
NIDHAMU MSINGI WA MAFANIKIO KWA WACHEZAJI
USHIRIKIANO kwenye kazi ambazo zinafanywa kwa sasa ni muhimu kwenye kila jambo na hii inaongeza nguvu kwenye kupata matokeo chanya. Mabingwa msimu wa 2022/23 Yanga wana kazi kubwa kufikia malengo yao kwa msimu mpya. Ikumbukwe kwamba Yanga ilipata mafanikio kwa kutwaa mataji mengine ikiwa ni Kombe la Azam Sports Federation na Ngao ya Jamii. Pia…