MASTAA wa Yanga wamekuwa kwenye ubora wao ndani ya uwanja kwa kupambania ushindi ndani ya uwanja katika mechi ambazo wanacheza ambapo miongoni mwa wale wanaofanya vizuri ni pamoja na Joseph Guede, Aziz KI, Dickson Job. Yanga ni vinara wa ligi wanapambania kutwaa taji la 30 ndani ya Ligi Kuu Bara chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi.
Team Canada forward Jonathan David (#7) watches as his shot is saved by the Iceland goalkeeper during an international friendly match between Canada and Iceland at BMO Field in Toronto, Ontario, Canada, on March 28, 2026. (Photo by Indrawan Kumala/NurPhoto) (Photo by Indrawan Kumala / NurPhoto via AFP)