>

AZAM FC YAVUNJA BENCHI ZIMA LA UFUNDI

RASMI ungozi wa Azam FC umefikia makubaliano ya kuvunja benchi la ufundi lililokuwa chini ya Kocha Mkuu, Yusuph Dabo raia wa Senegal. Taarifa iliyotolewa na Azam FC mapema Septemba 3 2024 imeeleza kuwa Bodi ya Wakurugenzi ya Azam FC na kocha Youssouph Dabo wamefikia makubaliano ya pande mbili ya kutoendelea kufanya kazi pamoja kuanzia Septemba…

Read More

TAIFA STARS KAMILI GADO KUIVAA ETHIOPIA

BENCHI la ufundi la timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars limeweka wazi kuwa maandalizi kuelekea mchezo dhidi ya timu ya taifa ya Ethiopia yapo vizuri kwa kila mchezaji kuwa tayari kuipambania jezi ya Tanzania. Ni Septemba 4 2024 Taifa Stars inatarajiwa kushuka Uwanja wa Mkapa kwa ajili ya mchezo huo wa kuwania kufuzu AFCON…

Read More

TATU ZAIPA BAO SIMBA NA TATU ZAIPONZA

MWENDO wa pasi tatu ilikuwa Uwanja wa KMC, Complex kwa Simba na Al Hilal kufunga bao mojamoja katika mchezo huo wa kimataifa wa kirafiki ambapo ni pasi tatu ziliipa bao la kuongoza na pasi tatu zikaiponza Simba kwenye eneo la ulinzi ndani ya dakika 90. Ni Simba walianza kupachika bao la kuongoza dakika ya 25…

Read More

BEKI WA ZAMANI EPL, SOL BAMBA AFARIKI

Beki wa zamani wa Leicester City, Leeds United na Cardiff City, Sol Bamba ambaye amepoteza maisha Agosti 31, 2024 akiwa na umri wa miaka 39. Bamba raia wa Ivory Coast ambaye alikuwa kocha wa kocha wa klabu ya Adanaspor inayoshiriki Ligi Kuu ya TFF Nchini Uturuki amefariki baada ya kuugua ghafla. Taarifa ya klabu hiyo…

Read More

ATEBA AMEANZA KAZI NA ZALI, MANULA MOTO

MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Leonal Ateba ameanza kazi na zali la kufunga bao moja kwenye mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Al Hilal ya Sudan. Ateba alikosekana kwenye mechi zilizopita kwa kuwa alikuwa hajapata vibali vya kazi kwa mujibu wa Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally rasmi Agosti 31 alipata…

Read More

JOB AJIPAKULIA MINYAMA YANGA KWA HILI

BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga, Dickson Job amesema kuwa ameandika rekodi yake nyingine mpya msimu wa 2024/25 kwa kutoa pasi ya kwanza katika Ligi Kuu Bara kwa kusema hivyo ni kama anajipakulia minyama hivi kwa kuwa rekod zinaonyesha aliyefanya hivyo ni Pacome. Ipo wazi kuwa Agosti 29 2024 mabingwa mara 30 Yanga…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA AL HILAL YA SUDAN

FUNGA Agosti 2024 Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids inashuka Uwanja wa KMC Complex kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Al Hilal ya Sudan. Hiki hapa kikosi cha Simba kinachoanza:- Manula Kapombe Nouma Che Malone Chamou Kagoma Kibu Fernades Ateba Chasambi Awesu Kwa wachezaji wa akiba ni:- Hussen Duchu Kazi Kijili Hamza Mzamiru Omary…

Read More

WANASIMBA WAITWA KMC COMPLEX KUPATA BURUDANI

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa Wanasimba wasikubali kukaa nyumbani Agosti 31 2024 timu hiyo itakapokuwa ikicheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Al Hilal ya Sudan. Leo timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids inatarajiwa kutupa kete hiyo ya kimataifa saa 10:00 jioni. Ally amebainisha…

Read More

YANGA: HAIKUWA RAHISI KUVUNA POINTI TATU ZA KAGERA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa haikuwa rahisi kuvuna pointi tatu muhimu mbele ya Kagera Sugar kwenye mchezo wa kwanza ndani ya msimu wa 2024/25. Ipo wazi kwamba mchezo wao wa msimu wa 2023/24 walipocheza Kaitaba baada ya dakika 90 ubao ulisoma Kager Sugar 0-0 Yanga hivyo mabingwa hao watetezi waligawana pointi mojamoja na Kagera…

Read More