MATOKEO MAZURI NA MABAYA YANATAFUTWA UWANJANI

USHINDANI kwa msimu mpya unategemewa na maandalizi ya ambayo yanafanywa kwa wakati huu kwa kila timu. Iwe ni Yanga ama Singida Fountain Gate hata Simba au Namungo wote matokeo yanaamuliwa na kile wanachokifanya kwa sasa. Kila timu inapambana kwa ajili ya maandalizi huku mabingwa watetezi Yanga kambi yao ikiwa AVIC Town Kigamboni, Singida Fountain Gate…

Read More

WINGI WA MASHABIKI UNAWEZA KUWA FAIDA ZAIDI, FEDHA BAADAE

TAMASHA la hitimisho ya wiki ya Wananchi la Yanga wiki iliyopita, kwa hesabu limefeli. Halikufikia kile kiwango ambacho kilikuwa kinatakiwa. Halikufikia kwa kuwa kiwango cha watu kilichoingia kilikuwa kidogo kuliko ilivyotarajiwa na gumzo kubwa likawa ni tamasha hilo kukosa mashabiki wa kutosha. Wiki moja kabla ya tamasha hilo kufikia, gumzo lilikuwa ni namna ambavyo maandalizi…

Read More

MUDA WA KUPEPERUSHA BENDERA KIMATAIFA NI SASA

TAYARI ile Droo ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika na ile ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika ambayo ilikuwa inasubiriwa kwa hamu kubwa imeshafahamika. Wawakilishi wetu kutoka Tanzania bara na visiwani wamewatambua wapinzani wao ambao watakutana nao kwenye mechi za ushindani. Yanga wanakumbuka rekodi yao bora ya kutinga fainali kwenye Kombe la Shirikisho Afrika na…

Read More

KIBEGI CHA SIMBA KISIUZWE, KIPELEKWE MAKUMBUSHO

KIBEGI cha Simba kimefunguliwa juu ya Mlima Kilimanjaro ikiwa ni uzinduzi wa jezi mpya kwa msimu wa 2023/24 ilikuwa Julai 21 2023. Tumeona namna ambavyo kila mmoja alikuwa akifuatilia kwa namna yake popote alipokuwa kwa kuwa ilikuwa ni habari inayofurahisha. Utalii wa Tanzania umetengazwa kitaifa na kimataifa wengi wameona na kuendelea kufuatilia zaidi kuhusu mlima…

Read More

GAMONDI AMEANZA POA LAKINI MUMVUMILIE

Anaandika Jembe KIKOSI kipya cha Yanga kimeanza vizuri katika mechi yake ya kwanza kabisa kwa msimu mpya wa 2023/24 ikiwa ndio wanakionyesha kikosi chao wakati wa kilele cha tamasha la Mwananchi. Bado hawajaanza mashindano rasmi lakini tayari angalau tumeona kikosi hicho kipya cha Yanga kinacheza namna gani. Kocha Mkuu mpya wa Yanga, Miguel Gamondi ambaye…

Read More

LEO NI LEO ASEMAYE KESHO HUYO NI MUONGO

LEO ni leo mashabiki wa Yanga wapo ndani ya Uwanja wa Mkapa kushuhudia mastaa wao wapya na wale ambao walikuwa na kikosi hicho kwa msimu wa 2022/23. Balaa la usajili Yanga bado wanaendelea nao wakishusha wachezaji wazawa na wale wa kigeni kuboresha timu hiyo iliyokuwa kwenye mwendo bora 2022/23. Hapa tunakuletea baadhi ya mastaa waliopo…

Read More

BAADAE HAITAFIKA KAMWE, MUDA NI SASA

BAADAE kidogo ni nadra sana kufika ila sasa hiyo ipo muda wote hivyo ni muhimu kuifanyia kazi kwa umakini mkubwa. Muda uliopo kwa sasa kwa Yanga ni kuboresha zaidi ya yale waliyofanya wakati uliopita kwenye Wiki ya Mwananchi ili izidi kuwa ya utofauti. Maandalizi kwa Yanga tangu awali yameonekana kwenda kulingana na mipango yao katika…

Read More

SHERIA MUHIMU KUFUATWA KUEPUKA KESI

MUDA hausubiri kwa sasa ukiwa unazidi kwenda kasi tayari kwa ajili ya msimu mpya ambao upo njiani. Tunaona maandalizi kwa timu zote yanaendelea ikiwa ni pamoja na Namungo ambao wamezindua uzi wao mpya. Yanga wao walitangulia mapema na mazoezi wameanza wakiwa na tamasha la SportPesa Wiki ya Mwananchi, Julai 22 Uwanja wa Mkapa. Singida Fountain…

Read More

UWEKEZAJI LIGI YA VIJANA UNAHITAJIKA

TUMEONA namna ligi ya vijana ambavyo imekuwa na ushindani mkubwa huku baadhi ya timu zikikwama kufika hata nusu fainali. Hili ni somo kubwa hasa kwenye uwekezaji wa soka letu la ndani kule ambako tunahitaji kuelekea kwa kuwa ni muhimu kuwa na nguvu kwenye soka la vijana. Ikiwa ligi ya vijana haitakuwa na uwekezaji mkubwa inamaanisha…

Read More

KAZI YA USAJILI IFANYIKE KWA UMAKINI MKUBWA

TAYARI kazi ipo wazi kwa sasa kutokana na dirisha la usajili kufunguliwa Julai Mosi na Agosti 31 dirisha la usajili linatarajiwa kufungwa. Kuanzia Championship, Ligi ya Wanawake, First League mpaka NBC League tayari wana taarifa kwamba dirisha la usajili lipo wazi. Sio Yanga, Singida Big Stars ambayo kwa sasa ni Singida Fountain Gate FC ni…

Read More

MATESO LAZIMA YAGOTE MWISHO, MWANZO MPYA

MATESO makubwa ambayo yanatokea kwa viongozi kushindwa kutimiza ahadi zao yanawatesa mpaka mashabiki kutokana na matokeo kuwa mabaya. Kwa yale ambayo yamepita msimu wa 2022/23 ni muda wa kufanyia kazi ili kupunguza mateso kwa mashabiki pamoja na wachezaji katika kutimiza majukumu yao. Tunaona Mashujaa wamepanda wakiwaondoa Mbeya City kwenye mchezo wa mtoano lakini kuna baadhi…

Read More

MUDA UMEWATENGANISHA SIMBA NA MKUDE

AMEANDIKA Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba kuhusu Jonas Mkude ambaye hatakuwa katika kikosi hicho kwa msimu wa 2023/24 namna hii:- Ameondoka mtu tunaempenda kweli, ameondoka mtoto wetu, mtoto wa nyumbani kwetu. Kwa miaka ya hivi karibuni hakuna mchezaji tumewahi kumpenda kama Jonas Mkude na tutaendelea kumpenda. Wakati Simba ina njaa,…

Read More

BEKI JOASH ONYANGO APEWE ULINZI

MZUNGUKO wa dunia unavyozidi kwenda na matukio yanaongezeka na kwenye ulimwengu wa mpira kila wakati kumekuwa kuna mabadiliko ambayo yanatokea. Ndani ya kikosi cha Simba kuna beki wa kazi Joash Onyango ambaye amekuwa akionekana kwenye uvurugaji mara nyingi jambo linalowavuruga mashabiki pamoja na viongozi kwamba asepe ama abaki. Licha ya yote hayo beki huyo anahitaji…

Read More

UTAWALA WA WAGENI UTAZAMWE KWA UMAKINI

MUDA mchache wanasema mambo ni mengi ila ili yote yaende kwa umakini jambo la muhimu kuzingatia ni mpangilio kwenye kila hatua. Ni kuanzia Singida Big Stars ambao wamekuwa na msimu mzuri ndani ya Ligi Kuu Bara kwa mara ya kwanza wanapaswa kuwa na mwendelezo. Kwa sasa Singida Big Stars inaitwa Singida Fountain Gate FC hivyo…

Read More