MORRISON AGOMEA KURUDI SIMBA,YANGA YATAJWA
BERNARD Morrison kiungo mshambuliaji wa Simba amegomea kurudi ndani ya timu hiyo kwa kile kinachoelezwa kuwa kutokuwa na maelewano mazuri na moja ya viongozi wenye maamuzi makubwa. Nyota huyo ambaye alisimamishwa kwa muda na mabosi wa Simba kwa kile ambacho kilieleza kwamba anashughulikia matatizo ya kifamilia mkataba wake unameguka mwisho wa msimu huu. Na muda…