MSIMAMO WA LIGI KUU BARA UPO NAMNA HII
MSIMU wa 2021/22 unazidi kuchanja mbuga mdogomdogo na kwa sasa kuna timu zipo raundi ya 6 na nyingine ni ile ya saba. Msimamo upo namna hii
MSIMU wa 2021/22 unazidi kuchanja mbuga mdogomdogo na kwa sasa kuna timu zipo raundi ya 6 na nyingine ni ile ya saba. Msimamo upo namna hii
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumapili
YANGA imedhamiria kuwafunga kwa mara pili watani wao Simba, ni baada ya kumpumzisha kwa makusudi kiungo wao mkabaji, Mkongomani Yannick Bangala katika mchezo ujao wa Ligi Kuu Bara. Mchezo ujao wa ligi wa Yanga watacheza dhidi ya Mbeya Kwanza kwenye Uwanja wa Sokoine mkoani Mbeya ambao Bangala atakuwepo jukwaani akiutazama mchezo huo. Dabi hiyo inatarajiwa kupigwa Desemba 11, mwaka huu kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam katika mchezo uliopita wa Ngao ya Jamii uliozikutanisha timu hizo, Yanga ilifanikiwa kuwafunga Simba bao 1-0…
KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco, raia wa Hispania, amefichua malengo yao makubwa kwa sasa ni kuhakikisha wanawaondoa wapinzani wao katika Kombe la Shirikisho Afrika, Red Arrows ya Zambia kutokana na maandalizi makubwa wanayoyafanya kwa sasa. Simba inatarajia kucheza na Red Arrows ya Zambia katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika kesho Jumapili kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar. Pablo ametoa kauli hiyo kuelekea mchezo wa kwanza wa…
LICHA ya mafanikio makubwa ya upasuaji wa goti aliofanyiwa kiungo Mburkinabe wa Yanga, Yacouba Songne, imeelezwa kuwa kiungo huyo yupo hatarini kukosa michezo iliyosalia ya msimu huu kutokana na kuuguza jeraha hilo. Yacouba alipata majeraha hayo ya goti kwenye mchezo dhidi ya Ruvu Shooting kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, ambapo upasuaji wake ulifanyika Novemba 11, mwaka huu. Yacouba tayari amerejea nchini…
WAKATI kesho Pablo Franco akiwa na kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Red Arrows katika mchezo wa kimataifa wa Kombe la Shirikisho, mabosi wa Simba wamempa mtego kocha wao kwa kumpa malengo makubwa ambayo anapaswa kuyafikia. Pablo amerithi mikoba ya Didier Gomes ambaye aliomba kuondoka baada ya timu hiyo kuboronga katika Ligi ya Mabingwa Afrika…
Ligi Soka barani Ulaya kuendelea wikiendi hii. Unaweza kutengeneza faida kupitia Meridianbet ukichagua kubashiri kwenye EPL, LaLiga, SerieA na Championship. Odds za wikiendi hii zipo hivi; Juventus uso kwa uso na Atalanta katika muendelezo wa Serie A. Timu zote mbili zinaendelea kujiboresha zaidi kwenye muenendo wa Ligi. Wakitoka kwenye Ligi ya Mabingwa, Juve amepoteza dhidi…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumamosi
PABLO Franco, leo Novemba 26 ameongoza mazoezi kwa mara ya kwanza kwa kikosi chake katika Uwanja wa Mkapa. Mazoezi ya leo ni kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Shirikisho ambao ni wa mtoano na unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Itakuwa ni Novemba 28 ambapo mashabiki 35,000 wa Simba wameruhusiwa kuingia kushuhudia mchezo huo. Kwa…
LIGI Kuu Tanzania kwa sasa ni raundi ya 7 ambapo tayari ratiba ipo wazi na ratiba itakuwa namna hii. Katika ligi vinara ni Yanga wakiwa na pointi 16 baada ya kucheza mechi huku Mtibwa Sugar wakiwa bado hawajafanikiwa kushinda ni wanaburuza mkia.
WAPINZANI wa Simba katika Kombe la Shirikisho barani Afrika, Klabu ya Red Arrows imeweka wazi kuwa nia yao ya kusonga mbele katika michuano hiyo huku wakitamba kufanya vizuri wakiwa ugenini. Red Arrows kutoka Zambia Jumapili Novemba 28 watacheza mchezo wao wa kwanza wa mtoano wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Simba kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar. Mchezo wa marudiano unatarajiwa kufanyika Desemba Mosi nchini Zambia ambapo Simba watakuwa ugenini…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa
MASHABIKI 35,000 ni ruksa kuushuhudia mchezo wa Kombe la Shirikisho ambao unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Novemba 28. Kwa mujibu wa Shirikisho la Soka Afrika, (CAF) ni mashabiki hao wataruhusiwa kuwa ndani ya uwanja kushuhudia mchezo huo. Na pia mashabiki hao wanapaswa kufuata taratibu na kanuni za kujilinda dhidi ya Corona. Unatarajiwa kuwa mchezo mkali…
JESUS Moloko ndani ya Yanga kwa msimu wa 2021/22 amehusika katika mabao mawili kati ya mabao 10 ambayo yamefungwa. Ametupia mabao mawili katika ligi akitumiq pasi ya mshambuliaji wa Yanga, Yacouba Songne raia wa Burkina Faso. Kwa sasa Yacouba yupo nje ya uwanja akipata matibabu zaidi baada ya kupata majeraha alipokuwa akitumikia timu hiyo kwenye…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Alhamisi
MWANDISHI nguli kwenye sekta ya michezo wa magazeti ya Championi na Spoti Xtra, Saleh Ally, ‘Jembe’ amechaguliwa na Shirikisho la Kimataifa, (Fifa) kuwa mwandishi pekee kutoka Tanzania kupiga Kura kwenye Tuzo za Mchezaji Bora wa Fifa zinazotarajiwa kufanyika Januari 17,mwakani.
KIUNGO Mshambuliaji wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ ameweka wazi kuwa wao kama wachezaji wanaendelea kujipanga kuhakikisha wanapata alama tatu kwenye michezo yao inayofuata kwani msimu huu wana jambo lao hivyo mashabiki wasiwe na wasiwasi. Yanga hadi sasa inaongoza Ligi Kuu Bara kwa pointi 16 katika michezo yote sita iliyocheza hadi sasa huku ikifuatiwa na Simba wenye pointi 14. Feisal alisema kuwa kama safari ndio kwanza imeanza ya kusaka ubingwa, hivyo wamejipanga vizuri kuhakikisha wanapata alama tatu kwenye mechi zao…