Как Обеспечиватся Контроль За Честностью Игры? – Азино 777 Зеркало На Сегодня
Как Обеспечиватся Контроль За Честностью Игры? – Азино 777 Зеркало На Сегодня
Как Обеспечиватся Контроль За Честностью Игры? – Азино 777 Зеркало На Сегодня
Leo hii ushindi ni nje nje kabisa ukibashiri mechi zako zote na mabingwa wa ubashiri Tanzania, Meridianbet kwani mechi za leo zote zina ODD KUBWA lakini pia wamekuwekea na machaguo kibao kabisa. Kiwanja kitawaka pale Ujerumani ambapo RB Leipzig ambaye mpaka sasa hajashinda mechi yoyote, atamkaribisha kwake Aston Villa ambaye ana pointi 10 hadi sasa…
Al Hilal Omdurman ya Florent Ibenge imeendelea kuwa tishio kwenye Kundi A la Ligi ya Mabingwa Afrika kufuatia ushindi wa 2-1 dhidi ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika dimba la Cheikha Ould Boidiya, Mauritania. FT: Al Hilal 🇸🇩 2-1 🇨🇩 TP Mazembe ⚽ 21’ Abdelrahman ⚽ 90+2’ Girumugisha ⚽ 64’ Tshikomb…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic amesema kuwa matokeo ambayo wameyapata ugenini kimataifa walikuwa hawajatarajia hivyo watafanyia kazi makosa kuwa bora kwa mechi zijazo kitaifa na kimataifa. Yanga haijaanza kwa mwendo mzuri kimataifa hatua ya makundi kwenye mechi mbili mfululizo ikipoteza pointi sita msimu wa 2024/25 kituo kinachofuata itakuwa ugenini dhidi ya TP Mazembe. Ikumbukwe…
Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa matokeo waliyopata dhidi ya CS Constantine ni mabaya kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika kwa kuwa walifanya makosa ndani ya dakika tano ambayo yaliwagharimu. Kwenye mchezo uliochezwa Desemba 8 2024 Simba walitangulia kufunga dakika ya 24 kupitia kwa Zimbwe na walifungwa mabao…
WAWAKILISHI wa kimataifa Yanga katika Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kukamilisha kazi ugenini kwa kupoteza kwenye mchezo uliochezwa Desemba 7 2024 Uwanja wa 5 July uliposoma MC Alger 2-0 Yanga wameanza safari ya kurejea Dar kwa ajili ya maandalizi ya mechi zinazofuata. Kwenye mchezo huo mabao yote yalifungwa kipindi cha pili na Ayoub Abdellaoui…
WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Kombe la Shirikisho Afrika wakiwa hatua ya makundi wanatarajiwa kuwa kazini leo saa 1:00 usiku (kwa saa za Afrika Mashariki) katika mchezo wa mzunguko wa pili Kundi A Kombe la Shirikisho dhidi ya CS Constantine mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Chahid Hamlaoui nchini Algeria. Timu zote mbili…
Tunakuletea safari ya kasino mtandaoni ya kusisimua sana ambayo imejaa bonasi za kasini za kumwaga. Jukumu lako ni kukusanya ushindi kadri iwezekanavyo, na ukifanikiwa, hautakosa mafanikio ya ajabu. Jisajili hapa ili usipitwe na mchezo huu. Bulls Eye Bells ni mchezo wa kasino ya mtandaoni unaoletwa kwenu na mtengenezaji wa michezo wa Playtech. Katika mchezo huu,…
Wananchi, Young Africans Sc wamepoteza mchezo wa pili mfululizo kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kufuatia kipigo cha 2-0 dhidi ya MC Alger katika dimba la Julai 5, 1962. FT: MC Alger 🇩🇿 2-0 🇹🇿 Yanga Sc ⚽ 64’ Abdellaoui ⚽ 90+5’ Bayazid FT: FAR Rabat 🇲🇦 1-1 🇿🇦 Mamelodi Sundowns ⚽…
Endapo ukibashiri na Meridianbet siku ya leo nafasi ya wewe kuondoka na ubingwa unayo kabisa. Sasa unawezaje kukosa pesa zako leo?. Ingia www.meridianbet.co.tz na ubeti. SERIE A leo itaendelea Hellas Verona atapepetana dhidi ya Empoli ambapo tofauti ya pointi kati yao ni 4 pekee huku mwenyeji mechi yake iliyopita akipigika vivyo hivyo kwa mgeni wake….
FT: Ligi ya Mabingwa Afrika Uwanja wa 5 July 1962 MC Alger 2-0 Yanga Dakika ya 90 goal la pili mtupiaji Sufian Clatous Chama na Djigui Diarra kadi ya njano dakika ya 90 Dakika ya 89 Maxi Nzengeli anafanya jaribio akiwa nje ya 18 linaokolewa na kipa Dakika ya 84 Mudathir Yahya ametoka ameingia Prince…
SHABIKI wa Klabu ya Yanga na Manchester United, Bright Mwakasege ameshinda Sh20 million kupitia kasino maarufu ya LEONBET kwenye mchezo pendwa wa Aviator. Ushindi huu wa Mwakasege ambaye ni mkazi wa Dar es Salaam, umetokana na dau lake la Sh200 tu kwa kupata odds au multiplier x100000 – kitu ambacho ni nadra sana kutokea katika…
Ni rahisi sana kupuna mpunga wako ukiwa na Meridianbet kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yanapatikana hapa. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa. Tukianza na BUNDESLIGA leo hii Bayer Leverkusen atakipiga dhidi ya ST Pauli ambao wapo nafasi ya 15 kwenye ligi wakishinda mechi 3 pekee hadi sasa. Alonso na vijana wake…
Tandika jamvi lako la ushindi siku ya leo kwani mechi nyingi sana zinacheza leo. Unasubiri nini kutengeneza kipato chako cha maana?. Ingia www.meridianbet.co.tz Italia michezo ya SERIE A itaendelea kama kawaida ambapo Genoa atakiwasha dhidi ya Torino huku tofauti ya pointi kati yao ikiwa ni 1 pekee huku mechi ya mwisho kuonana, walitoa suluhu. Leo…
MSHAMBULIAJI wa Simba Leonel Ateba ameweka wazi kuwa watapambana kutafuta ushindi kwenye mchezo wa kimataifa unaotarajiwa kuchezwa Jumapili, Desemba 8 2024. Simba kwa sasa ipo nchini Algeria kwa maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa hatua ya makundi dhidi ya CS Constantine ambapo ni Aishi Manula aliyekuwa kwenye mpango wa safari alipata changamoto ya kiafya hivyo…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic ameweka wazi kuwa wapo kwenye presha kubwa kwa sasa kwenye mechi za kimataifa kutokana na kupoteza mchezo wao wa kwanza hatua ya makundi dhidi ya Al Hilal lakini watapambana kupata matokeo mazuri. Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza kwa Yanga katika hatua ya makundi walikuwa nyumbani na baada ya dakika…
WATUMISHI wa magereza wameshauriwa kuwekeza kwa busara katika sekta mbalimbali wakiwa bado kazini, ili kujihakikishia maisha mazuri na endelevu baada ya kustaafu. Ikumbukwe kwamba kuna uwekezaji kwenye sekta mbalimbali ikiwa ni pamoja na michezo ambayo wapo wamiliki wa maduka ya vifaa vya michezo wanatengeneza mkwanja humo huku wakiwa wanaendelea na kazi pamoja na fursa mbalimbali…