Home Sports TIMU YA WANAWAKE KILIMANJARO KESHO INAANZA KAZI

TIMU YA WANAWAKE KILIMANJARO KESHO INAANZA KAZI

TIMU ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Queens’kesho inatarajia kutupa kete yake ya kwanza mbele ya Sudan Kusini.

Ni kwenye mchezo wa mashindano ya CECAFA wanawake,ambayo imeanza kutimua vumbi leo Juni,Mosi 2022 nchini Uganda.

Pia Waamuzi wa Tanzania Florentina Zablon, Janeth Balama, Tatu Nuru nao pia wapo kwenye orodha ya waamuzi ambao watachezesha mechi hizo za ushindi.

 Waamuzi hao kazi yao wameanza kuifanya leo nchini Uganda, kwa kuweza kuchezesha mchezo kati ya Burundi na Djibouti.

Previous articleJEMBE HILI LA KAZI NYIA NYEUPE KUTUA SIMBA
Next articleMSHAMBULIAJI HUYU ATAJWA KUWAONDOA KAGERE NA MUGALU SIMBA