Waziri Makonda Afanya Mazungumzo na Rais wa FIFA Gianni Infantino Morocco

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mheshimiwa Paul Makonda amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Shirikisho la Kandanda Duniani (FIFA) Bw. Gianni Infantino katika ofisi za FIFA zilizopo Jijini Rabat, nchini Morocco. Katika mazungumzo hayo Mheshimiwa Makonda amemshukuru Bw. Infantino kwa ushirikiano mkubwa anaoutoa kwa Tanzania katika maendeleo ya mchezo wa mpira wa…

Read More

Meridianbet na Kalamba Games, Burudani Mpya ya Kasino Mtandaoni Imefika

Wapenzi wa kasino, sasa ni wakati wa kushuhudia mapinduzi ya kweli mtandaoni. Meridianbet imeungana na Kalamba Games, kampuni ya kimataifa inayojivunia ubunifu wa sloti zenye teknolojia ya hali ya juu, kuleta burudani isiyo na kikomo kwa wachezaji. Ushirikiano huu unakuja na michezo yenye muonekano angavu na sauti zinazochangamsha hisia, zikifanya kila mzunguko uwe kama tukio…

Read More