CAF Yamsimamisha Kocha wa Senegal Pape Thiaw Baada ya Tukio la Fainali ya AFCON 2025
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetangaza kumsimamisha kwa muda usiojulikana kocha wa timu ya taifa ya Senegal, Pape Thiaw, kufuatia tukio la kuwahimiza wachezaji wake kutoka nje ya uwanja wakati wa mechi ya fainali ya AFCON 2025. Tukio hilo lilitokea baada ya mwamuzi kuamua mkwaju wa penalti dakika za mwisho, ambayo ilionekana kuwa ya utata…