AUCHO KWA MIKATO YA KIMYAKIMYA ANA BALAA
NYOTA wa kimataifa ndani ya Yanga, Khalid Aucho anaingia kwenye orodha ya namba sita watembeza mikato ya kimyakimya ndani ya uwanja kutokana na kuwa kwenye mwendelezo wa kasi hiyo katika mechi za hivi karibuni. Ipo wazi kwamba Aucho ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu Miguel Gamondi amekuwa na mwendelezo wa matukio ya kutembeza mikato…