KIUNGO MPYA YANGA SC AJIPA KAZI, YANGA DAY INANUKIA

IKIWA imebaki siku moja kabla ya tukio la Yanga Day kufanyika, kiungo mpya katika timu hiyo amejipa kazi nyingine ngumu ili awe imara zaidi. Ikumbukwe kwamba Septemba 12, Yanga SC wamechagua kuwa na tukio la utambulisho wa wachezaji wapya na wale waliokuwa katika kikosi msimu wa 2024/25.  Offen Chikola ambaye huyu ni ingizo jipya akitokea…

Read More

ALI KAMWE AMETOA AHADI HII YANGA DAY

MENEJA wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ali Kamwe ameahidi kuishitua Dunia Keshokutwa katika kilele cha Wiki ya Mwananchi itakayofanyika kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar. Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Romain Folz ambaye ni mrithi wa mikoba ya Miloud Hamdi aliyekiongoza kikosi hicho kutwaa taji la ubingwa msimu wa 2024/25. Ni Wiki ya…

Read More

SIMBA DAY NI BALAA ZITO KWA MKAPA

Simba Day ni tamasha maalumu kwa ajili ya utambulisho wa wachezaji na benchi la ufundi. Katika tamasha hilo kutakuwa na mchezo wa kimataifa wa kirafiki. Simba SC vs Gor Mahia watakutana uwanjani. Mashabiki wamejitokeza kwa wingi katika tamasha hili maalumu ambalo linakutanisha wadau wa michezo Tanzania. Mashabiki wamenunua tiketi kwa wingi mara baada ya siku…

Read More

DAR YATIKISWA NA AMARULA – SUNDOWN SESSIONS YAZUA GUMZO

Dar es Salaam bado inazungumza kuhusu tukio lililotikisa mitaa ya kifahari – Amarula Sundown Sessions, lililofanyika Jumapili, 7 Septemba 2025. Ni wachache tu waliopata nafasi ya kuhudhuria, kwani tukio hili lilikuwa laini ya mwaliko maalum. Wageni waliokuwa ndani walihusisha majina makubwa ya burudani, influencers wenye nguvu mitandaoni na mastaa wa jiji waliokuja kushuhudia namna Amarula…

Read More

Cheza Wild White Whale Ujishindie mizunguko ya Bure Kila Siku

Katika anga ya michezo ya kubashiri, Meridianbet inaendelea kuthibitisha kuwa ni mwamba usiotetereka. Kwa sasa, inakuletea promosheni kabambe kupitia mchezo wa kasino unaotikisa wa Wild White Whale. Ni promosheni ya mwezi mzima iliyoanza tarehe 01 na itaisha tarehe 31 mwezi Septemba ikiwa imesheheni ushindi na zawadi za papo hapo. Kila mteja aliyesajiliwa na Meridianbet ana…

Read More

China-Tanzania cooperation gains momentum with launch of “Chinese + Vocational Skills” Training ate closely with UDSM and VETA Kipawa

The China-Tanzania “Chinese + Vocational Skills” project organized by Henan Lianfei Business Information Consulting Co., Ltd. is implemented at the University of Dar es Salaam (UDSM) and VETA Kipawa ICT Centre. The short-term project will help young people master the practical skills necessary for Tanzania’s industrial transformation and sustainable development and empower them to acquire…

Read More