Meridianbet Yaendeleza Upendo kwa Jamii Kupitia Msaada kwa Watoto wa Magomeni

Katika kuendeleza moyo wa kusaidia jamii, Meridianbet imetoa msaada wa vyakula kwa kituo cha watoto cha UMRA Children Center kilichopo Magomeni, Dar es Salaam kama sehemu ya shughuli zake za kijamii. Msaada huo umehusisha bidhaa muhimu za chakula kama mchele, unga, sukari, mafuta ya kupikia pamoja na mahitaji mengine yanayotumika kila siku katika kituo hicho…

Read More

JKT Tanzania yagawana alama na Fountain Gate

JKT Tanzania yagawana alama na Fountain Gate kwenye mchezo wa NBC Premier League leo Mei 21, 2026 kwa kufungana magoli 2-2. Fountain Gate ya Issa Mbulizi ilianza kupata magoli ya kuongoza mapema kipindi cha kwanza ni kazi ya Juma Abushiri dakika ya 3 na Ismail Kader dakika ya 45. Mpaka dakika 45 za mwanzo zinakamilika…

Read More

Feisal anaongoza chati wafungaji Bongo

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum anaongoza chati ya wafungaji ndani ya NBC Premier League msimu wa 2025/26. Kiungo huyo amefunga jumla ya magoli 11 akiwa anaongoza usukani katika chati ya wakali wa kucheka na nyavu ni mali ya Azam FC. Kwenye eneo la ufungaji msimu huu ushindani umekuwa mkubwa huku kila timu ikiwa…

Read More

Ratiba ya NBC Premier League hii hapa

Ratiba ya NBC Premier League hii hapa ambapo kuna mechi kali zinatarajiwa kuchezwa viwanja vitatu tofauti ndani ya dakika 90.  TRA United itakuwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid ikiwakabili Mtibwa Sugar, saa 10:00 jioni. KMC FC vs Pamba Jiji FC Uwanja wa KMC Complex saa 12:30, jioni.  Dodoma Jiji FC vs Mashujaa FC, Uwanja wa…

Read More

Coastal Union vs Simba SC kazi inaendelea

Coastal Union vs Simba SC ni mchezo unaofuata kwenye ligi Mei 21, 2025 kwa wababe hawa kusaka pointi tatu muhimu uwanjani. Huu utakuwa mchezo wa mzunguko wa pili, walipokutana mzunguko wa kwanza ubao wa Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo ulisoma, Simba SC 2-0 Coastal Union. Coastal Union kwenye msimamo ipo nafasi ya 12 ina pointi…

Read More

Wachezaji wa Arsenal Waruka Kwa Furaha Baada ya Kutangazwa Mabingwa

Furaha kubwa ilitawala ndani ya kambi ya Arsenal baada ya timu hiyo kutangazwa rasmi kuwa mabingwa kufuatia Manchester City kushindwa kupata ushindi katika mchezo wao dhidi ya Brighton. Arsenal walikuwa tayari wamefanya kazi yao mapema baada ya kuichapa Burnley siku ya Jumatatu, hali iliyoweka presha kubwa kwa Manchester City ambao walihitaji ushindi ili kuendelea kusubiri…

Read More