Arsenal vs PSG: Fainali ya Champions League 2026 kupigwa leo Budapest
Arsenal watakipiga dhidi ya Paris Saint-Germain (PSG) katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya inayotarajiwa kufanyika leo usiku mjini Budapest, Hungary. Mchezo huo mkubwa utapigwa katika Uwanja wa Puskás Aréna, ambapo Arsenal wanatafuta kutwaa taji lao la kwanza la Champions League katika historia ya klabu hiyo, huku PSG wakilenga kutetea ubingwa wao. Fainali hiyo itaanza…