YANGA KUWAKABILI MASHUJAA KIGOMA

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga leo watakuwa kwenye msako wa pointi tatu dhidi ya Mashujaa Uwanja wa Lake Tanganyika. Ipo wazi kwamba Yanga ni namba moja kwenye msimamo wa ligi wakiwa na pointi 62 baada ya kucheza mechi 24. nafasi ya pili ni Azam FC wenye pointi 54 huku Simba wakiwa nafasi ya…

Read More

Suka Jamvi Lako Leo na Meridianbet

Leo hii viwanja mbalimbali vitawaka moto ambapo kila timu inaingia uwanjani kusaka pointi tatu za maana. Je wewe leo hii unamdhamini nani akupe pesa uamke vizuri siku ya kesho?. Ujerumani pia BUNDESLIGA kitawaka kama kawaida Union Berlin atakuwa mwenyeji wa VFL Bochum huku timu hizi zikiwa zimefatana sana kwenye msimamo wa ligi yani nafasi ya…

Read More

DIRECTOR KHALFANI AFARIKI LEO HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI

Muongozaji wa video za muziki nchini Tanzania ‘Director Khalfani Khalmandro’ amefariki Dunia leo asubuhi  Mai 5, 2024 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu. Taarifa zilieleza kuwa Khalfani alilazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, taasisi ya mifupa MOI akiwa na tatizo la damu kuvilia kwenye ubongo lililopelekea changamoto ya kupooza upande wake…

Read More

HAWA HAPA WABABE NDANI YA NUSU FAINALI

WABABE wanne ndani ya CRDB Federation Cup safari imekamilika tayari kwa kila timu kutambua mpinzani wake hatua ya nusu fainali. Yanga ni mabingwa watetezi wa CRDB Federation Cup walipenya hatua ya nusu fainali kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa Azam Complex ukisoma Yanga 3-0 Tabora United. Yanga hatua ya nusu fainali itakuwa dhidi ya Ihefu….

Read More

YANGA NDANI YA KIGOMA KUWAKABILI MASHUJAA

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga kituo kinachofuata ni dhidi ya Mashujaa ya Kigoma ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa pili. Yanga imetoka kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Kwenye mchezo wa CRDB Federation, Yanga ilipata ushindi wa mabao 3-0…

Read More

IKIENDI YA KUOKOTA MAOKOTO

Hii ni wikiendi ya kuokota maokoto na sehemu pekee ya kupata maokoto hayo ni pale kwenye nyumba ya mabingwa wa kubashiri kampuni ya Meridianbet kupitia michezo itakayokwenda kupigwa wikiendi hii. Ligi mbalimbali zitarejea leo Jumamosi na kumuwezesha mteja wa Meridianbet kufurahia wikiendi yake, Kwani mabingwa hao wa michezo ya kubashiri wamegawa ODDS KUBWA katika michezo…

Read More

PROMOSHENI YA NON STOP DROP INATOA MKWANJA MREFU |SHIRIKI KWA KUCHEZA KASINO

Jiunge na promosheni ya Kusisimua iitwayo NON-STOP DROP, inayotolewa na Meridianbet Jiandae kwa sherehe ya zawadi za mamilioni ya pesa zisizoweza kufikirika. Promosheni hii ya NON-STOP DROP inaletwa kwako na Meridianbet kasino ya mtandaoni kwa ushirikiano na Playson. Unachohitaji kufanya ni kucheza michezo ya sloti iliyochaguliwa kutoka kwa mtengenezaji maarufu huyu na unaweza kuchukua sehemu…

Read More

SIMBA 2-0 MTIBWA SUGAR, AZAM COMPLEX

FT: LIGI Kuu Bara Uwanja wa Azam Complex Simba 2-0 Mtibwa Sugar Goal Michael Fred dakika ya 35. Saleh Karabaka dk 64. Mchezo wa mzunguko wa pili ni Simba v Mtibwa Sugar kwa wababe hawa wawili kusaka pointi tatu ndani ya uwanja. Ikumbukwe kwamba Simba mchezo wake uliopita ilikuwa ugenini ubao wa Uwanja wa Majaliwa…

Read More

MTIBWA SUGAR HAINA HOFU NA SIMBA

KOCHA Mkuu wa Mtibwa Sugar, Zuber Katwila amesema kuwa hawana hofu na mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda itakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Mtibwa Sugar, Uwanja wa Azam Complex, Mei 3 2024. Ipo wazi kwamba mzunguko wa kwanza ubao wa Uwanja…

Read More

Anza Wikendi Yako na Meridianbet Leo

Je unaanzaje wikendi yako?. Kama hujui ni rahisi sana unachotakiw akufanya ni kuingia meridianbet sasa na kusuka jamvi lako la maana kabisa ambalo unajua kuwa lazima utoboe. BUNDESLIGA itarindima leo ambapo RB Leipzig baada ya kushinda mechi yake iliyopita, leo hii atakuwa ugenini kusaka pointi tatu dhidi ya TSG Hoffenheim. Mwenyeji ametoka kupoteza mchezo wake…

Read More

TAMKO LA SIMBA ISHU YA KIBU DENNIS

WAKATI tetesi zikieleza kuwa Kibu Dennis kagomea kuongeza dili jipya ndani ya timu hiyo akiwa na ofa zaidi ya tatu mezani kimtindo uongozi wa Simba umejibu hoja hiyo. Ipo wazi kwamba Kibu ni chaguo la kwanza la makocha wote ambao wamepita Simba ikiwa ni Robert Oliveira, Abdelhakh Benchikha na sasa Juma Mgunda. Kibu anatajwa kuwa…

Read More

AZAM FC KUPAMBANA DHIDI YA NAMUNGO

MATAJIRI wa Dar Azam FC leo Mei 3 2024 wanakibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa CRDB Federation dhidi ya Namungo FC. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex ikiwa ni hatua ya robo fainali saa 2:300 usiku kwa wababe hao wawili kusaka ushindi kwa timu itakayotinga hatua ya nusu fainali. Tayari kwenye robo…

Read More

VIDEO: SAKATA LA CHAMA KUFUNGIWA TAMKO LA SIMBA HILI HAPA

KIUNGO wa Simba Clatous Chama ataukosa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex kutokana na adhabu ya kufungiwa mechi tatu kwa kosa la kumchezea faulo nyota wa Yanga, Nickson Kibabage kwenye Kariakoo Dabi. Juma Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba alipoulizwa kuhusu kumksa Chama alibainisha kuwa wapo wachezaji…

Read More