YANGA YAKATAA UTEJA WA MIAKA 25 LIGI YA MABINGWA, PACOME ATAJWA
Takribani miaka 25 imepita tangu Yanga aingie hatau ya makundi bila kushinda mchezo wowote kwenye kundi lake mara ya kwanza ilikuwa ni mwaka 1998 ambapo alikuwa na miamba kama ASEC Mimosas aliyemaliza na alama 13, Manning Rangers alama 10, Raja Casablanca alama 8, na Yanga aliyemaliza na alama 2. Katika kundi hilo Yanga alipokea kichapo…