STARS VS BAFANA BAFANA NI VITA YA REKODI LEO

Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, inatarajiwa kushuka dimbani usiku wa leo kuwakabili wenyeji wao, Bafana Bafana ya Afrika Kusini, katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaopigwa kwenye Uwanja wa Peter Mokaba kuanzia saa 2:30 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Mchezo huu unatoa nafasi ya kutengeneza pesa kubwa kwa wabashiri kupitia Meridianbet. Licha…

Read More

UNAHITAJI SAMSUNG A25?, BASHIRI NA MERIDIANBET

Meridianbet wamekuja na fursa ya kipekee kwa wateja wake ambapo kwa shilingi 5000 pekee inampa nafasi ya kuondoka na simu janja aina ya Samsung A25, hivyo shiriki sasa uwe moja ya washindi watakaotangazwa siku maalumu. Kushiriki promosheni hii lazima uwe umejisajili na Meridianbet na ubashiri mechi za ligi ya mpira  ambapo kwenye promosheni hii dau…

Read More

MILIKI SAMSUNG A25 MPYA UKIBASHIRI NA USSD

Meridianbet inafurahia kutangaza kampeni mpya inayowezesha wateja wake kupata Samsung A25 mpya kabisa kwa urahisi kupitia huduma ya USSD. Wateja sasa wanaweza kushiriki na kudai zawadi zao kwa kupiga *149*10# bila shida yoyote, kwa haraka na kwa usalama wa hali ya juu. Hii ni fursa ya kipekee kwa wapenzi wa teknolojia kupata simu bora mkononi,…

Read More

BEKI ALIYEACHWA YANGA APATA BONGE LA DILI, ATIMKA ZAKE

ALIYEKUWA beki wa kati wa Yanga, Gift Fred anakaribia kujiunga na Klabu ya KCCA ya nchini Uganda katika msimu ujao. Gift anakwenda kujiunga na KCCA kama mchezaji huru baada ya mkataba wake wa mkopo St George ya nchini Ethiopia kumalizika. Yanga ndiyo iliyompeleka beki huyo kwa mkopo St George katika msimu wa 2024-2024 baada ya…

Read More

YANGA YAFUNGA MJADALA KARIAKOO DABI

RASMI Uongozi wa Yanga umetangaza kufunga mjadala wa kuzungumzia kucheza mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Simba ambao ulihairishwa na Bodi ya Ligi Kuu Bara ambao umepangwa kupigwa Juni 15, mwaka huu Uwanja wa Mkapa, Dar. “Sisi tuna mawasiliano na bodi ya ligi, kuelekea dabi sisi tumeshatoa msimamo wetu na tumeshaweka ‘fixtures’ zetu za kumaliza…

Read More

DICKSON JOB KIMEELEWEKA YANGA, APEWA MIAKA MIWILI

KLABU ya Yanga imefikia makubaliano mazuri ya kumuongezea mkataba mwingine beki na nahodha wake msaidizi, Dickson ‘Dick’ Job. Inealezwa makubaliano hayo yaliyofikiwa ya miaka miwili kwa dau na mshahara mnono aliouongezewa katika mkataba huo mpya. Beki huyo muda wowote anatarajiwa kusaini mkataba huo mpya huku akiandaliwa utambulisho mkubwa wa kumbakisha beki huyo aliyekuwa anatajwa kwenda…

Read More

JEAN AHOUA ANAWINDWA KIMATAIFA

KIUNGO mshambuliaji namba moja wa Simba SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids, Jean Ahoua anatajwa kuwindwa na timu kubwa Afrika. Ahoua ni chaguo la kwanza la Fadlu kutokana na uwezo alionao huku mguu wake wenye nguvu ukiwa ni ule wa kulia. Nyota huyo ndani ya ligi namba nne kwa ubora Afrika amefunga jumla ya…

Read More

YANGA SC WANAJAMBO LAO KUBWA

UONGOZI wa Yanga SC umeweka wazi kuwa mpango mkubwa kuelekea kwenye mchezo wa fainali wa CRDB Federation Cup jambo kubwa ambalo wanahitaji ni ubingwa. Yanga SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi itamenyana na Singida Black Stars kwenye fainali inayotarajiwa kuchezwa Zanzibar. Ikumbukwe kwamba Yanga SC ni mabingwa watetezi walitwaa taji hilo kwa ushindi mbele…

Read More

FADLU APIGA HESABU KALI UBINGWA LIGI KUU BARA

KOCHA Mkuu wa Simba raia wa Afrika Kusini, Fadlu Davis amesema kamwe hawatakubali kufungwa mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Yanga utakaopigwa Juni 15, mwaka huu. Fadlu alisema kuwa mchezo huo ndiyo utahamua hatima ya wao kubeba Ubingwa wa Ligi Kuu Bara, hivyo hawatakubali kufanywa daraja la ubingwa katika msimu huu. “Tunakwenda mapumziko tukipisha kalenda…

Read More

BOSI YANGA ASISITIZA KUTOCHEZA KARIAKOO DABI

UONGOZI wa Yanga umeibuka na kusisitiza kuwa hawatacheza mchezo wa Kariakoo Dabi uliopangwa kuchezwa Juni 15, mwaka huu dhidi ya Simba . Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ali Kamwe alisema kuwa wao wanachojua wamebakisha michezo miwili ya Ligi Kuu Bara na siyo mitatu . “Akili yetu imejikita kwenye kuzimaliza kwa kishindo mechi zetu…

Read More