YANGA HAWAKUTARAJIA, KURUDI TENA UGENINI KIMATAIFA

KOCHA Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic amesema kuwa matokeo ambayo wameyapata ugenini kimataifa walikuwa hawajatarajia hivyo watafanyia kazi makosa kuwa bora kwa mechi zijazo kitaifa na kimataifa. Yanga haijaanza kwa mwendo mzuri kimataifa hatua ya makundi kwenye mechi mbili mfululizo ikipoteza pointi sita msimu wa 2024/25 kituo kinachofuata itakuwa ugenini dhidi ya TP Mazembe. Ikumbukwe…

Read More

SIMBA: MATOKEO MABAYA, HASIRA KUHAMIA HUKU

Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa matokeo waliyopata dhidi ya CS Constantine ni mabaya kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika kwa kuwa walifanya makosa ndani ya dakika tano ambayo yaliwagharimu. Kwenye mchezo uliochezwa Desemba 8 2024 Simba walitangulia kufunga dakika ya 24 kupitia kwa Zimbwe na walifungwa mabao…

Read More

YANGA YAANZA SAFARI KURUDI BONGO, WATUMA SALAMU KWA WAZIRI

WAWAKILISHI wa kimataifa Yanga katika Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kukamilisha kazi ugenini kwa kupoteza kwenye mchezo uliochezwa Desemba 7 2024 Uwanja wa 5 July uliposoma MC Alger 2-0 Yanga wameanza safari ya kurejea Dar kwa ajili ya maandalizi ya mechi zinazofuata. Kwenye mchezo huo mabao yote yalifungwa kipindi cha pili  na Ayoub Abdellaoui…

Read More

SIMBA KAZINI KIMATAIFA LEO

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Kombe la Shirikisho Afrika wakiwa hatua ya makundi wanatarajiwa kuwa kazini leo saa 1:00 usiku (kwa saa za Afrika Mashariki) katika mchezo wa mzunguko wa pili Kundi A Kombe la Shirikisho dhidi ya CS Constantine mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Chahid Hamlaoui nchini Algeria. Timu zote mbili…

Read More

Leo Hii Kuna Mvua ya Magoli Meridianbet

Endapo ukibashiri na Meridianbet siku ya leo nafasi ya wewe kuondoka na ubingwa unayo kabisa. Sasa unawezaje kukosa pesa zako leo?. Ingia www.meridianbet.co.tz na ubeti. SERIE A leo itaendelea Hellas Verona atapepetana dhidi ya Empoli ambapo tofauti ya pointi kati yao ni 4 pekee huku mwenyeji mechi yake iliyopita akipigika vivyo hivyo kwa mgeni wake….

Read More

KIMATAIFA: MC ALGER V YANGA KINAWAKA

FT: Ligi ya Mabingwa Afrika Uwanja wa 5 July 1962 MC Alger 2-0 Yanga Dakika ya 90 goal la pili mtupiaji Sufian Clatous Chama na Djigui Diarra kadi ya njano dakika ya 90 Dakika ya 89 Maxi Nzengeli anafanya jaribio akiwa nje ya 18 linaokolewa na kipa Dakika ya 84 Mudathir Yahya ametoka ameingia Prince…

Read More

Kuwa Tajiri na Mechi za Leo

Ni rahisi sana kupuna mpunga wako ukiwa na Meridianbet kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yanapatikana hapa. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa. Tukianza na BUNDESLIGA leo hii Bayer Leverkusen  atakipiga dhidi ya ST Pauli ambao wapo nafasi ya 15 kwenye ligi wakishinda mechi 3 pekee hadi sasa. Alonso na vijana wake…

Read More

Nafasi ya Kuwa Milionea na Meridianbet Ipo Hapa

Tandika jamvi lako la ushindi siku ya leo kwani mechi nyingi sana zinacheza leo. Unasubiri nini kutengeneza kipato chako cha maana?. Ingia www.meridianbet.co.tz Italia michezo ya SERIE A itaendelea kama kawaida ambapo Genoa atakiwasha dhidi ya Torino huku tofauti ya pointi kati yao ikiwa ni 1 pekee huku mechi ya mwisho kuonana, walitoa suluhu. Leo…

Read More

SIMBA KWENYE HESABU NDEFU KIMATAIFA

MSHAMBULIAJI wa Simba Leonel Ateba ameweka wazi kuwa watapambana kutafuta ushindi kwenye mchezo wa kimataifa unaotarajiwa kuchezwa Jumapili, Desemba 8 2024. Simba kwa sasa ipo nchini Algeria kwa maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa hatua ya makundi dhidi ya CS Constantine ambapo ni Aishi Manula aliyekuwa kwenye mpango wa safari alipata changamoto ya kiafya hivyo…

Read More

YANGA KWENYE PRESHA KISA KUPOTEZA, KAZINI KIMATAIFA

KOCHA Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic ameweka wazi kuwa wapo kwenye presha kubwa kwa sasa kwenye mechi za kimataifa kutokana na kupoteza mchezo wao wa kwanza hatua ya makundi dhidi ya Al Hilal lakini watapambana kupata matokeo mazuri. Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza kwa Yanga katika hatua ya makundi walikuwa nyumbani na baada ya dakika…

Read More

WATUMISHI WAASWA KUJIANDAA MAPEMA KABLA YA KUSTAAFU

WATUMISHI wa magereza wameshauriwa kuwekeza kwa busara katika sekta mbalimbali wakiwa bado kazini, ili kujihakikishia maisha mazuri na endelevu baada ya kustaafu. Ikumbukwe kwamba kuna uwekezaji kwenye sekta mbalimbali ikiwa ni pamoja na michezo ambayo wapo wamiliki wa maduka ya vifaa vya michezo wanatengeneza mkwanja humo huku wakiwa wanaendelea na kazi pamoja na fursa mbalimbali…

Read More