![YANGA KWENYE KAZI KWA MARA NYINGINE TENA](https://salehjembe.co.tz/wp-content/uploads/2024/07/Baleke-Yanga-600x400.jpg)
YANGA KWENYE KAZI KWA MARA NYINGINE TENA
BAADA ya kete ya kwanza kupoteza katika Mpumalanga Premier International Cup, Yanga inatarajiwa kuwa na kazi nyingine kusaka ushindi kwenye mchezo wa kimataifa wa kirafiki. Jumatano ya Julai 24 Yanga itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhid ya TS GALAXY kwenye mchezo wa kimataifa wa kirafiki. Mechi hii itapigwa kuanzia saa 10:00 jioni inatarajiwa kurushwa…