>

MITAMBO YA MABAO AZAM FC HII HAPA

WAKIWA ni vinara ndani ya Ligi Kuu Bara Azam FC kuna nyota wawili ambao ni mitambo ya mabao ikiwa ni pamoja na Feisal Salum na Kipre Junior. Timu hiyo chini ya Kocha Mkuu Yuuph Dabo ilikuwa kwenye mwendo mzuri wa ligi lakini kwenye Mapinduzi 2024 iligotea hatua ya robo fainali ilipokwama kupata ushindi mbele ya…

Read More

MRITHI MIKOBA YA BALEKE NI BALAA TUPU

MRITHI wa mikoba ya mshambuliaji, Jean Baleke ambaye anaondoka akiwa namba moja kwenye utupiaji ndani ya ligi akiwa katupia mabao 8, Michael Fred ana balaa kutokana na rekodi zake. Ni Michael Fred raia wa Ivory Coast anatajwa kubeba mikoba ya Baleke ambaye hatakuwa ndani ya kikosi cha Simba kwa msimu wa 2023/24 kwenye mechi zilizobaki…

Read More

Sloti ya Lucky Dolphin Kasino Yenye Mandhari ya Baharini

Unambiwa bahari imebeba viumbe vingi vya ajabu, samaki, majini na madini, lakini pia rasilimali zenye utajiri mkubwa kama mafuta na gesi kwa kiasi kikubwa vinapatikana baharini waulize wavuvi watakwambia juu ya maajabu ya baharini. Meridianbet kasino mtandaoni inakurudisha baharini kuusaka utajiri kupitia mchezo wa kasino unaitwa Lucky Dolphin.   Lucky Dolphin ni sloti ya kasino…

Read More

MBWANA SAMATTA AHESHIMIWE, KAZI YAKE NI KUBWA

“UKIKUBALI ujinga upewe nafasi werevu utapotea mithili ya moshi angani.” Kauli hii alikuwa anapenda kuitumia Mwalimu Dkt. Thadei Mwereke pale Chuo Kikuu cha Kampala ambapo niliwahi kusoma pale. Hii inamaanisha kwamba kamwe tusiruhusu ujinga kupenya kwenye dunia ya werevu. Mbwana Samatta moja ya tunu na fahari ya taifa letu bahati mbaya sana amejikuta kwenye dunia…

Read More

HIZI HAPA HESABU ZA AZAM FC

 UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi huwa mpango kazi wao ni kuendelea kupata matokeo mazuri kwenye mechi zijazo ndani ya Ligi Kuu Bara pamoja na mashindano mengine. Hasheem Ibwe Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa ambacho wanakihitaji ni kuwa kwenye kasi ileile waliyokuwa nayo kwenye ligi kwa kupata ushindi na burudani kuwapa mashabiki zao….

Read More

MRITHI WA MIKOBA YA BALEKE ANA BALAA HUYO

MRITHI wa mikoba ya mshambuliaji, Jean Baleke ambaye anaondoka akiwa namba moja kwenye utupiaji ndani ya ligi akiwa katupia mabao 8, Michael Fred ana balaa kutokana na rekodi zake. Ni Michael Fred raia wa Ivory Coast anatajwa kubeba mikoba ya Baleke ambaye hatakuwa ndani ya kikosi cha Simba kwa msimu wa 2023/24 kwenye mechi zilizobaki…

Read More

MWAMBA ALIYETAKIWA YANGA KAMWAGA WINO HUKU

SIMON Msuva winga mzawa ambaye yupo na timu ya Tanzania, Taifa Stars, Ivory Coast kwenye Kombe la Mataifa Afrika, (AFCON) amesaini dili la miaka miwili Klabu ya Cape Town City ya Afrika Kusini. Nyota huyo aliwahi kucheza ndani ya kikosi cha Yanga ambapo alikuwa anatajwa kuwa kwenye hesabu za kurejeshwa hapo kwa mara nyingine tena….

Read More

STAY AWAY FROM THE SUN

UNAWEZA kushangaa kuwa Jua ni tatizo hapa Ivory Coast? Ngoja nikukumbushe kile kisa cha AFCON ya Cameroon. Kama unamkumbuka mwamuzi Janny Sikazwe katika mechi ya Mali dhidi ya Tunisia, alizua mjadala kumaliza mechi kabla ya muda na match kamishna akamtaka kurejea kumalizia zile dk 5, akaanzisha tena mchezo na baada ya hapo akapelekwa hospitali. Ishu…

Read More

VISA ZAIDI YA 10 KWENYE GANZI YA MAUMIVU VILITOKEA

IKUFIKIE popote ulipo kwamba kwenye simulizi ya Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo iliyokuwa ikiandikwa ndani ya Championi Jumatano kuna visa zaidi ya 10 ambavyo vilitokea katika maisha ya kila siku. Ikumbukwe kwamba simulizi ya Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo inaingia kwenye orodha ya simulizi bora zilizopata nafasi ya kuchapishwa ndani ya gazeti la Championi Jumatano…

Read More

SANKARA APIGA SIMU YANGA

MSHAMBULIAJI wa Asec Mimosas, Karamoko Sankara hatimaye amefunguka dili lake na Yanga huku akisema kuwa amekuwa akiwapigia simu wachezaji wa sasa wa Yanga, Pacome Zouzoua na Kouassi Attohoula Yao ambao ni marafiki zake. Sankara amekuwa akihusishwa kwa muda sasa kutakiwa na Yanga huku msimu huu katika Ligi ya Mabingwa Afrika akiwa amefanikiwa kufunga mabao 4…

Read More