MIAMBA wawli ndani ya kikosi cha Yanga, Aziz KI na Joseph Guede ni habari nyngine kutokana na kasi yao ndani ya uwanja kwenye kucheka na nyavu msimu wa 2023/24. Ipo wazi kwamba Aziz KI ni namba moja akiwa na mabao 15 kibindoni Guede katupia mabao matano