
MTIBWA SUGAR:TUNA BAJETI YA MIAKA 40
THOBIAS Kifaru,Ofisa Habari mwenye uwezo mkubwa wa kuzungumza na nidhamu kubwa katika kazi yake ameweka wazi kwamba timu hiyo ina bajeti ya kujiendesha kwa muda wa miaka 40. Mtibwa Sugar kwa sasa inatumia Uwanja wa Manungu ambao ulikuwa umefungiwa kwa muda ili kuweza kufanyiwa maboresho na kwa sasa tayari umeruhisiwa kutumika. Mchezo uliopita Mtibwa Sugar…