Home Sports ISHU YA MKANDAJI KIBU KUIBUKIA YANGA IPO HIVI Sports ISHU YA MKANDAJI KIBU KUIBUKIA YANGA IPO HIVI May 4, 2024 FacebookTwitterPinterestWhatsApp MWAMBA Kibu Dennis kiungo mshambuliaji wa Simba anatajwa kuwa kwenye hesabu za mabosi wa Yanga ambao wanahitaji saini yake ili kuongeza nguvu katika kikosi hicho kinachoongoza Ligi Kuu Bara.