Timu ya Taifa ya Uganda βThe Cranesβ imeendelea kuweka hai matumaini ya kufuzu kombe la Dunia 2026 (WC 2026) baada ya kushinda mechi yake ya pili mfululizo ikiilaza Msumbiji 4-0 Septemba 5, 2025 kabla ya kuitandika Somalia 2-0.
Allan Okello ameendelea kungβara akiwa na The Cranes baada ya leo pia kutupia dhidi ya Somalia kwa mkwaju wa penalti huku Jude Ssemugabi akifunga bao la pili katika dimba la Mandela, Kampala.
FT: Uganda πΊπ¬ 2-0 πΈπ΄ Somalia
β½ 06β:Okello (P)
β½ 39β Ssemugabi
FT: Guinea π¬π³ 0-0 π©πΏ Algeria
FT: Guinea-Bissau π¬πΌ 2-0 π©π― Djibouti
FT: Madagascar π²π¬ 3-1 πΉπ© Chad
FT: Malawi π²πΌ 2-2 π±π· Liberia
MSIMAMO KUNDI G
1- π©πΏ Algeria 19pts
2- πΊπ¬ Uganda 15pts
3- π²πΏ Msumbiji 15pts
4 – π¬π³ Guinea 11pts
5- π§πΌ Botswana 9pts
6- πΈπ΄ Somalia 1pt