Home Sports VIDEO: AMETAJWA MWAMBA FRED MICHAEL TUZO YA UFUNGAJI BORA Sports VIDEO: AMETAJWA MWAMBA FRED MICHAEL TUZO YA UFUNGAJI BORA May 9, 2024 FacebookTwitterPinterestWhatsApp AMETAJWA kwenye ishu ya kusepa na tuzo ya mfungaji bora mwamba Fred Michel wa Simba na Pasi Milioni, ikumbukwe kwamba nyota huyo kafunga mabao matano ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24