Gates of Halloween Kukupa Ubunifu wa Mchezo Wa Kasino Mtandaoni Meridianbet

Katika ulimwengu wa michezo ya kasino mtandaoni, ushindani haupo tena kwenye mandhari pekee, bali kwenye ubunifu wa mifumo ya uchezaji. Kupitia Gates of Halloween, Meridianbet inaonyesha mwelekeo mpya wa jinsi michezo ya kasino inavyoundwa, ikiweka mkazo kwenye uzoefu unaoendelea badala ya matokeo ya mzunguko mmoja. Mchezo huu umejengwa kwa mfumo wa ushindi unaoendelea, ambapo kila…

Read More

Meridianbet Yawarejeshea Matumaini Familia Zenye Changamoto Kinondoni

Katika kuendeleza falsafa ya kugusa maisha ya wananchi kwa vitendo, Meridianbet imeandaa zoezi maalum la msaada wa kijamii lililofanyika wilayani Kinondoni, Dar es Salaam. Kupitia mpango huu, familia zinazokabiliwa na changamoto za kiuchumi zilipatiwa msaada uliolenga kupunguza mzigo wa maisha na kurejesha matumaini mapya. Zoezi hilo lilijikita katika utoaji wa vyakula na bidhaa muhimu za…

Read More

CAF yaipiga faini ya dola 200,000 Morocco kwa kutaka ‘kuiba’ taulo la Senegal

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imeorodhesha adhabu walizotoa kwa Morocco na Senegal kufuatia vurugu iliyoshuhudiwa wakati wa fainali ya AFCON 2026. Mashabiki wengi wa mpira walikuwa na hamu ya kujua hatua zipi zitashukuliwa na shirikisho hilo huku kila upande ukiamini mwenzake alikosea na anafaa kupata adhabu kali zaidi. CAF limempiga marufuku kocha wa Senegal, Pape…

Read More

Uwanja wa KMC Wafungiwa na TFF kwa Kukosa Vigezo

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungia uwanja wa KMC uliopo Dar es Salaam kutumika kwa michezo ya Ligi, baada ya kubaini kuwa haukidhi vigezo vya kikanuni na sheria za mpira wa miguu. Kwa mujibu wa TFF, miundombinu ya uwanja huo haijakidhi matakwa ya Kanuni kama ilivyoainishwa katika masharti ya Kanuni ya Leseni za…

Read More

Kwa Lucky Loser, Ukianguka Bado Unashinda Zaidi

Kuna wakati unapocheza Win&Go na namba zako zote 6 hazifanikiwi kukupa ushindi. Hapo unahisi bahati haipo upande wako. Meridianbet inakuambia sahau mawazo hayo. Kwa Lucky Loser, hata unaposhindwa, bado unashinda. Tiketi yako ikishindwa kabisa, inabadilika mara moja kuwa ushindi wa mara 30 ya dau lako, ikikuonyesha kwamba hata kupoteza kuna furaha ndani yake. Lucky Loser…

Read More

Mechi Kali za Ligi ya Mabingwa Kuchezwa Leo Ulaya

Leo hii ni fursa nyingine ya kupiga pesa ukibashiri mechi zako na Meridianbet ambao ndio mabingwa wa ODDS KUBWA Tanzania. Timu kibao za ushindani za ligi ya mabingwa zipo kwaaajili yako. Bashiri sasa. Borussia Dortmund atakuwa nyumbani kukipiga dhidi ya Inter Milan huku tofauti ya pointi kati yao hadi sasa ikiwa ni 1 pekee. Wote…

Read More

Yanga SC 3-1 Dodoma Jiji FC

Yanga SC 3-1 Dodoma Jiji FC ni ushindi kwa mabingwa watetezi kwenye mchezo wa NBC Premier League Januari 27,2026. Kwenye mchezo wa leo Dodoma Jiji walianza kupata goli la kuongoza kipindi cha kwanza dakika ya 42 kupitia kwa William Edger ambalo lilidumu kwa muda wa dakika 3. Magoli ya Klabu ya Yanga yamefungwa na Depu…

Read More