Home Uncategorized NYOTA HUYU SIMBA KUIBUKIA RAJA CASABLANCA Uncategorized NYOTA HUYU SIMBA KUIBUKIA RAJA CASABLANCA January 24, 2024 FacebookTwitterPinterestWhatsApp INAELEZWA kuwa mtambo wa mabao ndani ya Simba kwa 2023/24 Jean Baleke yupo kwenye hesabu za kuibukia ndani ya Klabu ya Raja Casablanca kwa ajili ya kuanza changamoto mpya huko baada ya kukutana na Thank You ndani ya Simba