TAIFA STARS KAMILI,HIMID MAO KUKOSEKANA KESHO
KIM Poulsen, Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania wapo tayari kuelekea mchezo wa kutafuta tiketi ya kufuzu AFCON. Mchezo huo utakuwa ni dhidi ya Algeria utakaochezwa kesho Juni 8, 2022 saa 1:00 usiku huku akiweka wazi kwamba wanatambua mchezo huo utakuwa mgumu. Poulsen…