Home Sports YANGA WAMEAMUA KUMALIZANA NA MASHINE ZA KAZI MAPEMA Sports YANGA WAMEAMUA KUMALIZANA NA MASHINE ZA KAZI MAPEMA May 8, 2024 FacebookTwitterPinterestWhatsApp MABOSI wa Yanga wapo kwenye hesabu za kukamilisha mipango wa kuboresha kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi kwa ajili ya kuendeleza kasi yao ndani ya ligi na Ligi ya Mabingwa Afrika wakati ujao.