Rais wa Shirikisho la Soka Saudi Arabia Ajiuzulu Baada ya Timu Kutolewa Mapema Kombe la Dunia

RIYADH – Yasser Al-Misehal amejiuzulu nafasi yake ya Rais wa Bodi ya Saudi Arabian Football Federation (SAFF), akichukua jukumu la kutolewa mapema kwa timu ya taifa ya Saudi Arabia katika Kombe la Dunia la FIFA 2026. Kupitia taarifa aliyochapisha kwenye mtandao wa X, Al-Misehal alisema kushindwa kwa Green Falcons kuvuka hatua ya makundi hakukuendana na…

Read More

Ivory Coast vs Norway 32 bora FIFA Kombe la Dunia

Ivory Coast watacheza hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza katika historia yao watakapokutana na Norway katika mchezo wa hatua ya 32 Bora utakaochezwa Jumanne usiku nchini Texas. Ivory Coast wameonyesha kiwango kizuri tangu kuanza kwa mashindano haya, wakipata ushindi dhidi ya Ecuador na Curaçao. Walipoteza kwa mabao 2-1 dhidi ya…

Read More

Ratiba ya NBC Premier League Juni 30,2026

NBC Premier League funga kazi ni Juni 30,2026 ikiwa ni raudi ya 30 hii hapa ratiba ya mechi zote zipo namna hii:- JKT Tanzania vs Yanga SC itarushwa Azam Sports 1 HD Simba SC vs KMC FC itarushwa Azam Sports 2 HD Coastal Union vs Pamba Jiji FC, Azam One Fountain Gate vs Singida Black…

Read More

Okello ameandika rekodi yake Bongo raundi ya 29

Alllan Okello kiungo mshambuliaji wa Yanga SC ameandika rekodi yake Bongo katika mechi za raundi ya 29 kwa kusepa na mpira na tuzo ya mchezaji bora. Juni 27,2026 ubao wa Uwanja wa KMC Complex ulisoma Yanga SC 3-0 TRA United pointi 3 zikibaki kwa mabingwa watetezi. Mabao yote kwenye mchezo huo yalifungwa na Okello ambaye…

Read More

Simba SC 2-0 Singida Black Stars

Simba SC 2-0 Singida Black Stars, NBC Premier League, Uwanja wa Meja Jeneral Isamuhyo ikiwa ni mzunguko wa 29, Juni 27,2026. Mabao yamefungwa na Ellie Mpanzu dakika ya 28 na Anicet Oura dakika ya 59. Kila kipindi kwenye mchezo limefungwa goli moja. Msimu wa 2025/26, Simba SC imepata ushindi nje ndani dhidi ya Singida Black…

Read More

Pata Habari za Michezo na Uchambuzi Kupitia Meridianbet Sport Portal

Meridianbet Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu mbalimbali huku lengo likiwa ni kuwafanya wapenzi na mashabiki wa soka kujua mambo mbalimbali yanayoendelea ya kimichezo, kasino, usajili, matokeo, na kupata fursa za kubashiri mechi mbalimbali. Kupitia Kampuni hii kubwa ya ubashiri Tanzania, Meridianbet…

Read More

Hii hapa ratiba ya mechi zote leo NBC Premier League

NBC Premier League 2025/26 leo Juni 27, 2026 inaendelea huku mechi 8 zikitarajiwa kuchezwa kwenye viwanja tofauti. Dodoma Jiji FC vs Mbeya City FC, Uwanja wa Jamhuri, Dodoma Tanzania Prisons vs Mtibwa Sugar, Uwanja wa Sokoine Yanga SC vs TRA United, Uwanja wa KMC Complex Mashujaa FC vs KMC FC, Lake Tanganyika, Kigoma Pamba Jiji…

Read More

Hii hapa orodha ya wakali wa asissti Bongo

NBC Premier League inakwenda kufika ukingoni msimu wa 2025/26 ambapo kila timu inakwenda kuvuna kile ambacho ilipanda katika mechi za ushindani. Kuna vita ya ubingwa huku timu mbili zikipambania kutwaa ubingwa Yanga SC ni vinara wakiwa na pointi 69 wanafuatia na Simba SC wenye pointi 67. Wapo wakali kwenye pasi za mwisho ambapo kinara wao…

Read More

Tabasamu Zarejea Buguruni Baada ya Meridianbet Kuwafikia Wenye Mahitaji

Buguruni imekuwa moja ya maeneo yaliyoshuhudia tukio la kipekee lililojaa upendo, mshikamano na kujali baada ya Meridianbet kuendesha zoezi la kugawa vyakula kwa familia zenye uhitaji. Katika kipindi ambacho changamoto za kiuchumi zimekuwa zikigusa kaya nyingi, msaada huo umeonekana kuwa mwanga wa matumaini kwa wananchi waliokuwa wanahitaji msaada wa haraka wa mahitaji ya msingi. Kupitia…

Read More