>

KAGERA SUGAR KUMBE WALINYIMWA BAO

MCHEZO wa kwanza wa Ligi Kuu Bara kwa Februari 2 2023 ilikuwa Uwanja wa Kaitaba baada ya dakika 90 ubao ulisoma Kagera Sugar 0-0 Yanga. Mchambuzi wa masuala ya michezo akiegemea zaidi kwenye mifumo Sisintinho Martin amebainisha kuhusu mbinu na namna ambavyo Kagera Sugar walifunga bao ambalo mwamuzi alibainisha kuwa ilikuwa ni mtego wa kuotea….

Read More

OKRAH APEWA KIFAA MAALUM YANGA

MADAKTARI wa Yanga wanaangalia uwezekano mkubwa wa kumpa kifaa maalum cha ‘Mask’ kiungo wake mpya Augustine Okrah aliyepata jeraha eneo la puani. Kiungo huyo alipata majeraha hayo katika Kombe la Mapinduzi mwezi Januari, baada ya kugongana na mchezaji wa timu pinzani na kupata majeraha katika mishipa ya puani. Nyota huyo aliyejiunga na Yanga katika dirisha…

Read More

YANGA HAO WAIFUATA KAGERA SUGAR

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga mapema Februari Mosi wameanza safari kueleka Bukoba kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Kaitaba Februari 2 2024. Timu hiyo Januari 30 ilikuwa na kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa raundi ya Pili Azam Sports Federation ilikuwa dhidi…

Read More

DIAMOND AMTAJA ALIYEMSHIKA MKONO

NASIB Abdul msanii anayepeperusha bendera ya Tanzania kitaifa na Kimataifa wengi wanamtambua kwa jina la Diamond amefichua siri yake na Legend kwenye muziki wa Bongo Fleva Henry Samir wengi wanamtambua kwa jina la Mr Blue. Diamond ameweka wazi kuwa Blue alikuwa naye bega kwa bega kabla hajatusua kitaifa kwa kumshika mkono hatua kwa hatua akiwa…

Read More

YANGA WANABALAA HAO, KAZI YAO IPO HIVI

YANGA baada ya kucheza mechi 11 za Ligi Kuu Bara imeambulia ushindi kwenye mechi 10 ikipoteza mchezo mmoja ikiwa haijapata sare ndani ya msimu wa 2023/24. Timu hiyo ina balaa kutokana na kasi yao kuwa imara ndani ya ligi wakiwa wanatetea taji hilo ambalo walitwaa msimu wa 2022/23. Kwa sasa inanolewa na Kocha Mkuu Miguel…

Read More

NYOTA YANGA HESABU ZAKE ZIPO HIVI

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Clement Mzize amesema watapambana kufanya vizuri kwenye mechi zao kwa kuwa wapo tayari kuwapa furaha mashabiki na wao kutimiza malengo yao. Mzize ni miongoni mwa washambuliaji wazawa ambao wamekuwa ni maji kupwa na kujaa ndani ya Yanga licha ya kutopewa nafasi mara kwa mara akiwa kwenye ubora wake hufanya kazi yake kwa…

Read More

SIMBA KUREJEA KAZINI

KIKOSI cha Simba leo Januari 25 kinatarajiwa kurejea mazoezini kwa ajili ya maandalizi ya mechi zijazo za kitaifa na kimataifa. Timu hiyo inanolewa na Kocha Mkuu,Abdelhak Benchikha ilitoka kushiriki Mapinduzi 2024. Kwenye mashindano hayo iliishia nafasi ya pili na bingwa akiwa ni Mlandege. Januari 13 2024 ilikuwa ni fainali na ubao ulisoma Mlandege 1-0 Simba….

Read More

KILA LA KHERI TAIFA STARS

USHINDANI ni mkubwa na kila timu inafanya kweli kupata ushindi ndani ya uwanja hivyo muhimu ni kujituma na kupata matokeo chanya. Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo ina kibarua kingine kigumu kusaka ushindi dhidi ya DR Congo hautakuwa mchezo mwepesi hata kidogo. Kila timu inatafuta pointi tatu hivyo ni muhimu kwa wachezaji kujituma…

Read More