Home Sports ISHU YA MKANDAJI KIBU KUIBUKIA YANGA IPO HIVI

ISHU YA MKANDAJI KIBU KUIBUKIA YANGA IPO HIVI

MWAMBA Kibu Dennis kiungo mshambuliaji wa Simba anatajwa kuwa kwenye hesabu za mabosi wa Yanga ambao wanahitaji saini yake ili kuongeza nguvu katika kikosi hicho kinachoongoza Ligi Kuu Bara.

Previous articleIKIENDI YA KUOKOTA MAOKOTO
Next articleYANGA NDANI YA KIGOMA KUWAKABILI MASHUJAA