Al Ahly Watoa Mabasi ya Bure kwa Mashabiki Kuisapoti Dhidi ya Yanga Alexandria
Klabu ya Al Ahly SC imetangaza kutoa mabasi ya bure kwa ajili ya kuwasafirisha mashabiki wake kwenda Alexandria, ambako timu hiyo itavaana na Yanga SC siku ya Ijumaa katika mchezo muhimu wa kimataifa. Awali, mechi hiyo ilipangwa kuchezwa kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Cairo, hata hivyo imehamishiwa kuchezwa katika dimba la Alexandria, hatua iliyowalazimu viongozi…