Canada Yaandika Historia, Yatinga Hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia
LOS ANGELES, Marekani – Stephen Eustáquio aliifungia Canada bao la ushindi katika dakika za majeruhi na kuiwezesha timu hiyo kuifunga Afrika Kusini mabao 1-0, na kutinga hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza katika historia yake. Mchezo huo ulionekana kuelekea muda wa nyongeza baada ya timu zote kushindwa kufungana ndani…