Meridianbet Yaendelea Kuthibitisha Uongozi Katika Kujenga Jamii Yenye Ustawi Zaidi

Kuonyesha dhamira yake isiyoyumba ya kuwa sehemu ya suluhisho katika changamoto za kijamii, kampuni ya Meridianbet imeendeleza msururu wa miradi yake ya kusaidia jamii kwa kugawa vyakula kwa familia zenye uhitaji katika maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam. Hatua hii inathibitisha kwamba kampuni hiyo haishughuliki tu na michezo ya kubahatisha, bali pia ni nguzo muhimu…

Read More

Simba SC yapiga hesabu kumalizana na Petro de Luanda

Simba SC vs Petro de Luanda Novemba 23,2025 Uwanja wa Mkapa ikiwa ni mchezo wa kwanza hatua ya makundi, uongozi wa wenyeji umepiga hesabu kuvuna pointi tatu. Kutoka kundi D mchezo wa kwanza Simba SC itakuwa nyumbani na tayari Novemba 20,2025 walizindua jezi mpya ambazo zitatumika kwenye mashindano hayo zikiwa na nembo ya CAF. Ahmed…

Read More

Hii Hapa Orodha ya Washindi wa Tuzo za CAF 2025 Zilizofanyika Morocco

Sherehe za utoaji wa Tuzo za Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF Awards 2025) zimefanyika kwa kishindo na kushuhudia wachezaji, makocha, marefa na timu mbalimbali zikitambuliwa kwa mafanikio ya mwaka. Mwaka huu Morocco imeendelea kung’ara kwa namna ya kipekee katika tuzo nyingi, huku Afrika Mashariki pia ikipata mwakilishi kupitia bao la mwaka. Washindi wa Tuzo…

Read More

Arsenal kusitisha mkataba wa udhamini na Visit Rwanda

Arsenal wametangaza kusitisha mkataba wa udhamini wa klabu hiyo wa miaka minane na Visit Rwanda mwishoni mwa msimu wa 2025-26. Ubia huo ulianza mwaka wa 2018 na mkataba wa sasa unaripotiwa kuwa na thamani ya zaidi ya £10m ($13.3m) kwa mwaka. Lakini imekuwa chini ya uangalizi baada ya kuongezeka kwa ghasia katika eneo la mashariki…

Read More

Yanga SC kuzindua uzi mpya leo Novemba 19,2025

RASMI uongozi wa Yanga SC umetangaza kuwa utazindua uzi mpya maalumu kwa ajili ya mechi za CAF Champions League leo Novemba 19,2025. Yanga SC inapeperusha bendera ya Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika ipo hatua ya makundi na mchezo wa kwanza unatarajiwa kuchezwa Novemba 22, 2025 Uwanja wa New Amaan Complex dhidi ya FAR Rabat…

Read More