MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally ameweka wazi kuwa mpango mkubwa wa timu hiyo ni kupata matokeo mazuri kwenye mechi zijazo ambapo wachezaji watawasili kambini mapema kwa ajili ya maandalizi ya mechi zijazo za kitaifa na kimataifa chini ya Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha