>

ARSENAL GARI IMEWAKA HUKO

AARON Ramsdale kipa wa Arsenal aliweza kuwa imara akiwa langoni wakati timu yake iliposhinda mabao 2-0 dhidi ya Leicester City uliochezwa Uwanja wa King Power. Ilikuwa ni mabao ya Gabriel Magalhaes ilikuwa dakika ya 5 na lile la pili lilipachikwa na Emule Smith Rowe dakika ya 18 na kuipa pointi tatu timu hiyo inayonolewa na…

Read More

KOCHA YANGA AOMBA KAZI SIMBA … SOMA HAPA

KATIKA rundo la CV ambazo Simba imezipokea kwa ajili ya nafasi ya kocha mkuu wa timu hiyo, kuna majina ya makocha kadhaa waliowahi kuifundisha Yanga. Simba sasa inasaka mrithi wa Mfaransa, Didier Gomes, aliyetangaza kujiuzulu klabuni hapo baada ya matokeo mabaya kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.   Baadhi ya makocha waliowahi kuifundisha Yanga wanaitajwa zaidi…

Read More

KIUNGO HUYU KUSEPA MANCHESTER UNITED

KIUNGO wa Klabu ya Manchester United inayoshiriki Ligi Kuu England, Paul Pogba ataondoka bure ndani ya kikosi hicho msimu wa 2021/22 utakapomeguka kwa kuwa mabosi wa timu hiyo wamethibitisha kwamba hawatamuongezea dili jingine. Mwishoni mwa msimu huu Pogba mkataba wake utameguka na kuanzia Januari 2022 atakuwa huru kufanya mazungumzo na klabu nyingine ambayo inahitaji saini…

Read More

NABI REKODI ZAKE KAMA ZOTE YANGA

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga alitambulishwa ndani ya kikosi hicho ilikuwa ni Aprili 20 na alianza kazi yake ya kwanza katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Katika mchezo huo uliochezwa Aprili 24, Nabi alishuhudia Uwanja wa Mkapa ubao ukisoma Azam FC 1-0 Yanga hiyo ilikuwa inaitwa…

Read More

AZAM FC YAMALIZWA KIMKAKATI NA YANGA

MABOSI wa Yanga wamebainisha kwamba mkakati wa kuimaliza Azam FC ulishachorwa Songea kwa kuwa walipata muda wa kuitazama timu hiyo ilipocheza mchezo wake wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC. Azam FC jana ilipoteza mchezo wake wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Pyramids FC kwa kufungwa bao 1-0. Akizungumza na Championi Jumamosi, Kaimu Mtendaji…

Read More