450 kwa washindi watakaothubutu kushiriki. Hii ni nafasi ya kuunganisha furaha ya kucheza na ndoto ya ushindi mkubwa. Safari inaanza…

Read More

Ligi Kuu Bara 2026/27 Kuanza Agosti 16, Usajili Waanza Rasmi

Mashabiki wa soka nchini wanatarajia kushuhudia msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2026/2027 ukianza rasmi Agosti 16, 2026, huku ukitarajiwa kumalizika kabla ya Juni 1, 2027. Ratiba hiyo imepangwa mapema ili kutoa nafasi ya maandalizi ya Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2027), ambazo zitafanyika kwa pamoja nchini Tanzania, Kenya na Uganda kuanzia Juni…

Read More

Argentina 3-2 Misri, FIFA Kombe la Dunia 2026

Argentina 3-2 Misri, FIFA Kombe la Dunia 2026 ni matokeo ambayo yamekuwa pigo kwa timu ya Misri kutoka Afrika iliyoanza kwa kuongoza katika 67 za mchezo huku V.A.R ikifuta bao moja kwa upande wao. Magoli ya Misri yamefungwa na Yasser Ibrahim dakika ya 15 na Mostafa Ziko dakika ya 67. Walikwenda mapumziko wakiwa wanaongoza. Nyota…

Read More

Nado afungukia ishu ya kuikamia Simba SC

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Idd Nado amefunguka kuhusu kudaiwa kuwa anaikamia sana Simba SC kwenye mechi ambazo wanakutana. Nado amekuwa kwenye ubora msimu wa 2025/26 ambapo timu hiyo imemaliza kwenye msimamo ikiwa nafasi ya 3 baada ya kukusanya jumla ya pointi 64. Dhidi ya Simba SC kwenye mechi mbili walipata ushindi mchezo mmoja na…

Read More

Ureno ndo basi tena Kombe la Dunia 2026

Mchezo wa hatua ya 16 bora, Portugal vs Spain FIFA Kombe la Dunia 2026 umewaachia maumivu timu Ronaldo. Mikel Merino aliingia akiwa ni mchezaji wa akiba na kufunga bao la ushindi kwa Hispania, wakishinda Ureno ya Cristiano Ronaldo 1-0 jijini Dallas Jumatatu usiku na kukatisha safari ya gwiji huyo katika Kombe la Dunia huku Hispania…

Read More