THIAGO AAMBIWA KWAMBA HAMNA KITU
GWIJI wa Liverpool, Dietmar Hamann amemshukia kiungo Thiago Alcantra akiweka wazi kuwa ni moja ya wachezaji wa Ulaya wanaopewa sifa kubwa tofauti na uwezo wake. Mjerumani huyo amesema Thiago ni bure kabisa timu napokuwa haina mpira licha ya kwamba amesifiwa alikuwa ni mchezaji muhimu kwenye kikosi cha Jurgen Klopp. Nyota huyo ni miongoni mwa wale…