URENO YATEMBEZA DOZI IKITINGA ROBO FAINALI
TIMU ya Taifa ya Ureno imetembeza dozi kwa wapinzani wao kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora Kombe la Dunia Qatar. Bila ya uwepo wa Cristiano Ronaldo ambaye alianzia benchi na mbadala wake Goncalo Ramos kwenye mchezo wa kuwania kutinga hatua ya robo fainali Kombe la Dunia mpira ulitembea. Ushindi wa mabao 6-1 walioupata dhidi…