MOROCCO WAMETISHA KOMBE LA DUNIA
TIMU ya Taifa ya Morocco imetinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia ikiwa ni kwa mara ya kwanza kwenye historia baada ya kushinda katika hatua ya 16 hatua bora kwa mikwaju ya penalti dhidi ya Hispania, Qatar 2022. Matokeo haya yanamaanisha kwamba Morocco ambayo ni timu pekee kutoka Afrika iliyobaki kwenye mashindano…