
AZAM FC WAJA NA MIPANGO MIPYA
UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa kwa msimu ujao utafanya vizuri kwa kutumia makosa ambayo wameyafanya msimu huu. Ikiwa imecheza mechi 26 kwenye msimamo ipo nafasi ya 4 na imekusanya pointi 37 kibindoni huku kinara akiwa ni Yanga mwenye pointi 64. Zakaria Thabit, Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa kwa namna ambavyo wanakwenda…