Al Hilal Omdurman Yaanza Hatua ya Makundi ya CAFCL kwa Ushindi
Hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) imeanza rasmi Novemba 21, 2025 huku Al Hilal Omdurman ya Sudan ikiibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya MC Alger ya Algeria katika dimba la Amahoro Kigali, Rwanda. MC Alger, inayofundishwa na kocha wa zamani wa Mamelodi Sundowns, Teboho Mokoena, ilikabiliwa na changamoto kubwa kwani bao…