Home Uncategorized MWENDO WA CHICO USHINDI YANGA UPO HIVI

MWENDO WA CHICO USHINDI YANGA UPO HIVI

WAKUMUITA Chico Ushindi ni kiungo ambaye ni mali ya Yanga akiwa anatimiza majukumu yake anayopewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi.

Tupo naye leo kwenye mwendo wa data huku dakika za Ushindi ndani ya ligi zikiwa ni 210 namna hii:-

Mechi zake na Viwanja

Polisi Tanzania, dk 12, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid

 Mbeya City,dk 7, Uwanja wa Mkapa

 KMC,dk 76, Uwanja wa Mkapa

Namungo,dk 28, Uwanja wa Mkapa

 Mbeya Kwanza,dk 30, Uwanja wa Mkapa

Biashara United,57, CCM Kirumba

Pasi yake

Ametoa pasi 1 ya bao dk ya 51

Mguu

 Mguu wa kulia pasi 1

Mguu wa kushoto pasi 0

Eneo

 Nje ya 18 pasi 1 dhidi ya KMC

Kadi nyekundu 0

Bao 0

Previous articleSALAH AINGIA ANGA ZA BARCELONA
Next articleKAZI INAENDELEA KWA TIMU ZA TAIFA,MUHIMU MIPANGO