Matokeo ya Muungano Cup 2026

Muungano Cup 2026 inatarajiwa kufika tamati Aprili 29, 2026 kwa mchezo wa fainali Yanga SC vs Simba SC, saa 2:15 usiku Uwanja wa New Amaan Complex. Hapa tunakuletea matokeo ya timu zote 8 kuanzia hatua ya robo fainali namna hii:- Matokeo Muungano Cup 2026 Timu Tarehe Mechi Hatua Matokeo Yanga SC Aprili 21, 2026 Yanga…

Read More

Singida Black Stars vs Azam FC kinawaka leo

Singida Black Stars vs Azam FC NBC Premier League kinawaka leo kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Wababe hawa wanakutana Aprili Mosi 2026 ikiwa ni mchezo pekee utakaochezwa mara baada ya mapumziko yaliyotokana na kalenda ya FIFA. Katika mechi mbili kubwa wenyeji wakiwa nyumbani ndani ya mwezi Machi waliangasuha pointi tatu baada ya dakika 90….

Read More

Paa Sasa, Ushindi Kila Sekunde Ni Uhakika Ukiwa Na Super Heli Premium

Meridianbet sasaimeamua kukupeleka kwenye ulimwengu mpya wa burudani na ushindi kupitia Super Heli Premium.Mchezo umeundwa kukupa kasi, ujasiri na msisimko. Kila raundi ni fursa ya kushinda zaidi, kila uamuzi ni hatua ya kuelekea kilele cha furaha. Hapa, kila sekunde inahesabiwa, kama jackpot yenye uwezekano halisi. Helikopta inapoanza kupaa, shauku ya wewe kujiongezea faida inapanda pia….

Read More

Kocha Stars abainisha sababu yakupoteza

Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema kuwa kushindwa kutumia nafasi mbili ambazo walipata kwenye mchezo ni sababu kushindwa kupata ushindi. Tanzania 0-1 Liechtenstein ni matokeo kwenye mchezo uliochezwa Machi 26,2026 kwenye FIFA Series, Uwanja wa Kigali, Rwanda. Gamondi amesema: “Kila mwenye macho ameona, tulipata nafasi mbili tukashindwa kuzitumia…

Read More

Gachi Amshutumu Yammi Kwa Kuvunja Mahusiano Yake

Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Gachi (Fatma Omary) ameibuka na madai mazito akimtuhumu rafiki yake wa karibu, Yammi, kwa kuhusika katika kuvunjika kwa mahusiano yake. Akizungumza kwa hisia, Gachi amesema alimtambua Yammi kwa mpenzi wake kwa nia njema, lakini baadaye mambo yakabadilika na kusababisha kuvunjika kwa uhusiano wake. “Nilimtambulisha Yammi kwa mpenzi wangu lakini ndiye aliyechangia…

Read More

Simba SC vs Mtibwa Sugar NBC Premier League

Simba vs Mtibwa Sugar ni mchezo wa NBC Premier League unaotarajiwa kuchezwa Jumapili, Januari 18,2026. Uwanja wa Mej.Gen. Isamuhyo. Hii ni baada ya ligi kusimama kwa muda kutokana na mashindano ya AFCON ambayo yanaendelea nchini Morocco na Tanzania iliishia hatua ya 16 bora. Fainali inatarajiwa kuchezwa Jumapili, Januari 18,2026 itakuwa ni Senegal vs Morocco ambao…

Read More