Slotopia Yafungua Milango Mpya Ya Burudani Ndani Ya Meridianbet

Meridianbet inaendelea kuandika historia mpya katika sekta ya kasino mtandaoni kwa kuleta uzoefu tofauti kabisa kupitia Slotopia. Huu si mchezo wa kawaida wa sloti, bali ni mageuzi yanayobadilisha namna wachezaji wanavyofurahia burudani ya kidijitali. Kupitia ujio wa Slotopia, Meridianbet inawapa wateja wake nafasi ya kuingia kwenye dunia mpya iliyojaa ubunifu na msisimko. Kila mchezo ndani…

Read More

CAF Yafuta Rasmi Michuano ya CHAN, Mabadiliko Makubwa Yatarajiwa Afrika

Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limetangaza rasmi kufuta Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), hatua inayokuja kufuatia changamoto mbalimbali zilizojitokeza katika maandalizi ya mashindano hayo. Tangazo hilo limetolewa na Rais wa CAF, Dkt. Patrice Motsepe, wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Morocco Jumamosi, Januari 17. Akizungumza mbele ya…

Read More

Nai Azungumzia Tetesi Zake na Pacome Zouzoua Kupitia Global TV

Baada ya tetesi kusambaa kwa muda mrefu mitandaoni zikimhusisha mwanadada @officiall_nai na staa wa Yanga SC, Pacome Zouzoua, hatimaye mwenyewe ameamua kuvunja ukimya. Kupitia mahojiano ya mubashara na Global TV, Nai amefunguka na kuweka wazi ukweli kuhusu madai yanayoendelea kuzunguka mitandaoni, akieleza msimamo wake juu ya tetesi hizo zinazomhusisha na kiungo huyo wa Yanga. Mahojiano…

Read More