
VIDEO: AMETAJWA MWAMBA FRED MICHAEL TUZO YA UFUNGAJI BORA
AMETAJWA kwenye ishu ya kusepa na tuzo ya mfungaji bora mwamba Fred Michel wa Simba na Pasi Milioni, ikumbukwe kwamba nyota huyo kafunga mabao matano ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24
AMETAJWA kwenye ishu ya kusepa na tuzo ya mfungaji bora mwamba Fred Michel wa Simba na Pasi Milioni, ikumbukwe kwamba nyota huyo kafunga mabao matano ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24
Nchi ya Misri imebeba karibia asilimia kubwa ya mambo ya kale kwenye ulimwengu huu, mambo mengi sana kuhusu historia ya kale ipo Misri, mchezo wa Moon of Thoth moja kati ya kasino iliyobeba historia ya mambo ya kale inatoa bonasi na jackpot za aina tatu. Jisajili Meridianbet kujiunga kwenye safari ya utajiri. “Moon of Thoth”…
YANGA imesepa na pointi tatu za Kagera Sugar kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Bao pekee la ushindi limefungwa na kiungo mshambuliaji Mudathir Yahya dakika ya 83 akitumia pasi ya Aziz KI kiungo wa Yanga ambaye anafikisha pasi 8 za mabao. Yanga ni pointi 68 wanafikisha ndani ya ligi wakiwa…
40 Imperial Crown kasino ya mtandaoni yenye safu tano zilizopangwa katika nguzo nne na una jumla ya mistari 40 ya malipo. Ili kuweza kushinda, ni lazima kuunganisha alama tatu au zaidi za kufanana kwenye mstari wa malipo. Kuwa sehemu ya washindi kwenye mchezo huu kwa kujisajili Meridianbet upate bonasi za kasino na bonasi ya ukaribisho….
LIGI Kuu Tanzania Bara mzunguko wa pili kasi yake inazidi kuwa kubwa ambapo ni muda wa kukamilisha hesabu. Mei 8 kuna timu zitakuwa kazini kusaka pointi tatu ndani ya uwanja katika dakika 90 za kazikazi. Ni Mashujaa watakuwa Uwanja wa Lkae Tanganyika, mwisho wa reli Kigoma kukabiliana na KMC. Ikumbukwe kwamba Mashujaa imetoka kupoteza mchezo…
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi wanatarajiwa kumenyana na Kagera Sugar, Uwanja wa Mkapa. Ipo wazi kuwa Yanga haijapoteza mchezo wowote msimu wa 2023/24 ikiwa nyumbani hivyo Kagera Sugar wanakazi kubwa kufanya ugenini. Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel gamondi amebainisha kwamba wapo tayari kwa mchezo huo na kikubwa…
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba katika mechi tatu ambazo ni dakika 270 ameshuhudia timu hiyo ikiambulia sare moja, ikishinda mechi mbili. Ni dakika za moto uwanjani kutokana na wachezaji wa kikosi cha kwanza kutokuwa fiti ikiwa ni pamoja na Kibu Dennis aliyepata maumivu kwenye mchezo dhidi ya Namungo, Henock Inonga ambaye ni beki alipata…
MABOSI wa Yanga wapo kwenye hesabu za kukamilisha mipango wa kuboresha kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi kwa ajili ya kuendeleza kasi yao ndani ya ligi na Ligi ya Mabingwa Afrika wakati ujao.
MWAMBA Kibu Dennis ndani ya kikosi cha Simba ni chaguo la kwanza kutokana na uwezo wake alionao katika kutimiza majukumu yake. Kwenye Ligi Kuu Bara amecheza jumla ya mechi 19 katupia bao moja ilikuwa kwenye Kariakoo Dabi dhidi ya Yanga na katengeneza pasi tatu za mabao. Nyota huyo pia kwenye mchezo dhidi ya Ihefu uliochezwa…
Jiunge na Meridianbet kasino kufurahia promosheni kubwa ya Expanse Tournament, inakupa bonasi za kasino huku ukifurahia mamilioni yakimwagika kila baada ya sekunde. Shiriki kwenye shindano hili ili uwe moja ya washindi. Mtoa huduma wa michezo ya kasino ya mtandaoni Expanse Studio anashirikiana na Meridianbet kuwaletea shindano kubwa la zawadi, mgao wa Mamilioni unakusubiri, kwa kucheza…
Meridianbet wanakwambia hivi, siku ya leo na kesho unaweza kupasua anga kwa kusuka jamvi lako ukiwa na akaunti yako ya Meridianbet kwani huku ndiko kuna mechi za kibabe na machaguo zaidi ya 1000. Kivumbi leo hii kitaanzia pale Parc des Princes ambapo PSG baada ya kupoteza mchezo wa kwanza wa hatua ya Nusu Fainali wa…
POINTI moja waliyovuna kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons inawabakisha Coastal Union kwenye nafasi ile ya nne. Mei 6 2024, Coastal Union ilikuwa na kazi ya kusaka pointi tatu dhidi ya Tanzania Prisons kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Baada ya dakika 90 ubao ulisoma Coastal Union 0-0 Tanzania Prisons…
YANGA kazi imeanza mapema ambapo wanatarajia kushusha vyuma vya maana kwa ajili ya kuboresha kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi.
MASTAA wa Yanga wamekuwa kwenye ubora wao ndani ya uwanja kwa kupambania ushindi ndani ya uwanja katika mechi ambazo wanacheza ambapo miongoni mwa wale wanaofanya vizuri ni pamoja na Joseph Guede, Aziz KI, Dickson Job. Yanga ni vinara wa ligi wanapambania kutwaa taji la 30 ndani ya Ligi Kuu Bara chini ya Kocha Mkuu, Miguel…
NYOTA wa Tabora United, Najim Musa ameweka wazi kuwa sababu kubwa iliyowafanya wakapoteza mchezo wao dhidi ya Simba, Uwanja wa Azam Complex ni kutokuwa na bahati. Kwenye mchezo uliochezwa Mei 6 2024 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Simba 2-0 Tabora United pointi tatu zikibaki kwa Mnyama, Simba. Ikumbukwe kwamba…
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga baada ya kukomba pointi tatu dhidi ya Mashujaa wamerejea Dar kwa maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar. Timu hiyo imekuwa kwenye mwendo mzuri ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 kutokana na kupata matokeo chanya kwenye mechi ambazo wanacheza uwanjani….
“Aziz Ki ni kweli anamaliza mkataba wake lakini kwa hapa sioni kama kuna timu ambayo Aziz anaweza kucheza, Aziz anahitajika na timu nyingi kwa hizi timu za Afrika Kusini Aziz hawezi kucheza na watu wanaofanya dhuluma namna ile” “Ziko ofa nyingi lakini kubwa ambalo naweza kuwaambia wanayanga, wachezaji bora ambao wamewaona kwenye kikosi chetu wanasalia…