SIMBA NI KUNDI C LIGI YA MABINGWA, HAWA HAPA WAPINZANI

 KLABU ya Simba ya Tanzania, imepangwa katika kundi C katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika. Kwenye kundi hilo ambalo ikiwa Simba watapanga kete vizuri wanaweza kutusua na wakibugi watapotezwa itakutana na Vipers kutoka Uganda, Horoya ya Guinea na Raja Cassablanca ya Morocco. Simba ilifanikiwa kuingia katika Hatua ya Makundi katika mashindano ya Klabu Bingwa na…

Read More

AZAM FC YAISHUSHIA KICHAPO MALIMALO

MCHEZO wa Raundi ya Pili, Azam Sports Federation, Desemba 9,2022 ikiwa ni siku ya kumbukizi ya miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania ni mabao 9, Azam FC walipata. Baada ya dakika 90, ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Azam FC 9-0 Malimao FC. Ilikuwa mwendo wamojamoja kwa watupiaji wa Azam FC ikiwa ni pamoja…

Read More

MWAMBA AZIZ KI, MTAMBO WA MAPIGO HURU

KWA mzunguko wa kwanza majukumu ya mipira iliyokufa ndani ya kikosi cha Yanga yalikuwa kwenye miguu ya Aziz KI. Nyota huyu bado hajaonyesha makeke yake kama ilivyokuwa ndani ya ASEC Mimosas lakini taratibu anazidi kuimarika. Ni mabao mawili ametupia ndani ya ligi msimu huu wa 2022/23 ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu,…

Read More

MTAMBO WA MABAO WAREJEA AZAM FC

 NDANI ya kikosi cha Azam FC namba moja kwa utupiaji ni Idris Mbombo ambaye ametupia mabao sita kibindoni. Hakuwa kwenye mechi za mwisho za mzunguko wa ligi kwa kuwa hakuwa fiti lakini tayari kwa sasa ameanza mazoezi kwa ajili ya kurejea uwanjani mzunguko wa pili. Miongoni mwa mechi ambayo alikosekana ni ile yakufungia mzunguko wa…

Read More

MITAMBO YA PENALTI SIMBA HII HAPA

 SIMBA imekamilisha mzunguko wa pili msimu wa 2022/23 huku safu yake ya ushambuliaji ikiwa imetupia mabao 31. Kweye mabao hayo ni mawili yamefungwa kutokana na penalti ilikuwa dhidi ya Geita Gold ambapo mtupiaji alikuwa ni Clatous Chama. Aliyesababisha penalti hiyo ni Augustino Okra kisha penalti ya pili ilikuwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga walipocheza na Coastal…

Read More

AZAM FC NI MOTO KWENYE LIGI

KWENYE timu ambazo zimefunga kwa rekodi matata ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23 huwezi kuiweka kando Azam FC. Licha ya mechi zake kuwa na ushindani mkubwa pamoja na adhabu kwa baadhi ya wachezaji kama ilivyotokea mchezo wa Azam FC 3-2 Coastal Union bado boli inatembea. Ni Ayoub Lyanga huyu ni mtambo wa mabao…

Read More

AZAM FC YATUMIA DAKIKA 15 KUISHUSHA SIMBA

DAKIKA 15 ziliwatosha Azam FC kuiondoa nafasi ya pili Simba kwa kupata ushindi mbele ya Polisi Tanzania. Uwanja wa Ushirika, Moshi umesoma Polisi Tanzania 0-1 Azam FC ikiwa ni bao la dakika ya 15 kupitia kwa mtambo wao wa mabao Ayoub Lyanga. Hili linakuwa bao la kwanza kwa nyota huyo kufunga na kuipa pointi tatu…

Read More

SUAREZ: INAUMA KUSEMA KWAHERI KOMBE LA DUNIA

STAA wa Timu ya Taifa ya Uruguay, Luis Suarez amesema kuwa inauma kusema kwaheri Kombe la Dunia. Nyota huyo hakuwa na chaguo baada ya timu hiyo kuondolewa mazima kwenye hatua ya makundi licha ya kupata ushindi kwenye mchezo wa mwisho. Uruguay waliinyoosha mabao 2-0 Ghana kwenye mchezo wa makundi na kukusanya pointi tatu lakini walikwama…

Read More

SIMBA YAWATULIZA COASTAL UNION MKWAKWANI

 MCHEZO wa pili mfululizo kikosi cha Simba kinafanikiwa kushinda kwenye mechi za ligi baada ya leo Desemba 3,2022 kushinda mbele ya Coastal Union. Ubao wa Uwanja wa Mkwakwani, umesoma Coastal Union 0-3 Simba na wakasepa na pointi tatu mazima. Mabao ya Moses Phiri dakika ya 53 na dakika ya 60 kwa mkwaju wa penalti yalifungwa…

Read More