KUUMIA KWA PHIRI SIMBA PASUA KICHWA USHAMBULIAJI

KUUMIA kwa mshambuliaji tegemeo wa Simba, Moses Phiri kunalipasua kichwa benchi la ufundi kwa kuwa kila wakifikiria nani atapewa mikoba yao wanavurugwa. Kibu Dennis uwezo wake kwa msimu wa 2022/23 umekuwa mbovu kwa kuwa kila anapopata nafasi maamuzi yake anayajua mwenyewe. John Bocco nahodha wa Simba mwenye mabao matano bado kasi yake ile ya utupiaji…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA

RUVU Shooting chini ya Kocha Mkuu, Mbwana Makata ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Uhuru katika msako wa point tatu muhimu. Mchezo uliopita Ruvu Shooting ilipoteza pointi tatu mbele ya Ihefu ambapo ilifungwa mabao 2-0 lile moja ni mali ya…

Read More

MKUDE NDANI YA BUKOBA KAZI IPO

 LEGEND Jonas Mkude ni miongoni mwa nyota wa kikosi cha Simba ambao wapo kwenye msafara uliowea kambi Bukoba. Kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda kina kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Kagera Sugar, Uwanja wa Kaitaba. Ikumbukwe kwamba Simba msimu wa 2021/22 ilinyooshwa bao 1-0 na Kagera Sugar katika mchezo uliochezwa…

Read More

GEITA GOLD AKILI ZOTE KWA SIMBA

 KOCHA Mkuu, Felix Minziro ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2021/22 wakati Minziro akikinoa kikosi hicho mchezo wao wa ligi walipokutana ubao ulisoma Geita Gold 1-1 Simba. Kwa Geita Gold bao lilipachikwa kimiani na George Mpole ambaye alikuwa mfungaji…

Read More

SIMBA NI KUNDI C LIGI YA MABINGWA, HAWA HAPA WAPINZANI

 KLABU ya Simba ya Tanzania, imepangwa katika kundi C katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika. Kwenye kundi hilo ambalo ikiwa Simba watapanga kete vizuri wanaweza kutusua na wakibugi watapotezwa itakutana na Vipers kutoka Uganda, Horoya ya Guinea na Raja Cassablanca ya Morocco. Simba ilifanikiwa kuingia katika Hatua ya Makundi katika mashindano ya Klabu Bingwa na…

Read More

AZAM FC YAISHUSHIA KICHAPO MALIMALO

MCHEZO wa Raundi ya Pili, Azam Sports Federation, Desemba 9,2022 ikiwa ni siku ya kumbukizi ya miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania ni mabao 9, Azam FC walipata. Baada ya dakika 90, ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Azam FC 9-0 Malimao FC. Ilikuwa mwendo wamojamoja kwa watupiaji wa Azam FC ikiwa ni pamoja…

Read More

MWAMBA AZIZ KI, MTAMBO WA MAPIGO HURU

KWA mzunguko wa kwanza majukumu ya mipira iliyokufa ndani ya kikosi cha Yanga yalikuwa kwenye miguu ya Aziz KI. Nyota huyu bado hajaonyesha makeke yake kama ilivyokuwa ndani ya ASEC Mimosas lakini taratibu anazidi kuimarika. Ni mabao mawili ametupia ndani ya ligi msimu huu wa 2022/23 ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu,…

Read More

MTAMBO WA MABAO WAREJEA AZAM FC

 NDANI ya kikosi cha Azam FC namba moja kwa utupiaji ni Idris Mbombo ambaye ametupia mabao sita kibindoni. Hakuwa kwenye mechi za mwisho za mzunguko wa ligi kwa kuwa hakuwa fiti lakini tayari kwa sasa ameanza mazoezi kwa ajili ya kurejea uwanjani mzunguko wa pili. Miongoni mwa mechi ambayo alikosekana ni ile yakufungia mzunguko wa…

Read More