Home Sports UWANJA WA AMAAN:TANZANIA 0-0 CAMEROON Sports UWANJA WA AMAAN:TANZANIA 0-0 CAMEROON June 5, 2022 FacebookTwitterPinterestWhatsApp LEO Juni 5,2022 timu ya Taifa ya Wanawake chini ya miaka 17 inacheza mchezo wa marudio kuweza kuwania kufuzu Kombe la Sunia. Mchezo wa kwanza uliochezwa ugenini, U 17 ya Tanzania ilishinda kwa mabao 4-1 hivyo leo wanakamilisha dk 90 za mchezo wa pili. Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimekamilika na imekuwa Tanzania U 17 0-0 Cameroon, U 17,((Agg 4-1)) Uwanja wa Amaan. Mchezo ulichelewa kuanza kutokana na baadhi ya mambo kutokwenda sawa.