
HAWA HAPA MAPILATO YANGA SC VS SIMBA SC, KAYOKO KWENYE ORODHA
JOTO la Kariakoo Dabi linazidi kupanda kwa kasi ambapo watani hawa wa jadi wanatarajiwa kukutana…
JOTO la Kariakoo Dabi linazidi kupanda kwa kasi ambapo watani hawa wa jadi wanatarajiwa kukutana Uwanja wa Mkapa, Septemba 16 2025 katika mchezo wa fainali. Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania, Cliford Ndimbo ametaja orodha ya waamuzi ambao watakuwa kwenye mchezo huo muhimu wa ufunguzi wa msimu mpya wa 2025/26. Ikumbukwe kwamba waamuzi hao…
Utajiri upo mkononi mwako na Meridianbet siku ya leo endapo utaamua kutengeneza jamvi lako na kubashiri mechi za leo. Wikendi ilikuwa nzuri kwani watu wengi wameondoka na mshiko mkononi na hivi sasa ni zamu yako. Jisajili sasa na ujishindie hapa. SERIE A kule Italia kutakuwa na mechi kali mbili kati ya Hellas Verona vs US…
JEAN Ahoua kiungo mshambuliaji namba moja wa Simba SC kwenye mtihani mwingine ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids itakuwa Septemba 16 2025. Ahoua ni namba moja kwenye utengenezaji mipango ndani ya kikosi hicho, msimu wa 2024/25 alitengeneza jumla ya pasi 9 za mabao. Mbali na kutengeneza pasi hizo 9 za mabao…
Betway, moja ya kampuni inayoongoza duniani kwenye michezo ya kubashiri, imejizatiti kuwapa wateja wake huduma mpya yenye kuvutia, kusisimua na ubunifu mkubwa ambao unaendelea kuboresha uzoefu wa mteja kwenye kubashiri. Ukizingatia wingi wa huduma za kipekee ambazo Betway imeleta karibu na mteja kama vile Win Boost, Bet Influencer, Bet Saver, Cash Out na nyingine kibao,…
ZIMEBAKI siku mbili kabla ya mchezo wa Kariakoo Dabi kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Septemba 16 2025 ikiwa ni mchezo wa Ngao ya Jamii. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2024/25 Yanga SC walitwaa taji hilo kwa ushindi kwenye mchezo wa fainali mbele ya Azam FC katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Simba SC iligotea kuwa mshindi wa…
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa Ngao ya Jamii utakaowakutanisha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga SC, dhidi ya watani wao wa jadi, Simba SC, Septemba 16, 2025 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuanzia saa 11:00 jioni. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TFF leo Septemba 14, 2025, kiingilio cha…
Ulimwengu wa kubashiri umeingia kwenye anga mpya na jina lake ni Meridian Bonanza. Huu si mchezo wa kujaribu bahati. Huu ni mfumo wa ushindi, uliobuniwa kwa akili ya kiteknolojia na kuhakikisha unakupatia burudani. Ukiingia Meridianbet leo, Bonanza si tu chaguo, ni tukio. Kwenye mchezo huu, mchezaji si mtazamaji. Kupitia Ante Bet, unachagua jinsi unavyotaka kushinda….
YANGA SC vs Simba SC wababe hawa wawili wanatarajiwa kuwa kwenye kazi ya kusaka ushindi ndani ya Uwanja Septemba 16 2025. Zimebaki siku tatu kwa watani hawa wa jadi kupambania taji la Ngao ya Jamii ikiwa ni mchezo rasmi wa ufunguzi wa msimu mpya wa 2025/26. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2024/25 taji la Ngao ya…
Mohmaed Hussen Zimbwe Jr beki wa kushoto ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu Romain Folz amesema kuwa anafurahia mapokezi makubwa aliyoyapata kutoka kwa mashabiki anamini watajituma kufanya vizuri ndani ya uwanja. Ipo wazi kwamba Zimbwe Jr ni miongoni mwa wachezaji waliopokewa kwa shangwe kubwa ndani ya Yanga SC katika utambulisho wake,…
JKT Queens wawakilishi wa Tanzania katika anga la kimataifa kwa timu ya Wanawake Septemba 14 2025 itakuwa kibaruani kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali. Ni JKT Queens vs Kenya Police Bullets mchezo huo unatarajiwa kuchezwa katika Uwanja wa Kasarani, ikiwa ni hatua ya nusu fainali. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa JKT Tanzania, Masau…
UONGOZI wa Simba SC umeweka wazi kuwa una kikosi imara na chenye uwezo wa kuleta ushindani kutokana na maandalizi ambayo yamefanyika. Septemba 10 2025 ilikuwa ni kilele cha tamasha la Simba Day, Uwanja wa Mkapa na ilikuwa ni Full House baada ya mashabiki kujitokeza kwa wingi kuujaza uwanja na kushangilia mwanzo mwisho. Katika tamasha hilo…
Kama kawaida ilivyo kwa wakali wa ubashiri Meridianbet kuerejesha kwa jamii, Leo hii ilikuwa ni zamu ya Kifuma Hospitali ambao walifurahia ujio wa Meridianbet wa kuwapelekea Dustbins kwaajili ya kuhifadhi takataka. Msafara huo wa kufika katika hospitali hiyo ambayo inapatikana maeneo ya Sinza uliongozwa na Afisa Mahusiano Nancy Ingram akiwa na wenzake ambao kwa pamoja…
YANGA SC imepata ushindi mbele ya Bandari katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Mchezo huo umekamilika dakika 90 kwa ushindi wa bao 1-0 ambalo limedumu mpaka mwisho wa mchezo kirafiki. Bao pekee la ushindi kwenye mchezo Ecua dakika ya pili kwa pigo la kichwa akiwa ndani ya 18 akitumia pasi ya…
Kikosi cha Yanga SC dhidi ya Bandari FC mchezo wa kirafiki Uwanja wa Mkapa Septemba 12 2025 ikiwa ni kilele cha Wiki ya Mwananchi. Djigui Diarra, Israel Mwenda, Farid Mussa, Bakari Mwamnyeto. Assink, Aziz Andambwile, Maxi Nzengeli. Kouma, Prince Dube, Shekhan, Ecua hawa wameanza kikosi cha kwanza. Wachezaji wa akiba ni Aboutwalib Mshery, Ibrahim Bacca,…
Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet ni rahisi sana kwako kubadilisha maisha yako?. Meridianbet inakupa hii siku ya leo hapa kwa kukupatia Odds kubwa na machaguo zaidi ya 1000. Unangoja nini sasa?. Ingia na usuke jamvi lako hapa. Leo hii Ureno PRIMEIRA LIGA itaendelea pia kwa mechi mbili ambazo zinaweza kukupatia pesa SL Benfica atakuwa…
Katika zama ambapo michezo ya kubahatisha inazidi kugeuka kuwa burudani ya kidijitali yenye msisimko wa hali ya juu, Meridian Bonanza imeibuka kama nyota mpya inayong’aa angani ikiwa ni tukio la kipekee linalobadilisha namna wachezaji wanavyotazama ushindi, burudani, na teknolojia ya kisasa. Kutoka kwenye muonekano wake wa kuvutia hadi athari za sauti zinazochochea hamu na nguvu…
Huku timu kibao za Uingereza zikiendelea kutafakari nani atakuwa bingwa wa FA CUP msimu huu, tayari mabingwa wa ubashiri Tanzania Meridianbet wanakukaribisha usuke jamvi lako la ushindi. Arsenal wapo kwenye nafasi ya kuwa washindi wa FA Cup kwani mpaka sasa wana ODDS 7.00. Ikumbukwe kuwa vijana wa Arteta msimu uliopita walikosa makombe yote hivyo msimu…