AZAM FC WANA JAMBO LAO MANUNGU

MATAJIRI wa Dar, Azam FC wana jambo lao kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar, Uwanja wa Manungu. Ni Morogoro mji kasoro bahari mchezo wa Ligi Kuu Bara mzunguko wa pili kwa wababe hao unatarajiwa kuchezwa kwa kila timu kusaka pointi tatu. Miongoni mwa wachezaji ambao wataanza kikosi cha kwanza ni pamoja…

Read More

SIMBA YAZITAKA POINTI TATU ZA TABORA UNITED

BAADA ya kupata ushindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar, hesabu za Simba ni kupata ushindi mbele ya Tabora United. Ikumbukwe kwamba Simba ilipata ushindi huo kwenye mchezo wa ligi baada ya kupukutisha siku 50 bila kuambulia ushindi kwenye mechi za ligi. Ngoma ilikuwa Simba 2-0 Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa…

Read More

YANGA HESABU ZAO ZIPO HIVI

BAKARI Mwamnyeto nahodha wa Yanga amesema kuwa kikubwa ambacho wanakihitaji kwenye mechi ambazo wanacheza ni pointi tatu. Ikumbukwe kwamba kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Mashujaa wakiwa Uwanja wa Lake Tanganyika, Mei 5 2024 walikomba pointi tatu mazima. Katika mchezo huo baada ya dakika 90 ubao ulisoma Mashujaa 0-1 Yanga na bao la ushindi likifungwa…

Read More

STAMINA AFICHUA KILICHOMUUA DIRECTOR KHALFANI…

Staa wa Bongo Fleva, Stamina ‘Shorobwenzi’ amesema kifo cha Dairekta Khalfani ni pigo kubwa kwa sanaa ya muziki wa kizazi kipya kwani alikuwa ni mtu wa kutegemewa linapokuja suala la kushoot video za nyimbo za wasanii. Amesema kwa taarifa ambazo alikuwa anazijua, ni kwamba Dairekta Khalfan alianguka akiwa kazini na baadaye akapelekwa Hospitali ya Lugalo…

Read More

HII HAPA RATIBA YA LIGI KUU BARA

LIGI Kuu Tanzania Bara  inazidi kushika kasi ikiwa ni mzunguko wa pili ambapo timu zinaendelea kupambania pointi tatu. Ipo wazi kwamba vinara wa Ligi Kuu Bara Yanga ilisepa na pointi tatu kwenye mchezo wake Mei 5 2024 ubao uliposoma Mashujaa 0-1 Yanga bao likifungwa na Joseph Guede dakika ya 41 sasa inafikisha pointi 65. Mei…

Read More

Shindano la Expanse Kasino Maokoto Kama Yote. Cheza kwa Kuanzia Tsh 400/=

Ukisikia Bosi kacheka ujue Maokoto yanafuatia, Kupitia promosheni pendwa ya Expanse iliyopo Meridianbet Kasino ya Mtandaoni unaweza kujishindia zawadi kibao, cha kufanya Jisajili Meridianbet kisha cheza shindano la Expanse ushinde.   Mtoa huduma wa michezo ya kasino ya mtandaoni Expanse Studio anashirikiana na Meridianbet kuwaletea shindano kubwa la zawadi, mgao wa Mamilioni unakusubiri, kwa kucheza…

Read More

LIGI KUU BARA: MASHUJAA 0-1 YANGA

FT: LIGI Kuu Bara Uwanja wa Lake Tanganyika Mashujaa 0-1 Yanga Goal Joseph Guede dakika ya 41. Bao la Joseph Guede limedumu mpaka mwisho wa mchezo katika mzunguko wa pili msimu wa 2023/24. Yanga imekomba pointi tatu mazima nakufikisha pointi 65 baada ya kucheza mechi 25. Mashujaa wapo kazini Uwanja wa Lake Tanganyika kusaka pointi…

Read More

MASHUJAA KUONYESHA USHUJAA KWA YANGA

BENCHI la ufundi la Mashujaa limebainisha kwamba lipo tayari kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya vinara wa ligi ambao ni Yanga. Mchezo huo wa mzunguko wa pili unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Lake Tanganyika, mwisho wa reli Kigoma kwa wababe wote wawili kusaka pointi tatu muhimu. Ipo wazi kuwa kwenye mchezo wa…

Read More

AZAM FC KUWAKABILI MTIBWA SUGAR MANUNGU

MATAJIRI wa Dar, Azam FC wameweka kambi mji kasoro bahari, Morogoro kwa ajili ya maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar. Azam FC imetoka kupata ushindi wa mabao 4-1 Namungo kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali CRDB Federation Cup inakutana na Mtibwa Sugar iliyowafungashia virago kwenye hatua…

Read More

YANGA KUWAKABILI MASHUJAA KIGOMA

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga leo watakuwa kwenye msako wa pointi tatu dhidi ya Mashujaa Uwanja wa Lake Tanganyika. Ipo wazi kwamba Yanga ni namba moja kwenye msimamo wa ligi wakiwa na pointi 62 baada ya kucheza mechi 24. nafasi ya pili ni Azam FC wenye pointi 54 huku Simba wakiwa nafasi ya…

Read More

Suka Jamvi Lako Leo na Meridianbet

Leo hii viwanja mbalimbali vitawaka moto ambapo kila timu inaingia uwanjani kusaka pointi tatu za maana. Je wewe leo hii unamdhamini nani akupe pesa uamke vizuri siku ya kesho?. Ujerumani pia BUNDESLIGA kitawaka kama kawaida Union Berlin atakuwa mwenyeji wa VFL Bochum huku timu hizi zikiwa zimefatana sana kwenye msimamo wa ligi yani nafasi ya…

Read More

DIRECTOR KHALFANI AFARIKI LEO HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI

Muongozaji wa video za muziki nchini Tanzania ‘Director Khalfani Khalmandro’ amefariki Dunia leo asubuhi  Mai 5, 2024 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu. Taarifa zilieleza kuwa Khalfani alilazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, taasisi ya mifupa MOI akiwa na tatizo la damu kuvilia kwenye ubongo lililopelekea changamoto ya kupooza upande wake…

Read More